MBIO ZA URAISN 2015; STEPHEN WASIRA NAYE ATANGAZA NIA AKIWA MWANZA
![](http://1.bp.blogspot.com/-bFvdz3DMbYo/VWsKJxfiJSI/AAAAAAAAUXk/kPpbM42rqQs/s72-c/1.jpg)
Waziri wa Chakula na Ushirika, Stephen Wasira, akizungumza na wakazi wa jiji la Mwanza wakati akitangaza nia ya kuwania Urasi kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) leo Jumapili
Mei 31, 2015. Wasira anakuwa mtu wa tatu kutangaza nia hiyo, akitanguliwa na Mbunge wa bunge la Afrika Mashariki, Makongoro Nyerere na Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli, Edward Lowasa.Wasira akisalimiana na Mbunge wa Tarime
Wasira akizungumza na wakazi wa jiji la Mwanza
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-QJ1iNjevSpE/VX2P12o66-I/AAAAAAABQLI/AhdAjgo713U/s72-c/DSC_0112-FILEminimizer.jpg)
MH. STEPHEN WASIRA AJIVUNIA REKODI YA UADILIFU KATIKA MBIO ZA URAIS
![](http://4.bp.blogspot.com/-QJ1iNjevSpE/VX2P12o66-I/AAAAAAABQLI/AhdAjgo713U/s640/DSC_0112-FILEminimizer.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Kxa-PchAiXXPHjC-yAasFduKEOt0QZ3I-suqqLit3iaCX2TpHkrkrKgjZTPA8zk7RnwZs3zmQvvdAotTT7Zp7qpbLygVXH4y/wasirra.jpg?width=650)
STEPHEN WASSIRA ATANGAZA NIA YA KUWANIA URAIS
Stephen Wassira akitangaza nia ya kuwania Urais kwenye Ukumbi wa wa BOT jijini Mwanza leo. WAZIRI wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Stephen Wassira leo ametangaza nia ya kuwania Urais kwenye Ukumbi wa wa BOT jijini Mwanza. Wassira anawania nafasi ya kugombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM). Katika hotuba yake wakati wa kutangaza nia yake, Wassira amesema amepata kuteuliwa kuongoza sehemu mbalimbali nchini maana marais wote...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Kxa-PchAiXUToPxwc6pcMqxD-0nPBgGvqcO8JwpUK9FdOgyF0k-IBsJWUVxTNp1EO*XnUcWJy*PZA-HcKczLm8PmvFPt-yUg/mwigulu.jpg?width=650)
MWIGULU NCHEMBA NAYE ATANGAZA NIA YA KUWANIA URAIS
Mwigulu Nchemba akitangaza nia ya kuwania nafasi ya kugombea Urais kupitia CCM jioni hii mkoani Dodoma. NAIBU Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba, ametangaza nia ya kuwania nafasi ya kugombea Urais jioni hii kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) akiwa katika Ukumbi wa Mwl. Nyerere uliopo kwenye Chuo cha Mipango mkoani Dodoma. Kauli mbiu ya Mwigulu ni ‘Mabadiliko ni Vitendo Wakati ni Sasa.’ Katika hotuba yake Mwigulu ameanza...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-7-17Ut3vwpri9QJxIwS9eur80wEPWMoRlDHXMPNWPKxqDgkPw-LM2rUYKWFCbJanOrAEikIrIMEELLJYJsYntrX-B9S9mQw/WASSIRA7.jpg?width=650)
STEPHEN WASSIRA ALIVYOTANGAZA NIA JIJINI MWANZA JANA
Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Stephen Wassira akitangaza nia ya kuwania nafasi ya Urais.…
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rWr07F5d70uqlBu1tnfTIaRUL1nbvazCLdsH7g2K8bjmFa4nT043P8TX52D1UJcUmw4dknY2y3jVZeCC-4Xey8s3PdcpLE1F/kamani.jpg)
DK. KAMANI NAYE ATANGAZA NIA YA KUWANIA URAIS KUPITIA CCM
MBUNGE wa Jimbo la Busega (CCM), ambaye pia ni Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Dk. Titus Kamani (pichani) leo ametangaza nia ya kuwania Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) akiwa jijini Mwanza. Dk.Kamani ametangaza nia katika mkutano wake uliofanyika kwenye Ukumbi wa Gandhi Memorial uliopo Nyamagana Jijini Mwanza.
10 years ago
Mwananchi07 May
UCHAGUZI CCM 2015: Stephen Wasira, Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika
Stephen Wasira alizaliwa mwaka 1945 katika Wilaya ya Bunda, Mkoa wa Mara (ana miaka 70). Alisoma katika shule tatu tofauti, ya kwanza ni Shule ya Msingi Bariri 1956-1959, ya pili ni Shule ya Msingi Nyambitilwa 1960–1961 na kisha akamalizia Shule ya Msingi Kisangwa mwaka 1962 - 1963.
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-rlHB5qxDYdQ/VWsdOWBs1DI/AAAAAAAAUYU/4LZQcMcjNG0/s72-c/mwigu2.jpg)
MWIGULU LAMEK NCHEMBA NAYE ATANGAZA KUWANIA URAIS WA TANZANIA, AKIWA MKOANI DODOMA
![](http://3.bp.blogspot.com/-rlHB5qxDYdQ/VWsdOWBs1DI/AAAAAAAAUYU/4LZQcMcjNG0/s640/mwigu2.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/u-8Cq3szLXM/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-YllZww4Up88/VWczIVqfgyI/AAAAAAAAeDY/0i9b4xs7M1A/s72-c/1.jpg)
Urais 2015 kumekucha CCM: Makongoro Nyerere naye kutangaza nia Butiama
![](http://2.bp.blogspot.com/-YllZww4Up88/VWczIVqfgyI/AAAAAAAAeDY/0i9b4xs7M1A/s640/1.jpg)
Mtoto wa aliyekuwa Rais wa Kwanza wa Tanzania ambaye pia ni baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere ajulikanaye kama Makongoro Nyerere naye anatarajia kutangaza nia ya kugombea urais katika uchaguzi mkuu ujao mwaka 2015.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo kwa vyombo vya habari imebainisha kuwa Makongoro Nyerere atatangaza nia ya kugombea urais kupitia chama cha Mapinduzi ifikapo tarehe moja mwezi wa sita mwaka huu yaani siku ya jumatatu.
Makongoro nyerere ameungana na Waziri Prof. Mark...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania