MAHOJIANO: Bulaya atangaza vita na Wasira
>Mbunge wa Viti Maalumu (CCM), Ester Bulaya ametangaza rasmi nia ya kugombea ubunge katika Jimbo la Bunda ambalo linashikiliwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Uhusiano na Uratibu), Stephen Wasira.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
KwanzaJamii24 Sep
Ester Bulaya atangaza vita na Wasira
Mbunge wa Viti Maalum (CCM) Ester Bulaya (kulia) akifurahia jambo la Waziri Mkuu Mizengo Pinda katika mojawapo ya vikao vya Bunge mjini Dodoma.
Dar es Salaam. Mbunge wa Viti Maalumu (CCM), Ester Bulaya ametangaza rasmi nia ya kugombea ubunge katika Jimbo la Bunda ambalo linashikiliwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Uhusiano na Uratibu), Stephen Wasira.
Kwa nia hiyo, Bulaya anaweza kuwa ametangaza vita dhidi ya Wasira ambaye hivi karibuni akiwa Bunda, alitangaza kukitetea kiti...
9 years ago
Mwananchi11 Sep
Wasira, Bulaya walalamikia hujuma
Wagombea ubunge Jimbo la Bunda Mjini, Stephen Wasira (CCM) na Ester Bulaya (Chadema), wameomba vyombo vya ulinzi kusimamia amani kipindi hiki cha kampeni inayoonekana kuvurugwa na baadhi ya wafuasi wa vyama hivyo.
10 years ago
Mwananchi26 Jul
Wasira, Bulaya waanza kutunishiana misuli
Waziri wa Kilimo na Chakula, Stephen Wasira amesema hakuwahi kuwa na mvutano wowote na Mbunge wa Viti Maalum, Ester Bulaya, kwa kile alichodai kuwa siyo ‘saizi’ yake kwenye uwanja wa siasa.
9 years ago
Vijimambo29 Oct
Wasira agomea matokeo yaliyompa ushindi Bulaya
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Wasira-29OCT2015.jpg)
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Mwanza juzi jioni, Wasira alisema matokeo ya ubunge yalichakachuliwa kutokana na uhesabuji kura kutofuata utaratibu.
Wasira alisema...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-bFvdz3DMbYo/VWsKJxfiJSI/AAAAAAAAUXk/kPpbM42rqQs/s72-c/1.jpg)
MBIO ZA URAISN 2015; STEPHEN WASIRA NAYE ATANGAZA NIA AKIWA MWANZA
![](http://1.bp.blogspot.com/-bFvdz3DMbYo/VWsKJxfiJSI/AAAAAAAAUXk/kPpbM42rqQs/s640/1.jpg)
Mei 31, 2015. Wasira anakuwa mtu wa tatu kutangaza nia hiyo, akitanguliwa na Mbunge wa bunge la Afrika Mashariki, Makongoro Nyerere na Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli, Edward Lowasa.
![](http://3.bp.blogspot.com/-tdkcxcAu0OI/VWsKKZZmXbI/AAAAAAAAUXo/dDAIWB4qKmI/s640/4.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-T7oyim58l_4/VWsKPsc-McI/AAAAAAAAUX0/5HAW9Tr1hJ8/s640/3.jpg)
10 years ago
Uhuru Newspaper11 Sep
Jaji Mutungi atangaza vita
Wanachama vyama vyote nchini kuhakikiwa Teknolojia mpya kutumika kubaini ubabaishajiNA RABIA BAKARIUBABAISHAJI na uendeshaji wa ujanja ujanja wa baadhi ya vyama vya siasa vyenye usajili wa kudumua nchini, umeanza kuitisha Ofisi ya Msajili na sasa inajiandaa kuvifanyia uhakiki ili kubaini udanganyifu.Hatua hiyo inalenga kufichuliwa kwa vyama vyote vinavyoendeshwa kwa ujanja ujanja ama kutokuwa na vigezo vya kuendelea kuwa na usajili wa kudumu kutokana na mabadiliko mbalimbali.Habari za...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1zruj0PgXfiqPvmGUhlFkYDLDxeTRfLgzTwFjPKX-xe*yCEbwvGXRzNiyKyyR0D4wuheovFL9kCQ6rdwCWhd3476twa5YI6J/cathy.jpg?width=650)
CATHY ATANGAZA VITA NA MASTAA
Na Gladness Mallya MSANII mkongwe kwenye gemu la filamu Bongo, Sabrina Rupia ‘Cathy’ amefunguka hatokaa karibu na mastaa wa kike, badala yake atakuwa na marafiki wa kiume. Akipiga stori na paparazi wetu, Cathy alisema ameamua kubadili mfumo wa maisha na amejiweka pembeni na haitaji urafiki na wasanii wa kike kwani kazi yao kubwa ni kupiga majungu. Msanii mkongwe kwenye gemu la filamu Bongo, Sabrina Rupia...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/e5ojRmBjrO-kQk*6SgBRywqYGzpNQqMYYSTdrO89z2uSSCWjGDPpj0B8QdLTSCZOjT3JNlt2hePdiDzpD21Hi*wGVHAuZdE8/nabii.jpg?width=650)
NABII ATANGAZA VITA NA MAHAWARA
MAKUBWA! Nabii wa Kanisa la New Revelation lililopo Buza Kipera jijini Dar, Yaspi Bendera ametoa kali ya mwaka kwa kusema atapambana na watu wanaoishi bila ndoa ‘mahawara’ ili kuhakikisha wanafunga ndoa. Nabii wa Kanisa la New Revelation lililopo Buza Kipera jijini Dar, Yaspi Bendera akiwabariki wanandoa hao. Nabii huyo aliwafungisha ndoa waumini wake 20 huku akisema alichowataka wao ni kununua shela (gauni la bi harusi) tu...
11 years ago
Mwananchi10 Apr
Mourinho atangaza vita Ulaya
Kocha wa Chelsea, Jose Mourinho amesema hatajali ni timu gani watakayokutana nayo baada ya kupangwa kwa ratiba ya mechi za nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa wa Ulaya kesho.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania