Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UN yataka rais wa Yemen arudi mamlakani

Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki-moon, amesema kuwa rais wa zamani wa Yemen, lazima arejeshwe madarakani.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Rais Kafando arudi mamlakani Burkina Faso

Rais wa mpito nchini Burkina Faso Michel Kafando amesema kuwa amerudi uongozini na uongozi wa raia kurudishwa takriban wiki moja baada ya mapinduzi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Rais Jammeh:'Bado niko mamlakani'

Rais wa Gambia amesema kuwa bado analiongoza taifa hilo baada ya vikosi vyake vya usalama kutibua jaribio la mapinduzi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Rais wa Burkina Faso ameng'olewa mamlakani

Msemaji wa jeshi la Burkina Faso ametanga kuwa rais Blaise Compaore ameong'olewa madarakani.

 

10 years ago

BBCSwahili

Rais wa Gambia arudi nyumbani

Ripoti kutoka Gambia zinasema kuwa rais Yahya Jammeh amerudi nchini humo kufuatia njama ya kutaka kumpindua.

 

10 years ago

Vijimambo

Rais wa Yemen ajiuzulu

Rais wa zamani wa Yemen, Abd Rabbuh Mansour Hadi akizungumza wakati wa kufunga mashauriano ya kitaifa mjini Sana'a
Rais wa zamani wa Yemen, Abd Rabbuh Mansour Hadi akizungumza wakati wa kufunga mashauriano ya kitaifa mjini Sana'a
Rais wa Yemen Abd Rabbuh Mansour Hadi na baraza lake la mawaziri walielezea kujiuzulu kwao. Hatua hiyo imekuja kufuatia vuguvugu la vita vya kisiasa kati ya Rais na wanamgambo wa Houthi ambao wameshambulia nchi tangu jumatatu.

Msemaji wa serikali ya Yemen mjini Washington, Mohammed Albasha alitangaza Rais wa Yemen aliyekumbwa na matatizo alijiuzulu kupitia mtandao wa kijamii hapo...

 

10 years ago

StarTV

Makao ya rais yashambuliwa Yemen.

Rais wa Yemeni Abd Rabbuh Mansour Hadi amehamishwa hadi mahala salama baada ya mashambulio ya angani katika maskani yake katika mji wa Aden, Kusini mwa taifa hilo.

Bwana hadi alitoroka kutoka mji wa Sanaa ambao umetekwa na Waasi wa Houthi na anajaribu kujenga kambi mpya ya utawala katika eneo hilo.

Ndege mbili za kivita zinaaminika kutumika katika mashambulio hayo, lakini maskani yake hayakushambuliwa moja kwa moja.

Ndege hizo zinadaiwa kutumwa kutoka mji wa Sanaa.

Uvamizi huo ulitokea saa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ngome ya rais yashambuliwa Yemen

Ndege za kivita nchini Yemen zimerusha makombora katika mji wa kusini wa Aden ambapo rais Abd Rabbuh Mansour Hadi

 

10 years ago

BBCSwahili

Makao ya rais yashambuliwa Yemen

Rais wa Yemeni Abd Rabbuh Mansour Hadi amehamishwa hadi mahala salama baada ya makao yake kushambuliwa na ndege

 

10 years ago

BBCSwahili

Yemen:Jumba la rais laachiliwa na waasi

Ripoti kutoka Yemen zinasema kuwa waasi wameondoka nyumba ya rais waliokuwa wameiteka katika mji wa bandari ya Aden

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani