UCHAGUZI CCM 2015: Stephen Wasira, Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika
Stephen Wasira alizaliwa mwaka 1945 katika Wilaya ya Bunda, Mkoa wa Mara (ana miaka 70). Alisoma katika shule tatu tofauti, ya kwanza ni Shule ya Msingi Bariri 1956-1959, ya pili ni Shule ya Msingi Nyambitilwa 1960–1961 na kisha akamalizia Shule ya Msingi Kisangwa mwaka 1962 - 1963.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-0JSvyAwlhRg/VXgxSTEOyMI/AAAAAAADUWI/k8yeR89ZlyE/s72-c/2........jpg)
Waziri wa Kilimo Chakula na Ushirika, Stephen Wasira akutana na Rais na Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya kutengeneza Matrekta ya Ursus kutoka nchini Poland.
![](http://1.bp.blogspot.com/-0JSvyAwlhRg/VXgxSTEOyMI/AAAAAAADUWI/k8yeR89ZlyE/s640/2........jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-7uwsiC536eQ/VXgxN5-Z_lI/AAAAAAADUWA/DToNU_e8yfc/s640/1......jpg)
Na. Issa Sabuni, WKCUWaziri wa Kilimo Chakula na Ushirika, Stephen Wasira amepongeza hatua iliyofikiwa katika ya Serikali ya Tanzania chini ya Shirika la Uchumi na Maendeleo la Jeshi la Kujenga Taifa (SUMA JKT) na Kampuni ya kutengeneza Matrekta ya Ursus kutoka nchini Poland akisifu kuwa hatua hiyo ni ya...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-b6mUdh2y6Ks/VPgqqsphECI/AAAAAAAHHx0/FRnRm7laLNs/s72-c/unnamed%2B(7).jpg)
Waziri wa Kilimo Chakula na Ushirika Akutana na Balozi wa Marekani
![](http://4.bp.blogspot.com/-b6mUdh2y6Ks/VPgqqsphECI/AAAAAAAHHx0/FRnRm7laLNs/s1600/unnamed%2B(7).jpg)
Mhe Wasira katika mazungumzo yake na Balozi Childdress alibainisha changamoto zinazokabili kilimo nchini kuwa ni pamoja na zana duni zinazotumiwa na wakulima wadogo katika kilimo kuwa ni jembe la mkono. Alisema kwa kutumia jembe la mkono itakuwa ni ngumu kuondoa umaskini kwa wakulima wadogo katika maeneo ya vijijini.
Aliongeza...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-T7FqYtP5z5M/U5XhphW58eI/AAAAAAAFpR8/VUsR1o_Wsgs/s72-c/unnamed+(5).jpg)
WAZIRI WA KILIMO CHAKULA NA USHIRIKA, MHE. CHIZA NA BALOZI WA UINGEREZA NCHINI, MS. DIANNA MELROSE
![](http://2.bp.blogspot.com/-T7FqYtP5z5M/U5XhphW58eI/AAAAAAAFpR8/VUsR1o_Wsgs/s1600/unnamed+(5).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-RYs9QXyO8I8/U7ucPwCbGuI/AAAAAAAFxW8/9ZIBF5RPkYs/s72-c/image.jpeg)
WAZIRI WA KILIMO, CHAKULA NA USHIRIKA ATEMBELEA BANDA LA JESHI LA MAGEREZA MAONESHO YA 38 YA BIASHARA YA KIMATAIFA JIJINI DAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-RYs9QXyO8I8/U7ucPwCbGuI/AAAAAAAFxW8/9ZIBF5RPkYs/s1600/image.jpeg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-hHZstPnDE-s/U7ucPyjVrnI/AAAAAAAFxXA/ZOLbehgKUoQ/s1600/image_1.jpeg)
11 years ago
Michuzi18 Jun
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-bFvdz3DMbYo/VWsKJxfiJSI/AAAAAAAAUXk/kPpbM42rqQs/s72-c/1.jpg)
MBIO ZA URAISN 2015; STEPHEN WASIRA NAYE ATANGAZA NIA AKIWA MWANZA
![](http://1.bp.blogspot.com/-bFvdz3DMbYo/VWsKJxfiJSI/AAAAAAAAUXk/kPpbM42rqQs/s640/1.jpg)
Mei 31, 2015. Wasira anakuwa mtu wa tatu kutangaza nia hiyo, akitanguliwa na Mbunge wa bunge la Afrika Mashariki, Makongoro Nyerere na Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli, Edward Lowasa.
![](http://3.bp.blogspot.com/-tdkcxcAu0OI/VWsKKZZmXbI/AAAAAAAAUXo/dDAIWB4qKmI/s640/4.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-T7oyim58l_4/VWsKPsc-McI/AAAAAAAAUX0/5HAW9Tr1hJ8/s640/3.jpg)
11 years ago
MichuziWIZARA YA KILIMO CHAKULA NA USHIRIKA YASHIRIKI MKUTANO WA WAKUU WA NCHI ZA UMOJA WA AFRIKA
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-xNUEP2CwiJI/VS4aX6kn1II/AAAAAAAHRMY/T7MFeDGINpw/s72-c/unnamed.jpg)
WAZIRI WASIRA AELEZEA HALI YA CHAKULA NCHINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-xNUEP2CwiJI/VS4aX6kn1II/AAAAAAAHRMY/T7MFeDGINpw/s1600/unnamed.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-DIusPcmgnRM/U8BFx3pYahI/AAAAAAAF1Rg/WWSTXlo-ZDE/s72-c/unnamed+(26).jpg)
Waziri wa Kilimo na Ushirika akutana na Wanunuzi wa Tumbaku
Waziri wa wa Kilimo Chakula na Ushirika Mh.Eng Christopher Chiza amewataka wanunuzi wa tumbaku kuja na mikakati mipya ili kuwanufaisha na kuimarisha soko la wakulima wa tumbaku. Mhe. Chiza ameyasema hayo leo ofsini kwake alipokutana na Meneja mkuu wa kampuni ya ununuzi wa tumbaku kutoka kampuni ya JTI. Pamoja na mambo mengine waziri amewataka wafanya biashara hao kuaanda mikataba kwa lugha ya Kiswahili na kingereza ili kuwafanya wakulima waelewe masharti na manufaa ambayo yanaweza...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania