Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Rais Magufuli na Rais Kenyatta waagiza viongozi kukutana na kutatua mgogoro wa malori mpakani


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza jambo na mtoto aliyejulikana kwa jina moja...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

Rais wa Somalia akubali kukutana na Rais wa Kenya kujaribu kutatua hitilafu zilizopo


Rais Mohamed Farmajo wa Somalia amekubali mwaliko wa Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya wa kukutana naye jijini Nairobi kwa ajili ya kutuliza hali ya mambo baada ya uhusiano wa pande mbili kuingia dosari hivi karibuni.

Rais wa Somalia amesema hayo baada ya kumpokea mjumbe maalumu wa Rais Kenyatta Bwana Fred Matiang’i Waziri wa Usalama wa Ndani aliyetumwa mjini Mogadishu kwa ajili ya kukutana na Rais wa nchi hiyo.

Rais wa Somalia amemhakikishia Matiang’i kwamba, atafanya safari hivi karibuni mjini...

 

9 years ago

GPL

RAIS KIKWETE AKUTANA NA RAIS UHURU KENYATTA, AZURU KABURI LA BABA WA TAIFA LA KENYA MZEE JOMO KENYATTA

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na mwenyeji wake Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya katika Ikulu ya nchi hiyo jijini Nairobi leo Jumatatu October 5, 2015 alipokwenda kwa mapokezi rasmi ya ziara yake pamoja na mazungumzo na hatimaye kuaga.  Rais Jakaya Mrisho Kikwete akitambulishwa na mwenyeji wake Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya kwa Mkuu wa Majeshi ya Kenya Jenerali Samson Mwathete katika Ikulu ya nchi hiyo jijini Nairobi leo...

 

9 years ago

Michuzi

RAIS KIKWETE AKUTANA NA RAIS UHURU KENYATTA, AZURU KABURI LA BABA WA TAIFA LA KENYA HAYATI MZEE JOMO KENYATTA

Serikali ya Kenya na watu wake wameelezea shukrani zake kwa Rais Jakaya Mrisho Kikwete kwa urafiki na ushirikiano thabiti aliouonyesha kwa watu wa Kenya katika kipindi cha miaka 10 ya uongozi wake. Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya amesema hayo tarehe 5 Oktoba, 2015 katika Ikulu ya Nairobi wakati wa mazungumzo ya kiserikali. "I thank you, and on behalf of People of Kenya for your friendship and Cooperation that was reflected during your 10 years as President" Rais Kenyatta amemueleza Rais Kikwete...

 

10 years ago

Michuzi

RAIS KIKWETE KUKUTANA NA VIONGOZI WA VYAMA -TCD

Na   Magreth Kinabo, Dodoma
Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt Jakaya Mrisho  Kikwete ameahidi kuonana na Viongozi wa Vyama vya Siasa vinavyounda Kituo cha Demkrasia Tanzania(TCD) kabla ya mwisho wa wiki kwa lengo la kushauriana.
 Kauli  hii imetolewa na Mwenyekiti wa TCD,Mhe. John  Cheyo mjini Dodoma wakati akizungumza na waandishi  wa   katika ukumbi wa mikutano wa ofisi za Bunge.
Mhe. Cheyo alisema Rais Kikwete amekubali kuonana nao kufutia kikao chao walichokaa kwa pamoja...

 

5 years ago

CCM Blog

MADAKTARI KUKUTANA NA RAIS MAGUFULI KESHO

 Chama cha Madaktari Tanzania (MAT) kinatarajia kukutana na kuzungumza na Rais John Magufuli, ambapo miongoni mwa mambo watakayomueleza ni changamoto za ukosefu wa ajira, udhalilishaji na motisha za watumishi.
Rais wa MAT, Dkt. Elisha Osati amesema kuwa mkutano huo unaotarajiwa kufanyika kesho tarehe 20 mwezi huu katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNICC), utashirikisha zaidi ya watumishi 1,000 wa kada ya afya.
“Tunataka tumueleze Rais masuala mbalimbali yanayohusu sekta...

 

10 years ago

Michuzi

Rais Kikwete akutana na Rais Uhuru Kenyatta mjini Windhoek, Alhaj Mwinyi na Mzee Mkapa waungana naye sherehe za kuapishwa rais mpya wa namibia

 .Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya jijini Windhoek Namibia ambapo walihudhuria sherehe za kuapishwa Rais mpya wa Namibia.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na ujumbe wake akikutana na Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya katika Hoteli ya Safari Court jijini Windhoek Namibia jana.Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa pamoja na marais wastaafu Ali Hassan Mwinyi(kulia) na Benjamin William Mkapa(kushoto) katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Hosea Kutako jijini...

 

5 years ago

CCM Blog

RAIS MAGUFULI NA UHURU KENYATTA WAYAMLIZA

  “Juzi nilipigiwa simu na Kenyatta nikiwa bado Chato, akanipa pole na kujielezea mambo ya corona kidogo, leo pia mimezungumza nae pia, kuna kimgogoro kule mpakani mwa Kenya, Kenya ni Marafiki zetu, corona isiwe chanzo cha migogoro, sisi Marais tumeyamaliza”-Rais Magufuli akiwahutubia Wananchi Singida.

“Mimi na Kenyatta tumeongea kwenye simu tumeyamaliza, naagiza ndani ya wiki hii, Waziri wa Uchukuzi na Timu yake wakakutane na Waziri wa Kenya kule mpakani wakiwa na Wakuu wa Mikoa ya mipakani...

 

5 years ago

Michuzi

MAALIM SEIF ASEMA AMEFURAHI KUKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA RAIS MAGUFULI


Na Said Mwishehe, Michuzi Blogu ya Jamii
MWANASIASA mkongwe nchini ambaye kwa sasa ni Mshauri wa Chama cha ACT-Wazalendo Maalim Seif Sharif Hamad amesema anamshukuru Rais Dk.John Magufuli kwa kukutana na kufanya mazungumzo naye.
Maalim Seif amekutana na Rais Magufuli ikiwa ni mara yake ya kwanza tangu ajiunge na ACT –Wazalendo akitokea Chama cha Wananci(CUF).Hata hivyo kabla ya kuondoka CUF alishawahi kukutana na kufanya mazungumzo na Rais.
Akizungumza baada ya mazungumzo yake na Rais Magufuli,...

 

5 years ago

Michuzi

RAIS JK NYERERE NA RAIS JOMO KENYATTA WALIVYOACHA KWENDA KUANGALIA KABUMBU VIWANJANI!


 Na MZEE WA ATIKALI  ✍️✍️✍️


1. Usuli:

Rais wa kwanza wa Tanganyika na Tanzania, marehemu Mwalimu JK NYERERE na Rais wa kwanza wa Kenya, marehemu Mzee JOMO KENYATTA, walikuwa na kawaida ya kuhudhuria kabumbu viwanjani, mara moja moja, kunapokuwa na mchezo wa Kimataifa.

Hata hivyo, Mwalimu NYERERE aliacha kwenda uwanjani siku ya Jumanne, tarehe 4.7.1972 na Mzee KENYATTA aliacha kwenda uwanjani siku ya Jumapili, tarehe 12.12.1965.

Je, nini kilipelekea Marais hawa kukata mguu kwenda viwanjani...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani