Rais Goodluck atangaza vita vikali
Rais wa Nigeria Goodluck Jonathan ameagiza kufanywa oparesheni kali zaidi ili kudhibiti alichokiita mauaji ya kiholela yanayofanywa na magaidi.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili06 Jul
Vita vikali vyazuka Yemen
Ripoti kutoka Yemen zinasema kuwa kumekuwa na vita vikali kati ya jeshi la taifa hilo na waasi wa ki-shia kazkazini mwa taifa
11 years ago
BBCSwahili28 Jun
11 years ago
BBCSwahili05 Jul
Ni vita vikali Argentina vs Ubelgiji
Katika historia za kukutana Argentina imeshinda mara tatu katika mara nne zilipokutana wakati Ubelgiji ikishinda mara moja.
11 years ago
BBCSwahili21 Jun
Vita vikali vyaendelea nchini Iraq
Mapigano yanaendelea katika mji uliopo kazkazini magharibi wa Tal Afar nchini Iraq
10 years ago
BBCSwahili18 Jul
Yemen:Vita vikali vyaendelea mjini Aden
Ripoti kutoka Yemen zinaarifu kuwa mapambano makali yanaendelea katika mtaa mmoja wa mji wenye bandari ya Aden
10 years ago
BBCSwahili06 Apr
Vita vikali vyaendelea kusini mwa Yemen
Makabiliano makali kati ya waasi wa Houthi na wanajeshi walio watiifu kwa rais wa Yemen Abd Rabbu Mansour Hadi, yanaendelea Aden
11 years ago
GPL
CATHY ATANGAZA VITA NA MASTAA
Na Gladness Mallya MSANII mkongwe kwenye gemu la filamu Bongo, Sabrina Rupia ‘Cathy’ amefunguka hatokaa karibu na mastaa wa kike, badala yake atakuwa na marafiki wa kiume. Akipiga stori na paparazi wetu, Cathy alisema ameamua kubadili mfumo wa maisha na amejiweka pembeni na haitaji urafiki na wasanii wa kike kwani kazi yao kubwa ni kupiga majungu. Msanii mkongwe kwenye gemu la filamu Bongo, Sabrina Rupia...
11 years ago
Uhuru Newspaper11 Sep
Jaji Mutungi atangaza vita
Wanachama vyama vyote nchini kuhakikiwa Teknolojia mpya kutumika kubaini ubabaishajiNA RABIA BAKARIUBABAISHAJI na uendeshaji wa ujanja ujanja wa baadhi ya vyama vya siasa vyenye usajili wa kudumua nchini, umeanza kuitisha Ofisi ya Msajili na sasa inajiandaa kuvifanyia uhakiki ili kubaini udanganyifu.Hatua hiyo inalenga kufichuliwa kwa vyama vyote vinavyoendeshwa kwa ujanja ujanja ama kutokuwa na vigezo vya kuendelea kuwa na usajili wa kudumu kutokana na mabadiliko mbalimbali.Habari za...
10 years ago
GPL
NABII ATANGAZA VITA NA MAHAWARA
MAKUBWA! Nabii wa Kanisa la New Revelation lililopo Buza Kipera jijini Dar, Yaspi Bendera ametoa kali ya mwaka kwa kusema atapambana na watu wanaoishi bila ndoa ‘mahawara’ ili kuhakikisha wanafunga ndoa. Nabii wa Kanisa la New Revelation lililopo Buza Kipera jijini Dar, Yaspi Bendera akiwabariki wanandoa hao. Nabii huyo aliwafungisha ndoa waumini wake 20 huku akisema alichowataka wao ni kununua shela (gauni la bi harusi) tu...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
06-May-2025 in Tanzania