WAZIRI MKUU AFURAHISHWA NA HALI YA CHAKULA MKOANI RUVUMA
![](http://2.bp.blogspot.com/-0o-WtSQjHNk/Voon09WniNI/AAAAAAAIQJs/GXZ_Yh9dlMk/s72-c/maj21.jpg)
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amefurahishwa na hali ya chakula mkoani Ruvuma, ikiwa kati ya mikoa inayotegemewa kwa uzalishaji wa chakula kwa wingi nchini.
Akizungumza na viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Serikali jana jioni (Jumapili, Januari 3, 2016) katika ukumbi uliopo Ikulu ndogo Songea, Waziri Mkuu ameutaka uongozi wa mkoa kuhakikisha kuna upatikanaji wa masoko kwa mazao mbalimbali pamoja na kuendelea kutoa msukumo kwa wananchi.
Pia, ameupongeza uongozi wa mkoa huo kwa kutoa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-etuL8DvBdI4/VEZODp3SlsI/AAAAAAAGsOU/diM9EoD6TT4/s72-c/unnamed%2B(77).jpg)
OFISI YA WAZIRI MKUU YAFANYA TATHMINI YA HALI YA CHAKULA NA LISHE MKOANI SIMIYU
![](http://4.bp.blogspot.com/-etuL8DvBdI4/VEZODp3SlsI/AAAAAAAGsOU/diM9EoD6TT4/s1600/unnamed%2B(77).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ojRNpaSaCwM/VEZODu9Y4XI/AAAAAAAGsOQ/2kk7r3R_MZE/s1600/unnamed%2B(78).jpg)
9 years ago
MichuziWAZIRI MKUU KUANZA ZIARA MKOANI RUVUMA
Baada ya Waziri Mkuu kuwasili Uwanja wa Ndege wa Songea, atapokelewa na viongozi wa Chama na Serikali, pia atakwenda Ikulu kupokea taarifa ya maendeleo ya mkoa wa Ruvuma.
Aidha, siku ya jumatatu atakuwa na shughuli za kufungua tawi la Benki ya Posta mjini Songea, kukagua maghala ya Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya chakula (NFRA) kanda ya Songea na...
9 years ago
Dewji Blog03 Jan
Waziri Mkuu Mh. Kassim Majaliwa kuanza ziara Mkoani Ruvuma!!
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa (Pichani) anatarajia kuanza ziara ya kikazi ya siku nne mkoani
Ruvuma, ambapo atawasili mkoani hapo leo saa tisa alasiri.
Baada ya Waziri Mkuu kuwasili Uwanja wa Ndege wa Songea, atapokelewa na viongozi wa
Chama na Serikali, pia atakwenda Ikulu kupokea taarifa ya maendeleo ya mkoa wa Ruvuma.
Aidha, siku ya jumatatu atakuwa na shughuli za kufungua tawi la Benki ya Posta mjini
Songea, kukagua maghala ya Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya chakula (NFRA) kanda ya...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Zew0yiZueLY/VojjdgqHONI/AAAAAAAIQDs/WIzz7rQD9aw/s72-c/Kassim_Majaliwa.jpg)
WAZIRI MKUU KUANZA ZIARA YA SIKU NNE MKOANI RUVUMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-Zew0yiZueLY/VojjdgqHONI/AAAAAAAIQDs/WIzz7rQD9aw/s1600/Kassim_Majaliwa.jpg)
Baada ya Waziri Mkuu kuwasili Uwanja wa Ndege wa Songea, atapokelewa na viongozi wa Chama na Serikali, pia atakwenda Ikulu kupokea taarifa ya maendeleo ya mkoa wa Ruvuma.
Aidha, siku ya Jumatatu atakuwa na shughuli za kufungua tawi la Benki ya Posta mjini Songea, kukagua maghala ya Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya chakula (NFRA) kanda ya Songea...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-curVweAhA70/VozSh8xvBVI/AAAAAAADEiQ/jUm-M1P_Mak/s72-c/maj22.jpg)
WAZIRI MKUU ATEMBELEA KIWANDA CHA TUMBAKU MKOANI RUVUMA NA KUWASIMAMISHA KAZI VIONGOZI WA CHAMA CHA USHIRIKA CHA SONAMCU
![](http://2.bp.blogspot.com/-curVweAhA70/VozSh8xvBVI/AAAAAAADEiQ/jUm-M1P_Mak/s400/maj22.jpg)
Akizungumza jana jioni(Jumanne, Januari 5, 2016), katika ukumbi wa mikutano wa Ikulu Ndogo ya Songea, wakati alipokutana na wakulima wa zao la tumbaku wa Wilaya ya Namtumbo, Wananchama wa Vyama Vya Ushirika vya Mkoa wa Ruvuma, viongozi wa Mkoa pamoja na Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Edwin Ngonyani ambaye ni...
5 years ago
MichuziWAZIRI MKUU AFURAHISHWA NA KASI YA UJENZI MRADI MKUBWA WA UMEME WA JULIUS NYERERE WA MW 2115
Waziri Mkuu ameyasema hayo leo Mei 14, 2020, baada ya kufanya ziara kwenye eneo la mradi unaotarajiwa kuzalisha jumla ya Megawati 2115“ utakapokamilika 2022.
Waziri Mkuu ambaye alifuatana na Waziri wa Nishati, Dk. Medard Kalemani, Katibu Mkuu wa Wizara hiyo mhandisi Zena Said watendaji wa...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-xNUEP2CwiJI/VS4aX6kn1II/AAAAAAAHRMY/T7MFeDGINpw/s72-c/unnamed.jpg)
WAZIRI WASIRA AELEZEA HALI YA CHAKULA NCHINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-xNUEP2CwiJI/VS4aX6kn1II/AAAAAAAHRMY/T7MFeDGINpw/s1600/unnamed.jpg)
5 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI DKT. NDUMBARO AFANYA ZIARA MIPAKA ILIYOPO MKOANI RUVUMA
Ziara hii ambayo inatokana na utekelezaji wa majukumu ya Wizara, ikiwemo...
9 years ago
MichuziWAZIRI MKUU,KASSIM MAJALIWA ATEMBELEA HOSPITALI YA MKOA WA RUVUMA.