Rais Magufuli na Rais Kenyatta waagiza viongozi kukutana na kutatua mgogoro wa malori mpakani
![](https://1.bp.blogspot.com/-vGqnhEYFc7w/XsV11cHqFkI/AAAAAAALrBY/vb1dsdvG9iQCTS9EO-b0W7OXJruuqmWLwCLcBGAsYHQ/s72-c/9AAA-768x660.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza jambo na mtoto aliyejulikana kwa jina moja...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-rMorwdw1mJw/XmajdpTt_uI/AAAAAAALiUI/wOFilmkC5DwRKSc7x02M3pbFA2Xl_hexgCLcBGAsYHQ/s72-c/4bsh826d1c88291fd8c_800C450.jpg)
Rais wa Somalia akubali kukutana na Rais wa Kenya kujaribu kutatua hitilafu zilizopo
![](https://1.bp.blogspot.com/-rMorwdw1mJw/XmajdpTt_uI/AAAAAAALiUI/wOFilmkC5DwRKSc7x02M3pbFA2Xl_hexgCLcBGAsYHQ/s640/4bsh826d1c88291fd8c_800C450.jpg)
Rais wa Somalia amesema hayo baada ya kumpokea mjumbe maalumu wa Rais Kenyatta Bwana Fred Matiang’i Waziri wa Usalama wa Ndani aliyetumwa mjini Mogadishu kwa ajili ya kukutana na Rais wa nchi hiyo.
Rais wa Somalia amemhakikishia Matiang’i kwamba, atafanya safari hivi karibuni mjini...
9 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-jB9FWRS1DJQ/VhJSPk0tQmI/AAAAAAAH9AE/wyJqhp2ZyQ8/s640/ke1.jpg)
RAIS KIKWETE AKUTANA NA RAIS UHURU KENYATTA, AZURU KABURI LA BABA WA TAIFA LA KENYA MZEE JOMO KENYATTA
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-jB9FWRS1DJQ/VhJSPk0tQmI/AAAAAAAH9AE/wyJqhp2ZyQ8/s72-c/ke1.jpg)
RAIS KIKWETE AKUTANA NA RAIS UHURU KENYATTA, AZURU KABURI LA BABA WA TAIFA LA KENYA HAYATI MZEE JOMO KENYATTA
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-vqmvLYk3U64/U_zsypEDbvI/AAAAAAAGCkM/g1mGrrScTII/s72-c/D92A7195.jpg)
RAIS KIKWETE KUKUTANA NA VIONGOZI WA VYAMA -TCD
![](http://3.bp.blogspot.com/-vqmvLYk3U64/U_zsypEDbvI/AAAAAAAGCkM/g1mGrrScTII/s1600/D92A7195.jpg)
Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt Jakaya Mrisho Kikwete ameahidi kuonana na Viongozi wa Vyama vya Siasa vinavyounda Kituo cha Demkrasia Tanzania(TCD) kabla ya mwisho wa wiki kwa lengo la kushauriana.
Kauli hii imetolewa na Mwenyekiti wa TCD,Mhe. John Cheyo mjini Dodoma wakati akizungumza na waandishi wa katika ukumbi wa mikutano wa ofisi za Bunge.
Mhe. Cheyo alisema Rais Kikwete amekubali kuonana nao kufutia kikao chao walichokaa kwa pamoja...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-N49X0QlvcXU/Xkz6JJEcyPI/AAAAAAACy-Y/SfAaH67uHtcQYc-70o5I0YotYjP0S--BwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.gif)
MADAKTARI KUKUTANA NA RAIS MAGUFULI KESHO
![](https://1.bp.blogspot.com/-N49X0QlvcXU/Xkz6JJEcyPI/AAAAAAACy-Y/SfAaH67uHtcQYc-70o5I0YotYjP0S--BwCLcBGAsYHQ/s640/1.gif)
Rais wa MAT, Dkt. Elisha Osati amesema kuwa mkutano huo unaotarajiwa kufanyika kesho tarehe 20 mwezi huu katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNICC), utashirikisha zaidi ya watumishi 1,000 wa kada ya afya.
“Tunataka tumueleze Rais masuala mbalimbali yanayohusu sekta...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-cra3smLrxF8/VQ66_nz5wRI/AAAAAAAHMLg/sSM1SlTy3Ys/s72-c/unnamed%2B(54).jpg)
Rais Kikwete akutana na Rais Uhuru Kenyatta mjini Windhoek, Alhaj Mwinyi na Mzee Mkapa waungana naye sherehe za kuapishwa rais mpya wa namibia
![](http://3.bp.blogspot.com/-cra3smLrxF8/VQ66_nz5wRI/AAAAAAAHMLg/sSM1SlTy3Ys/s1600/unnamed%2B(54).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-a0pRN5HFuA0/VQ66_UT049I/AAAAAAAHMLc/khLtmIT_i0g/s1600/unnamed%2B(56).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-X422Ur7jOR4/VQ67A4qaJQI/AAAAAAAHMLs/dr0qghe3iko/s1600/unnamed%2B(55).jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-L71k6uB5SHY/XsU2k7TThjI/AAAAAAAAy80/jQfbWG8KvFYBgVB-8sVACK9j9xaIfN8aACLcBGAsYHQ/s72-c/maxresdefault.jpg)
RAIS MAGUFULI NA UHURU KENYATTA WAYAMLIZA
![](https://1.bp.blogspot.com/-L71k6uB5SHY/XsU2k7TThjI/AAAAAAAAy80/jQfbWG8KvFYBgVB-8sVACK9j9xaIfN8aACLcBGAsYHQ/s400/maxresdefault.jpg)
“Mimi na Kenyatta tumeongea kwenye simu tumeyamaliza, naagiza ndani ya wiki hii, Waziri wa Uchukuzi na Timu yake wakakutane na Waziri wa Kenya kule mpakani wakiwa na Wakuu wa Mikoa ya mipakani...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-VhgBMl8LEPw/Xl5a_R5qMwI/AAAAAAALgvs/zjusSny0x4I0TAJ1_F9IqCPl5corXwY2ACLcBGAsYHQ/s72-c/0.jpg)
MAALIM SEIF ASEMA AMEFURAHI KUKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA RAIS MAGUFULI
![](https://1.bp.blogspot.com/-VhgBMl8LEPw/Xl5a_R5qMwI/AAAAAAALgvs/zjusSny0x4I0TAJ1_F9IqCPl5corXwY2ACLcBGAsYHQ/s640/0.jpg)
Na Said Mwishehe, Michuzi Blogu ya Jamii
MWANASIASA mkongwe nchini ambaye kwa sasa ni Mshauri wa Chama cha ACT-Wazalendo Maalim Seif Sharif Hamad amesema anamshukuru Rais Dk.John Magufuli kwa kukutana na kufanya mazungumzo naye.
Maalim Seif amekutana na Rais Magufuli ikiwa ni mara yake ya kwanza tangu ajiunge na ACT –Wazalendo akitokea Chama cha Wananci(CUF).Hata hivyo kabla ya kuondoka CUF alishawahi kukutana na kufanya mazungumzo na Rais.
Akizungumza baada ya mazungumzo yake na Rais Magufuli,...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-EC-lQY2NWy0/XoirgAMa2PI/AAAAAAALmB8/Migzz0xuq_MLQnrC-2sDviWPRAlMylF3QCLcBGAsYHQ/s72-c/Untitled-1.jpg)
RAIS JK NYERERE NA RAIS JOMO KENYATTA WALIVYOACHA KWENDA KUANGALIA KABUMBU VIWANJANI!
![](https://1.bp.blogspot.com/-EC-lQY2NWy0/XoirgAMa2PI/AAAAAAALmB8/Migzz0xuq_MLQnrC-2sDviWPRAlMylF3QCLcBGAsYHQ/s640/Untitled-1.jpg)
Na MZEE WA ATIKALI ✍️✍️✍️
1. Usuli:
Rais wa kwanza wa Tanganyika na Tanzania, marehemu Mwalimu JK NYERERE na Rais wa kwanza wa Kenya, marehemu Mzee JOMO KENYATTA, walikuwa na kawaida ya kuhudhuria kabumbu viwanjani, mara moja moja, kunapokuwa na mchezo wa Kimataifa.
Hata hivyo, Mwalimu NYERERE aliacha kwenda uwanjani siku ya Jumanne, tarehe 4.7.1972 na Mzee KENYATTA aliacha kwenda uwanjani siku ya Jumapili, tarehe 12.12.1965.
Je, nini kilipelekea Marais hawa kukata mguu kwenda viwanjani...