Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Rais wa Gambia arudi nyumbani

Ripoti kutoka Gambia zinasema kuwa rais Yahya Jammeh amerudi nchini humo kufuatia njama ya kutaka kumpindua.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

ANG’OLEWA JICHO, ARUDI NYUMBANI, AKUTA MAFURIKO

Haruni sanchawa
MTU mmoja, Mohamed Omary (40) anayesumbuliwa na jicho kwa muda mrefu ambaye ni mkazi wa Kilwa mkoani Lindi, wiki iliyopita alijikuta katika mazingira magumu baada ya kufanyiwa upasuaji uliong’oa jicho lake, lakini aliporejea nyumbani kutoka hospitalini Ocean Road jijini Dar es Salaam, alikuta nyumba ya mwenyeji wake iliyopo Magomeni, imekumbwa na mafuriko. Mohamed Omary akiwa na bandeji jichoni....

 

10 years ago

Bongo5

Wizkid amkosha Rais wa Gambia kwenye sherehe za Uhuru wa nchi hiyo, Rais amuomba arudie show siku iliyofata

Wizkid alienda nchini Gambia kwa ajili ya kutumbuiza kwenye sherehe za Uhuru wa nchi hiyo zilizofanyika Jumamosi iliyopita Feb.28. Baada ya kumkosha Rais wa nchi hiyo kwa kufanya show kali mbele ya umati mkubwa wa watu waliohudhuria, alijikuta anaongezewa show ya pili kesho yake likiwa ni ombi la Rais huyo aliyekiri kuwa shabiki wake. Wizkid […]

 

10 years ago

BBCSwahili

Rais wa Gambia aongezewa jina jingine

Rais wa taifa la Gambia ambaye amekaa kwa kipindi kirefu madarakani Yahya Jammeh ameongezwa jina la Babili Mansa juu ya jina lake.

 

10 years ago

BBCSwahili

UN yataka rais wa Yemen arudi mamlakani

Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki-moon, amesema kuwa rais wa zamani wa Yemen, lazima arejeshwe madarakani.

 

9 years ago

BBCSwahili

Rais Kafando arudi mamlakani Burkina Faso

Rais wa mpito nchini Burkina Faso Michel Kafando amesema kuwa amerudi uongozini na uongozi wa raia kurudishwa takriban wiki moja baada ya mapinduzi.

 

11 years ago

Michuzi

RAIS KIKWETE AKUTANA NA RAIS UHURU KENYATTA MJINI DUBAI WAKIWA NJIANI KUREJEA NYUMBANI

  Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Rais Uhuru Kenyatta walipokutana katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Dubai waliposimama kwa muda wakiwa njiani kuelekea nyumbani wakitokea Washington DC, Marekani, walikohudhuria Mkutano wa Marekani na Wakuu wa nchi wa Afrika ulioandaliwa na Rais Barack Obama. Mama Salma Kikwete akisalimiana na Rais Uhuru Kenyatta walipokutana katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Dubai waliposimama kwa muda wakiwa njiani kuelekea nyumbani wakitokea Washington DC,...

 

10 years ago

BBCSwahili

Rais Pierre Nkurunziza arejea nyumbani

Rais Pierre Nkurunziza amejerea nchini mwake, baada ya kuwepo kwa jaribio la kumpindua akiwa nchini Tanzania kwenye mkutano .

 

9 years ago

Mtanzania

Ukawa wavamia nyumbani kwa Rais Kikwete

duniNa Elias Msuya, Bagamoyo

MGOMBEA Mwenza wa Chadema kupitia Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Juma Duni Haji, ametinga wilayani Bagamoyo na msafara wake ikiwa ni mwendelezo wa safari zake za kampeni.

Wakizungumza katika mkutano huo uliofanyika Uwanja wa Shule ya Msingi Majengo, makada wa umoja huo, waliwataka wananchi wa Bagamoyo kumchagua mgombea urais, Edward Lowassa, ili atatue kero zao.

Makamu Mwenyekiti wa Chadema (Zanzibar), Ali Said Mohamed, alisema wilaya hiyo ndiko anakotoka...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani