RAIS WA BURKINA FASO AJIUZULU
![](http://api.ning.com:80/files/TgHj0KqUN*sARgZjugbf0e8SybLB-YikgdSrR92I8d9ycOt7ZMupIoFLni8KVqBlElVOJgOO9jXzc3QuT4Q1*brDIiLSvJiP/BlaiseCompaore4.jpg?width=650)
Rais Blaise Compaore aliyejiuzulu. RAIS wa Burkina Faso, Blaise Compaore ametangaza kujiuzulu kufuatia vurugu za kisiasa zinazoendelea nchini humo. Jenerali Honore Traore.…
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili01 Dec
Burkina Faso yapata Rais mpya
9 years ago
BBCSwahili18 Sep
Rais wa Senegal kupatanisha Burkina Faso
10 years ago
StarTV31 Oct
Rais wa Burkina Faso asema atajiuzulu
Rais Blaise Compaore wa Burkina Faso amesema atajiuzulu baada ya miezi 12 ya serikali ya mpito.
Ameyasema hayo wakati akilihutubia taifa siku moja baada ya kutokea machafuko.
Wakati ambao pia Mkuu wa Majeshi wa nchi hiyo ametangaza kuivunja serikali ya nchi hiyo.
Katika hotuba yake aliyoitoa kupitia kituo binafsi cha Televisheni, Rais Compaore amesema ameuelewa ujumbe uliotolewa na waandamanaji na kwamba ataondoka madarakani baada ya kumalizika kwa kipindi cha mpito cha miezi miezi...
10 years ago
BBCSwahili17 Nov
Burkina Faso yapata rais wa mpito
9 years ago
Mtanzania18 Sep
Rais, Waziri Mkuu wakamatwa Burkina Faso
OUAGADOUGOU, BURKINA FASO
WALINZI wa Ikulu nchini Burkina Faso wamemkamata Rais wa mpito, Michel Kafando na Waziri Mkuu Isaac Zida muda mchache tu baada ya jeshi kuivunjilia mbali serikali ya mpito.
Hatua hiyo ya jeshi imeitumbukiza nchi katika hali ya wasiwasi ikiwa ni wiki chache tu kabla uchaguzi wa kwanza kufanyika tangu kuondolewa madarakani kwa kiongozi wa zamani, Blaise Compaore.
Kukamatwa kwao kulisababisha maandamano barabarani hadi nje ya Ikulu, ambako viongozi hao walikuwa...
10 years ago
BBCSwahili31 Oct
Jen.Traore ajitangaza rais Burkina Faso
9 years ago
BBCSwahili23 Sep
Walinzi wa rais Burkina Faso wasalimu amri
10 years ago
BBCSwahili31 Oct
Rais wa Burkina Faso ameng'olewa mamlakani
9 years ago
BBCSwahili23 Sep
Rais Kafando arudi mamlakani Burkina Faso