Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Rais Kafando arudi mamlakani Burkina Faso

Rais wa mpito nchini Burkina Faso Michel Kafando amesema kuwa amerudi uongozini na uongozi wa raia kurudishwa takriban wiki moja baada ya mapinduzi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Rais wa Burkina Faso ameng'olewa mamlakani

Msemaji wa jeshi la Burkina Faso ametanga kuwa rais Blaise Compaore ameong'olewa madarakani.

 

10 years ago

Tanzania Daima

MICHEL KAFANDO: Rais mteule serikali ya mpito Burkina Faso

NOVEMBA 10 mwaka huu  Burkina Faso   ilikamilisha rasimu ya mkataba ya mpito ambayo ilisababisha upinzani na vyama vya kiraia nchini humo kuafikiana kuhusu baadhi ya vifungu hususan kugawana madaraka katika taasisi mbalimbali...

 

9 years ago

TheCitizen

Burkina Faso's Michel Kafando 'back in charge'

Burkina Faso's interim President Michel Kafando has said he is back in charge and civilian rule restored after last week's military takeover.

 

10 years ago

BBCSwahili

UN yataka rais wa Yemen arudi mamlakani

Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki-moon, amesema kuwa rais wa zamani wa Yemen, lazima arejeshwe madarakani.

 

10 years ago

GPL

RAIS WA BURKINA FASO AJIUZULU

Rais Blaise Compaore aliyejiuzulu. RAIS wa Burkina Faso, Blaise Compaore ametangaza kujiuzulu kufuatia vurugu za kisiasa zinazoendelea nchini humo. Jenerali Honore Traore.…

 

9 years ago

BBCSwahili

Rais wa Senegal kupatanisha Burkina Faso

Rais wa Senegal Macky Sall na mwenzake wa Benin Boni Yayi wanaelekea Burkina Faso kushauriana na viongozi waliopindua serikali.

 

10 years ago

StarTV

Rais wa Burkina Faso asema atajiuzulu

Rais Blaise Compaore wa Burkina Faso amesema atajiuzulu baada ya miezi 12 ya serikali ya mpito.
Ameyasema hayo wakati akilihutubia taifa siku moja baada ya kutokea machafuko.

 

Wakati ambao pia Mkuu wa Majeshi wa nchi hiyo ametangaza kuivunja serikali ya nchi hiyo.
Katika hotuba yake aliyoitoa kupitia kituo binafsi cha Televisheni, Rais Compaore amesema ameuelewa ujumbe uliotolewa na waandamanaji na kwamba ataondoka madarakani baada ya kumalizika kwa kipindi cha mpito cha miezi miezi...

 

10 years ago

BBCSwahili

Burkina Faso yapata rais wa mpito

Aliyekuwa waziri wa mambo ya nje Burkina Faso Michel Kafando, ametajwa kuwa rais wa mpito nchini humo.

 

9 years ago

BBCSwahili

Burkina Faso yapata Rais mpya

Roch Marc Christian Kabore ameshinda uchaguzi mkuu wa nchi hiyo, kwa mujibu wa tume ya uchaguzi. Amepata zaidi ya asili mia 50

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani