Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Makao ya rais yashambuliwa Yemen.

Rais wa Yemeni Abd Rabbuh Mansour Hadi amehamishwa hadi mahala salama baada ya mashambulio ya angani katika maskani yake katika mji wa Aden, Kusini mwa taifa hilo.

Bwana hadi alitoroka kutoka mji wa Sanaa ambao umetekwa na Waasi wa Houthi na anajaribu kujenga kambi mpya ya utawala katika eneo hilo.

Ndege mbili za kivita zinaaminika kutumika katika mashambulio hayo, lakini maskani yake hayakushambuliwa moja kwa moja.

Ndege hizo zinadaiwa kutumwa kutoka mji wa Sanaa.

Uvamizi huo ulitokea saa...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Makao ya rais yashambuliwa Yemen

Rais wa Yemeni Abd Rabbuh Mansour Hadi amehamishwa hadi mahala salama baada ya makao yake kushambuliwa na ndege

 

10 years ago

BBCSwahili

Ngome ya rais yashambuliwa Yemen

Ndege za kivita nchini Yemen zimerusha makombora katika mji wa kusini wa Aden ambapo rais Abd Rabbuh Mansour Hadi

 

10 years ago

BBCSwahili

Ngome ya waasi yashambuliwa Yemen

Ndege za kivita mapema leo zilishambulia ngome ya waasi wa Houthi karibu na Ikulu ya Rais wa Yemen mjini Sanaa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Ikulu ya Rais Somalia yashambuliwa

Wapiganaji wa kiisilamu nchini Somalia wameshambulia Ikulu ya Rais katika mji mkuu Mogadishu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ikulu ya rais yashambuliwa Somalia

Washukiwa kadhaa na wapiganaji wa Kisomali, wamerusha makombora hadi katika ikulu ya Rais katika mji mku wa Somalia Mogadishu.

 

10 years ago

Vijimambo

Rais wa Yemen ajiuzulu

Rais wa zamani wa Yemen, Abd Rabbuh Mansour Hadi akizungumza wakati wa kufunga mashauriano ya kitaifa mjini Sana'a
Rais wa zamani wa Yemen, Abd Rabbuh Mansour Hadi akizungumza wakati wa kufunga mashauriano ya kitaifa mjini Sana'a
Rais wa Yemen Abd Rabbuh Mansour Hadi na baraza lake la mawaziri walielezea kujiuzulu kwao. Hatua hiyo imekuja kufuatia vuguvugu la vita vya kisiasa kati ya Rais na wanamgambo wa Houthi ambao wameshambulia nchi tangu jumatatu.

Msemaji wa serikali ya Yemen mjini Washington, Mohammed Albasha alitangaza Rais wa Yemen aliyekumbwa na matatizo alijiuzulu kupitia mtandao wa kijamii hapo...

 

10 years ago

BBCSwahili

UN yataka rais wa Yemen arudi mamlakani

Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki-moon, amesema kuwa rais wa zamani wa Yemen, lazima arejeshwe madarakani.

 

10 years ago

BBCSwahili

Waasi 'waiteka' ikulu ya Rais Yemen

Taarifa za hivi punde kutoka mji mkuu wa Yemen, Sanaa zinasema makabiliano makali yametokea kati ya waasi wa Houthi na vikosi vya usalama katika ikulu ya Rais.

 

10 years ago

BBCSwahili

Rais wa Yemen aitaka UN kuingilia kati

Rais wa Yemen ameliomba baraza la usalama la umoja wa mataifa kuidhinisha hatua za kijeshi dhidi ya kundi la waasiwa houthi

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani