WAZIRI WASIRA AELEZEA HALI YA CHAKULA NCHINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-xNUEP2CwiJI/VS4aX6kn1II/AAAAAAAHRMY/T7MFeDGINpw/s72-c/unnamed.jpg)
Mheshimiwa Stephen Wasira, Waziri wa Kilimo Chakula na ushirika akizungumza na Waandishi wa Habari leo kuhusu hali ya chakula nchini. Kushoto ni Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Bibi Sophia Kaduma.
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-0JSvyAwlhRg/VXgxSTEOyMI/AAAAAAADUWI/k8yeR89ZlyE/s72-c/2........jpg)
Waziri wa Kilimo Chakula na Ushirika, Stephen Wasira akutana na Rais na Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya kutengeneza Matrekta ya Ursus kutoka nchini Poland.
![](http://1.bp.blogspot.com/-0JSvyAwlhRg/VXgxSTEOyMI/AAAAAAADUWI/k8yeR89ZlyE/s640/2........jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-7uwsiC536eQ/VXgxN5-Z_lI/AAAAAAADUWA/DToNU_e8yfc/s640/1......jpg)
Na. Issa Sabuni, WKCUWaziri wa Kilimo Chakula na Ushirika, Stephen Wasira amepongeza hatua iliyofikiwa katika ya Serikali ya Tanzania chini ya Shirika la Uchumi na Maendeleo la Jeshi la Kujenga Taifa (SUMA JKT) na Kampuni ya kutengeneza Matrekta ya Ursus kutoka nchini Poland akisifu kuwa hatua hiyo ni ya...
10 years ago
Mwananchi07 May
UCHAGUZI CCM 2015: Stephen Wasira, Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika
Stephen Wasira alizaliwa mwaka 1945 katika Wilaya ya Bunda, Mkoa wa Mara (ana miaka 70). Alisoma katika shule tatu tofauti, ya kwanza ni Shule ya Msingi Bariri 1956-1959, ya pili ni Shule ya Msingi Nyambitilwa 1960–1961 na kisha akamalizia Shule ya Msingi Kisangwa mwaka 1962 - 1963.
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-0o-WtSQjHNk/Voon09WniNI/AAAAAAAIQJs/GXZ_Yh9dlMk/s72-c/maj21.jpg)
WAZIRI MKUU AFURAHISHWA NA HALI YA CHAKULA MKOANI RUVUMA
![](http://2.bp.blogspot.com/-0o-WtSQjHNk/Voon09WniNI/AAAAAAAIQJs/GXZ_Yh9dlMk/s320/maj21.jpg)
Akizungumza na viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Serikali jana jioni (Jumapili, Januari 3, 2016) katika ukumbi uliopo Ikulu ndogo Songea, Waziri Mkuu ameutaka uongozi wa mkoa kuhakikisha kuna upatikanaji wa masoko kwa mazao mbalimbali pamoja na kuendelea kutoa msukumo kwa wananchi.
Pia, ameupongeza uongozi wa mkoa huo kwa kutoa...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-HYBY8IPj8Cc/VTEm6H6FjGI/AAAAAAAHRtg/9MWqDvxuvtQ/s72-c/IMG-20150417-WA0036.jpg)
Waziri Wasira na ujumbe wake ziarani nchini Poland
Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Mhe. Stephen M. Wasira, yuko nchini Poland kwa ziara ya kikazi aliyokaribishwa na Waziri Wa Kilimo wa nchi hiyo Marek Sawicki.
Pamoja na mambo mengine, ziara hii inahusu Ujenzi wa kiwanda cha Matrekta ya Ursus na Ujenzi wa Maghala ya kuhifadhi chakula chini ya NFRA.
Katika ziara hiyo Mhe. Wasira ameambatana na Mkuu wa Hifadhi ya Chakula wa Taifa (NFRA) Charles Walwa, pamoja na Maofisa wa Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika na SUMA JKT.
Waziri wa...
Pamoja na mambo mengine, ziara hii inahusu Ujenzi wa kiwanda cha Matrekta ya Ursus na Ujenzi wa Maghala ya kuhifadhi chakula chini ya NFRA.
Katika ziara hiyo Mhe. Wasira ameambatana na Mkuu wa Hifadhi ya Chakula wa Taifa (NFRA) Charles Walwa, pamoja na Maofisa wa Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika na SUMA JKT.
![](http://2.bp.blogspot.com/-HYBY8IPj8Cc/VTEm6H6FjGI/AAAAAAAHRtg/9MWqDvxuvtQ/s1600/IMG-20150417-WA0036.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-etuL8DvBdI4/VEZODp3SlsI/AAAAAAAGsOU/diM9EoD6TT4/s72-c/unnamed%2B(77).jpg)
OFISI YA WAZIRI MKUU YAFANYA TATHMINI YA HALI YA CHAKULA NA LISHE MKOANI SIMIYU
![](http://4.bp.blogspot.com/-etuL8DvBdI4/VEZODp3SlsI/AAAAAAAGsOU/diM9EoD6TT4/s1600/unnamed%2B(77).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ojRNpaSaCwM/VEZODu9Y4XI/AAAAAAAGsOQ/2kk7r3R_MZE/s1600/unnamed%2B(78).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-sAifaC4ygvc/VXdkwbHAtxI/AAAAAAAHdi8/gMZayrnJRSM/s72-c/unnamed%2B%252894%2529.jpg)
Waziri Wasira awahimiza wawekezaji kuharakisha mchakato wa kuanza kuunganishwa matrekta hapa nchini
Na Issa Sabuni, WKCU Waziri wa Kilimo Chakula na Ushirika, Stephen Wasira amepongeza hatua iliyofikiwa katika ya Serikali ya Tanzania chini ya Shirika la Uchumi na Maendeleo la Jeshi la Kujenga Taifa (SUMA JKT) na Kampuni ya kutengeneza Matrekta ya Ursus kutoka nchini Poland akisifu kuwa hatua hiyo ni ya muhimu katika kuhakikisha Tanzania inaongeza tija na uzalishaji katika kilimo lakini pia inapunguza matumizi ya jembe la mkono. Waziri Wasira alipongeza hatua hiyo, mara baada ya kukutana na...
5 years ago
MichuziWAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO AKISOMA HALI YA UCHUMI NCHINI
9 years ago
BBCSwahili25 Sep
Hujaji aliye Mecca aelezea hali ilivyo
Sheikh Abou Said Abdallah Chambea kutoka Tanzania ambaye yuko mjini Mecca anasimulia kuhusu hali ilivyo huko.
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-T7FqYtP5z5M/U5XhphW58eI/AAAAAAAFpR8/VUsR1o_Wsgs/s72-c/unnamed+(5).jpg)
WAZIRI WA KILIMO CHAKULA NA USHIRIKA, MHE. CHIZA NA BALOZI WA UINGEREZA NCHINI, MS. DIANNA MELROSE
![](http://2.bp.blogspot.com/-T7FqYtP5z5M/U5XhphW58eI/AAAAAAAFpR8/VUsR1o_Wsgs/s1600/unnamed+(5).jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania