Waziri wa Kilimo Chakula na Ushirika, Stephen Wasira akutana na Rais na Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya kutengeneza Matrekta ya Ursus kutoka nchini Poland.
![](http://1.bp.blogspot.com/-0JSvyAwlhRg/VXgxSTEOyMI/AAAAAAADUWI/k8yeR89ZlyE/s72-c/2........jpg)
Waziri wa Kilimo Chakula na Ushirika, Stephen Wasira akizungumza na Bwana Karol Zarajczyk, ambaye ni Rais na Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya kutengeneza Matrekta ya Ursus kutoka nchini Poland.
Na. Issa Sabuni, WKCUWaziri wa Kilimo Chakula na Ushirika, Stephen Wasira amepongeza hatua iliyofikiwa katika ya Serikali ya Tanzania chini ya Shirika la Uchumi na Maendeleo la Jeshi la Kujenga Taifa (SUMA JKT) na Kampuni ya kutengeneza Matrekta ya Ursus kutoka nchini Poland akisifu kuwa hatua hiyo ni ya...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi07 May
UCHAGUZI CCM 2015: Stephen Wasira, Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/640cdJ4qjLS079UZTw2DBcgT7p9ofj41VdyIAVbhpzIKlQWdVx2QQDvW0z1dLdcSHXYB-jF9RTEsNdhN4Vs7x2FG19gD5fRW/unnamed66.jpg?width=650)
WAZIRI MKUU AKUTANA NA BALOZI WA KUWAIT NCHINI, PIA AFANYA MAZUNGUMZO NA MAKAMU WA RAIS WA KAMPUNI YA CONTRACTUS YA POLAND
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-b6mUdh2y6Ks/VPgqqsphECI/AAAAAAAHHx0/FRnRm7laLNs/s72-c/unnamed%2B(7).jpg)
Waziri wa Kilimo Chakula na Ushirika Akutana na Balozi wa Marekani
![](http://4.bp.blogspot.com/-b6mUdh2y6Ks/VPgqqsphECI/AAAAAAAHHx0/FRnRm7laLNs/s1600/unnamed%2B(7).jpg)
Mhe Wasira katika mazungumzo yake na Balozi Childdress alibainisha changamoto zinazokabili kilimo nchini kuwa ni pamoja na zana duni zinazotumiwa na wakulima wadogo katika kilimo kuwa ni jembe la mkono. Alisema kwa kutumia jembe la mkono itakuwa ni ngumu kuondoa umaskini kwa wakulima wadogo katika maeneo ya vijijini.
Aliongeza...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-T7FqYtP5z5M/U5XhphW58eI/AAAAAAAFpR8/VUsR1o_Wsgs/s72-c/unnamed+(5).jpg)
WAZIRI WA KILIMO CHAKULA NA USHIRIKA, MHE. CHIZA NA BALOZI WA UINGEREZA NCHINI, MS. DIANNA MELROSE
![](http://2.bp.blogspot.com/-T7FqYtP5z5M/U5XhphW58eI/AAAAAAAFpR8/VUsR1o_Wsgs/s1600/unnamed+(5).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-W3ODpPi9e0Y/VE5xdDOXfSI/AAAAAAAGtr8/x1vLuCNdbj4/s72-c/123137.jpg)
WAZIRI MKUU AKUTANA NA WAWEKEZAJI NCHINI POLAND
![](http://2.bp.blogspot.com/-W3ODpPi9e0Y/VE5xdDOXfSI/AAAAAAAGtr8/x1vLuCNdbj4/s1600/123137.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-dQLsJpIddho/VE5xe0CYV6I/AAAAAAAGtsI/akCIkJqiH1c/s1600/124022.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-rlT287etMfQ/VE5xem_Z1_I/AAAAAAAGtsE/Rw9YGhxQ9Zo/s1600/124050.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-HYBY8IPj8Cc/VTEm6H6FjGI/AAAAAAAHRtg/9MWqDvxuvtQ/s72-c/IMG-20150417-WA0036.jpg)
Waziri Wasira na ujumbe wake ziarani nchini Poland
Pamoja na mambo mengine, ziara hii inahusu Ujenzi wa kiwanda cha Matrekta ya Ursus na Ujenzi wa Maghala ya kuhifadhi chakula chini ya NFRA.
Katika ziara hiyo Mhe. Wasira ameambatana na Mkuu wa Hifadhi ya Chakula wa Taifa (NFRA) Charles Walwa, pamoja na Maofisa wa Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika na SUMA JKT.
![](http://2.bp.blogspot.com/-HYBY8IPj8Cc/VTEm6H6FjGI/AAAAAAAHRtg/9MWqDvxuvtQ/s1600/IMG-20150417-WA0036.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-sAifaC4ygvc/VXdkwbHAtxI/AAAAAAAHdi8/gMZayrnJRSM/s72-c/unnamed%2B%252894%2529.jpg)
Waziri Wasira awahimiza wawekezaji kuharakisha mchakato wa kuanza kuunganishwa matrekta hapa nchini
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-DIusPcmgnRM/U8BFx3pYahI/AAAAAAAF1Rg/WWSTXlo-ZDE/s72-c/unnamed+(26).jpg)
Waziri wa Kilimo na Ushirika akutana na Wanunuzi wa Tumbaku
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-RYs9QXyO8I8/U7ucPwCbGuI/AAAAAAAFxW8/9ZIBF5RPkYs/s72-c/image.jpeg)
WAZIRI WA KILIMO, CHAKULA NA USHIRIKA ATEMBELEA BANDA LA JESHI LA MAGEREZA MAONESHO YA 38 YA BIASHARA YA KIMATAIFA JIJINI DAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-RYs9QXyO8I8/U7ucPwCbGuI/AAAAAAAFxW8/9ZIBF5RPkYs/s1600/image.jpeg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-hHZstPnDE-s/U7ucPyjVrnI/AAAAAAAFxXA/ZOLbehgKUoQ/s1600/image_1.jpeg)