Rais Goodluck kugombea tena urais
Rais wa Nigeria GoodluckJonathan amekuwa akikosolewa kwa kushindwa kushughulikia suala la wanamgambo wa Boko haram ipasavyo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vnQhPUwEod0mt2CdoaHvHTb0pVSrIe0Z09f-zP98fgFbGoE43efJUivyI5orBD4wDw*Y7neXaxWm58YI78X2EjyrHrlQmq3f/BUJUMBURA.jpg?width=650)
VURUGU ZAZUKA NCHINI BURUNDI BAADA YA RAIS NKURUNZIZA KUTEULIWA KUGOMBEA TENA URAIS
Waandamanaji wakiwa Mjini Bujumbura. Kumezuka ghasia katika Mji wa Bujumbura nchini Burundi kati ya maofisa wa polisi na waandamanaji wanaoishutumu serikali kwa kufanya mapinduzi ya kikatiba. Waandamanaji walirusha mawe na kuchoma matairi huku maofisa wa polisi wakilazimika kurusha mabomu ya machozi hewani. Ghasia hizo zinafuatia tangazo la jana kwamba Rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza ameteuliwa na chama chake kuwania muhula wa...
10 years ago
BBCSwahili21 Oct
Bashir kugombea tena urais Sudan
Chama tawala nchini Sudan kimemteua Rais Omar al-Bashir kuwa mgombea wake katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Aprili mwaka ujao.
10 years ago
VijimamboMAALIM SEIF ADAHAMINIWA TENA KUGOMBEA URAIS
![](http://2.bp.blogspot.com/-3jFLXWTdX3s/VUc9zlnIlaI/AAAAAAABtqs/i-kqalbjz-w/s640/ud2.jpg)
11 years ago
BBCSwahili17 Apr
Rais Bouteflika kugombea Urais Algeria
Wananchi wa Algeria leo wanapiga kura kumchagua Rais mpya . Rais Abdelaziz Bouteflika anayeugua kiharusi anawania kwa muhula wa 4.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6xzDXLZEGutGYkhT2J8BLrLit3nY6CeA*3qF7YymMU*O8EOe*-W4e3C963ttLnjl9bPiFLfDIp1F50iYYr8VXMaP4J1NHrsd/lum.jpeg?width=300)
Vijana wapiganie sasa haki ya kugombea urais, Vijana wasisubiri wazee wawaruhusu kugombea urais
Patrice Lumumba. Julius Nyerere. Na Walusanga Ndaki
IJUMAA moja ya alasiri na kiangazi jijini Dar es Salaam, mwandishi wa makala hii ambaye sasa ana umri wa miaka 60 alikuwa akifanya mzaha wa kupiga danadana mpira wa miguu nje ya ofisi yao kabla ya kwenda kwenye mechi ya soka kati ya timu ya ofisi yake na taasisi moja ya habari. Mwandishi huyo alifanya hivyo kwa umahiri mkubwa kwa kama dakika tano mbele ya wafanyakazi wenzake...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-erEViLS8GfI/XunM_fpkGcI/AAAAAAAC7ws/9e-xJ2vQWJkYte68zhQdMZ1n8dOiPpA4QCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
RAIS MAGUFULI ACHUKUA FORM YA KUGOMBEA URAIS
![](https://1.bp.blogspot.com/-erEViLS8GfI/XunM_fpkGcI/AAAAAAAC7ws/9e-xJ2vQWJkYte68zhQdMZ1n8dOiPpA4QCLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa Rais John Magufuli, leo amechukua fomu za kuwania kuteuliwa na chama chake kushiriki katika kinyang’anyiro cha urais katika uchaguzi mkuu ujao.
Rais Magufuli amekabidhiwa fomu hiyo na Katibu Mkuu wa CCM Dkt Bashiru Ally kwenye Makao Makuu ya chama hicho mkoani Dodoma.
Akizungumza baada ya kukabidhiwa fomu hiyo, Rais Magufuli amesema anaanza mapema mchakato wa kutafuta wadhamini ili awahi kurejesha fomu hiyo mapema.
Mwenyekiti huyo wa CCM amesema...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-6AQZHuwmMeI/XunLmrcJJ1I/AAAAAAALuLg/av6dnPOGvmot7g8rB-DPprYmHRAU49yaQCLcBGAsYHQ/s72-c/c4b8f50f-3b9e-4e5f-a68b-d4504e665712.jpg)
Rais Magufuli achukua fomu za kuomba kuteuliwa na CCM kugombea Urais
![](https://1.bp.blogspot.com/-6AQZHuwmMeI/XunLmrcJJ1I/AAAAAAALuLg/av6dnPOGvmot7g8rB-DPprYmHRAU49yaQCLcBGAsYHQ/s640/c4b8f50f-3b9e-4e5f-a68b-d4504e665712.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/c4d4e23c-bb9c-4e93-95a9-d28e949311a6.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/d819a5cb-299f-4675-82c1-c84eb1da8c78.jpg)
11 years ago
BBCSwahili13 May
Je Rais Museveni atagombea Urais tena?
Rais Yoweri Museveni wa Uganda amesema sio juu yake kuamua kuendelea kuwa kiongozi wa nchi hiyo.
11 years ago
BBCSwahili17 Jul
Rais Goodluck Jonathan aomba msaada
Serikali ya Nigeria inahitaji msaada wa dola billioni moja ili kukabilina na wanamgambo wa Boko Haram ambao wanazusha vurugu
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania