Rais wa Somalia akubali kukutana na Rais wa Kenya kujaribu kutatua hitilafu zilizopo
![](https://1.bp.blogspot.com/-rMorwdw1mJw/XmajdpTt_uI/AAAAAAALiUI/wOFilmkC5DwRKSc7x02M3pbFA2Xl_hexgCLcBGAsYHQ/s72-c/4bsh826d1c88291fd8c_800C450.jpg)
Rais Mohamed Farmajo wa Somalia amekubali mwaliko wa Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya wa kukutana naye jijini Nairobi kwa ajili ya kutuliza hali ya mambo baada ya uhusiano wa pande mbili kuingia dosari hivi karibuni.
Rais wa Somalia amesema hayo baada ya kumpokea mjumbe maalumu wa Rais Kenyatta Bwana Fred Matiang’i Waziri wa Usalama wa Ndani aliyetumwa mjini Mogadishu kwa ajili ya kukutana na Rais wa nchi hiyo.
Rais wa Somalia amemhakikishia Matiang’i kwamba, atafanya safari hivi karibuni mjini...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-vGqnhEYFc7w/XsV11cHqFkI/AAAAAAALrBY/vb1dsdvG9iQCTS9EO-b0W7OXJruuqmWLwCLcBGAsYHQ/s72-c/9AAA-768x660.jpg)
Rais Magufuli na Rais Kenyatta waagiza viongozi kukutana na kutatua mgogoro wa malori mpakani
![](https://1.bp.blogspot.com/-vGqnhEYFc7w/XsV11cHqFkI/AAAAAAALrBY/vb1dsdvG9iQCTS9EO-b0W7OXJruuqmWLwCLcBGAsYHQ/s640/9AAA-768x660.jpg)
10 years ago
Mwananchi11 Feb
Rais Kikwete akubali utendaji wa Chadema Manispaa ya Moshi
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rpTO7xq7SsG9wy1wUxMVwWEQUxk5HaKgGf747KRCg3TQXVld6GHs*UYV09JE7QMzADn8Pq1lCr8AWC17y1vMgg6yulLi73if/2kq1.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE AKUTANA NA NAIBU RAIS WA KENYA WILLIAM RUTO
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/HgrE5awSMWk/default.jpg)
11 years ago
BBCSwahili15 Jul
Wazazi wasita kukutana na Rais Goodluck
11 years ago
BBCSwahili09 Jun
Rais Kiir kukutana na Riek Machar
11 years ago
BBCSwahili22 Jul
Hatimaye Rais Goodluck kukutana na wazazi
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-N49X0QlvcXU/Xkz6JJEcyPI/AAAAAAACy-Y/SfAaH67uHtcQYc-70o5I0YotYjP0S--BwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.gif)
MADAKTARI KUKUTANA NA RAIS MAGUFULI KESHO
![](https://1.bp.blogspot.com/-N49X0QlvcXU/Xkz6JJEcyPI/AAAAAAACy-Y/SfAaH67uHtcQYc-70o5I0YotYjP0S--BwCLcBGAsYHQ/s640/1.gif)
Rais wa MAT, Dkt. Elisha Osati amesema kuwa mkutano huo unaotarajiwa kufanyika kesho tarehe 20 mwezi huu katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNICC), utashirikisha zaidi ya watumishi 1,000 wa kada ya afya.
“Tunataka tumueleze Rais masuala mbalimbali yanayohusu sekta...