Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ikulu ya Rais Somalia yashambuliwa

Wapiganaji wa kiisilamu nchini Somalia wameshambulia Ikulu ya Rais katika mji mkuu Mogadishu.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Ikulu ya rais yashambuliwa Somalia

Washukiwa kadhaa na wapiganaji wa Kisomali, wamerusha makombora hadi katika ikulu ya Rais katika mji mku wa Somalia Mogadishu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Hoteli yashambuliwa nchini Somalia

Hoteli moja karibu na makazi ya Rais katika mji mkuu wa Somalia Mogadishu imeshambuliwa.

 

10 years ago

StarTV

Makao ya rais yashambuliwa Yemen.

Rais wa Yemeni Abd Rabbuh Mansour Hadi amehamishwa hadi mahala salama baada ya mashambulio ya angani katika maskani yake katika mji wa Aden, Kusini mwa taifa hilo.

Bwana hadi alitoroka kutoka mji wa Sanaa ambao umetekwa na Waasi wa Houthi na anajaribu kujenga kambi mpya ya utawala katika eneo hilo.

Ndege mbili za kivita zinaaminika kutumika katika mashambulio hayo, lakini maskani yake hayakushambuliwa moja kwa moja.

Ndege hizo zinadaiwa kutumwa kutoka mji wa Sanaa.

Uvamizi huo ulitokea saa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ngome ya rais yashambuliwa Yemen

Ndege za kivita nchini Yemen zimerusha makombora katika mji wa kusini wa Aden ambapo rais Abd Rabbuh Mansour Hadi

 

10 years ago

BBCSwahili

Makao ya rais yashambuliwa Yemen

Rais wa Yemeni Abd Rabbuh Mansour Hadi amehamishwa hadi mahala salama baada ya makao yake kushambuliwa na ndege

 

11 years ago

BBCSwahili

AL Shabaab washambulia ikulu Somalia

Serikali ya Somalia imedhibiti ikulu mjini Mogadishu na kuwaua wanamgambo wa Al shabaab waliovamia.

 

10 years ago

Vijimambo

RAIS JACOB ZUMA AKUTANA NA RAIS KIKWETE IKULU-MAKAMU WA RAIS AMSINDIKIZA

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimkaribisha na kufanya mazungumzo na Rais Jackob Zuma wa Afrika ya Kusini leo ikulu jijini Dar es Salaam

 

5 years ago

Michuzi

Rais wa Somalia akubali kukutana na Rais wa Kenya kujaribu kutatua hitilafu zilizopo


Rais Mohamed Farmajo wa Somalia amekubali mwaliko wa Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya wa kukutana naye jijini Nairobi kwa ajili ya kutuliza hali ya mambo baada ya uhusiano wa pande mbili kuingia dosari hivi karibuni.

Rais wa Somalia amesema hayo baada ya kumpokea mjumbe maalumu wa Rais Kenyatta Bwana Fred Matiang’i Waziri wa Usalama wa Ndani aliyetumwa mjini Mogadishu kwa ajili ya kukutana na Rais wa nchi hiyo.

Rais wa Somalia amemhakikishia Matiang’i kwamba, atafanya safari hivi karibuni mjini...

 

11 years ago

Dewji Blog

Rais Kikwete akutana na mjumbe wa Rais wa Burundi Ikulu jijini Dar

ru1

Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Sheikh Mohamed Rukara, Mjumbe maalum wa Rais wa Burundi Mhe Pierre Nkurunzinza, alipofika na ujumbe wake kuwasilisha ujumbe huo Ikulu jijini Dar es salaam April 29, 2014.

ru2

Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akipokea toka kwa Sheikh Mohamed Rukara, ujumbe  maalum wa Rais wa Burundi Mhe Pierre Nkurunzinza, aliyeuwasilisha  ujumbe huo Ikulu jijini Dar.

ru3

Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akimsindikiza Sheikh Mohamed Rukara, Mjumbe maalum wa Rais wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani