Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NABII ATANGAZA VITA NA MAHAWARA

MAKUBWA! Nabii wa Kanisa la New Revelation lililopo Buza Kipera jijini Dar, Yaspi Bendera ametoa kali ya mwaka kwa kusema atapambana na watu wanaoishi bila ndoa ‘mahawara’ ili kuhakikisha wanafunga ndoa. Nabii wa Kanisa la New Revelation lililopo Buza Kipera jijini Dar, Yaspi Bendera akiwabariki wanandoa hao. Nabii huyo aliwafungisha ndoa waumini wake 20 huku akisema alichowataka wao ni kununua shela (gauni la bi harusi) tu...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

BALAA, NABII JEREMIAH ATANGAZA KIAMA,AWATAKA WAGANGA WA KIENYEJI WAJISALIMISHA.. ATOA SIKU 14

Dokta Manyaunyau ambae ameombwa kuwa wa kwanza kujisalimisha kwake kutokana na matatizo makubwa aliyokuwa nayo.
Na Mwandishi wa MaskanibongotzKatika hali isiyokuwa ya kawaida Nabii Jerry wa kanisa la Holly Ghost Fire lilipo Mbezi Juu kwa Temba Jijini Dar ametoa mpya baada ya kuwatangazia kiama waganga wote wanaotumika kwa ushirikina pamoja na wachawi kujisalimisha kanisani kwake mara moja kabla moto wake haujatua kwenye vichwa vyao.Akiongea na waandishi wa habari mbalimbali Kanisani kwake...

 

11 years ago

Mwananchi

Mourinho atangaza vita Ulaya

Kocha wa Chelsea, Jose Mourinho amesema hatajali ni timu gani watakayokutana nayo baada ya kupangwa kwa ratiba ya mechi za nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa wa Ulaya kesho.

 

11 years ago

GPL

CATHY ATANGAZA VITA NA MASTAA

Na Gladness Mallya MSANII mkongwe kwenye gemu la filamu Bongo, Sabrina Rupia ‘Cathy’ amefunguka hatokaa karibu na mastaa wa kike, badala yake atakuwa na marafiki wa kiume. Akipiga stori na paparazi wetu, Cathy alisema ameamua kubadili mfumo wa maisha na amejiweka pembeni na haitaji urafiki na wasanii wa kike kwani kazi yao kubwa ni kupiga majungu. Msanii mkongwe kwenye gemu la filamu Bongo, Sabrina Rupia...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Jaji Mutungi atangaza vita


Wanachama vyama vyote nchini kuhakikiwa Teknolojia mpya kutumika kubaini ubabaishajiNA RABIA BAKARIUBABAISHAJI na uendeshaji wa ujanja ujanja wa baadhi ya vyama vya siasa vyenye usajili wa kudumua nchini, umeanza kuitisha Ofisi ya Msajili na sasa inajiandaa kuvifanyia uhakiki ili kubaini udanganyifu.Hatua hiyo inalenga kufichuliwa kwa vyama vyote vinavyoendeshwa kwa ujanja ujanja ama kutokuwa na vigezo vya kuendelea kuwa na usajili wa kudumu kutokana na mabadiliko mbalimbali.Habari za...

 

10 years ago

Mwananchi

MAHOJIANO: Bulaya atangaza vita na Wasira

>Mbunge wa Viti Maalumu (CCM), Ester Bulaya ametangaza rasmi nia ya kugombea ubunge katika Jimbo la Bunda ambalo linashikiliwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Uhusiano na Uratibu), Stephen Wasira.

 

11 years ago

GPL

KIGOGO WA WEMA ATANGAZA VITA NA DIAMOND

Stori: Shakoor Jongo
Yule kigogo au taita aliyekuwa akimpa jeuri ya fedha Wema Isaac Sepetu ajulikanaye kwa jina moja la Clement anadaiwa kutangaza vita na staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul Jumaa ‘Diamond Platnumz’.
Habari ‘hoti’ zinadai kuwa Clement anataka Diamond arudishe gharama alizomgharamia Wema ndipo waendeleze mapenzi yao. Nasibu Abdul Jumaa ‘Diamond Platnumz’ na Wema Isaac...

 

10 years ago

KwanzaJamii

Ester Bulaya atangaza vita na Wasira

Mbunge wa Viti Maalum (CCM) Ester Bulaya (kulia) akifurahia jambo la Waziri Mkuu Mizengo Pinda katika mojawapo ya vikao vya Bunge mjini Dodoma. Dar es Salaam. Mbunge wa Viti Maalumu (CCM), Ester Bulaya ametangaza rasmi nia ya kugombea ubunge katika Jimbo la Bunda ambalo linashikiliwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Uhusiano na Uratibu), Stephen Wasira. Kwa nia hiyo, Bulaya anaweza kuwa ametangaza vita dhidi ya Wasira ambaye hivi karibuni akiwa Bunda, alitangaza kukitetea kiti...

 

11 years ago

BBCSwahili

Rais Goodluck atangaza vita vikali

Rais wa Nigeria Goodluck Jonathan ameagiza kufanywa oparesheni kali zaidi ili kudhibiti alichokiita mauaji ya kiholela yanayofanywa na magaidi.

 

11 years ago

Mwananchi

Bocco atangaza vita Simba, City

Mshambuliaji wa Azam FC, John Bocco amewaambia wenzake kama wamedhamilia kutwaa ubingwa msimu huu ni lazima wahakikishe wanaishinda Simba Jumapili na Mbeya City.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani