Wazazi wasita kukutana na Rais Goodluck
Wazazi wa zaidi ya wasichana 200 waliotekwa nyara na Boko Haram nchini Nigeria wamekataa wito wa kukutana na rais wa taifa hilo Goodluck Jonathan.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili22 Jul
Hatimaye Rais Goodluck kukutana na wazazi
Rais Goodluck Jonathan anatarajiwa kukutana na wazazi wa wasichana waliotekwa nyara na wapiganaji wa kiisilamu wa Boko Haram.
10 years ago
Habarileo19 Mar
Wajumbe Baraza Kuu Wazazi kukutana Dodoma
WAJUMBE 150 wa Baraza Kuu la Umoja wa Wazazi Tanzania wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) watakutana mjini Dodoma kwa ajili ya kupata mafunzo juu ya Katiba Inayopendekezwa ili wawe chachu ya kuhamasisha wanachama na wananchi kuipigia kura ya ndiyo.
11 years ago
BBCSwahili29 May
Rais Goodluck atangaza vita vikali
Rais wa Nigeria Goodluck Jonathan ameagiza kufanywa oparesheni kali zaidi ili kudhibiti alichokiita mauaji ya kiholela yanayofanywa na magaidi.
11 years ago
BBCSwahili16 May
Rais Goodluck Jonathan kuzuru Chibok
Rais wa Nigeria Goodluck Jonathan anatarajiwa kuzuru mji ulio Kaskazini mashariki mwa nchi wa Chibok ambako wasichana zaidi ya 200 wa shule walitekwa nyara mwezi uliopita.
10 years ago
BBCSwahili29 Jan
Msafara wa rais Goodluck wapigwa mawe
Msafara wa magari ya Rais wa Nigeria umepigwa mawe na watu wanailaumu serikali kwa kukosa kukomesha harakati za wapiganaji wa kiisilamu wa Boko Haram.
10 years ago
BBCSwahili11 Nov
Rais Goodluck kugombea tena urais
Rais wa Nigeria GoodluckJonathan amekuwa akikosolewa kwa kushindwa kushughulikia suala la wanamgambo wa Boko haram ipasavyo.
11 years ago
BBCSwahili17 Jul
Rais Goodluck Jonathan aomba msaada
Serikali ya Nigeria inahitaji msaada wa dola billioni moja ili kukabilina na wanamgambo wa Boko Haram ambao wanazusha vurugu
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-rMorwdw1mJw/XmajdpTt_uI/AAAAAAALiUI/wOFilmkC5DwRKSc7x02M3pbFA2Xl_hexgCLcBGAsYHQ/s72-c/4bsh826d1c88291fd8c_800C450.jpg)
Rais wa Somalia akubali kukutana na Rais wa Kenya kujaribu kutatua hitilafu zilizopo
![](https://1.bp.blogspot.com/-rMorwdw1mJw/XmajdpTt_uI/AAAAAAALiUI/wOFilmkC5DwRKSc7x02M3pbFA2Xl_hexgCLcBGAsYHQ/s640/4bsh826d1c88291fd8c_800C450.jpg)
Rais wa Somalia amesema hayo baada ya kumpokea mjumbe maalumu wa Rais Kenyatta Bwana Fred Matiang’i Waziri wa Usalama wa Ndani aliyetumwa mjini Mogadishu kwa ajili ya kukutana na Rais wa nchi hiyo.
Rais wa Somalia amemhakikishia Matiang’i kwamba, atafanya safari hivi karibuni mjini...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-vGqnhEYFc7w/XsV11cHqFkI/AAAAAAALrBY/vb1dsdvG9iQCTS9EO-b0W7OXJruuqmWLwCLcBGAsYHQ/s72-c/9AAA-768x660.jpg)
Rais Magufuli na Rais Kenyatta waagiza viongozi kukutana na kutatua mgogoro wa malori mpakani
![](https://1.bp.blogspot.com/-vGqnhEYFc7w/XsV11cHqFkI/AAAAAAALrBY/vb1dsdvG9iQCTS9EO-b0W7OXJruuqmWLwCLcBGAsYHQ/s640/9AAA-768x660.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania