Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


STEPHEN WASSIRA ALIVYOTANGAZA NIA JIJINI MWANZA JANA

Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Stephen Wassira akitangaza nia ya kuwania nafasi ya Urais.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

STEPHEN WASSIRA ATANGAZA NIA YA KUWANIA URAIS

Stephen Wassira akitangaza nia ya kuwania Urais kwenye Ukumbi wa wa BOT jijini Mwanza leo. WAZIRI wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Stephen Wassira leo ametangaza nia ya kuwania Urais kwenye Ukumbi wa wa BOT jijini Mwanza. Wassira anawania nafasi ya kugombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM). Katika hotuba yake wakati wa kutangaza nia yake, Wassira amesema amepata kuteuliwa kuongoza sehemu mbalimbali nchini maana marais wote...

 

10 years ago

Vijimambo

MBIO ZA URAISN 2015; STEPHEN WASIRA NAYE ATANGAZA NIA AKIWA MWANZA

Waziri wa Chakula na Ushirika, Stephen Wasira, akizungumza na wakazi wa jiji la Mwanza wakati akitangaza nia ya kuwania Urasi kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) leo Jumapili 
Mei 31, 2015. Wasira anakuwa mtu wa tatu kutangaza nia hiyo, akitanguliwa na Mbunge wa bunge la Afrika Mashariki, Makongoro Nyerere na Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli, Edward Lowasa.Wasira akisalimiana na Mbunge wa TarimeWasira akizungumza na wakazi wa jiji la Mwanza

 

10 years ago

Africanjam.Com

HIVI NDIVYO LOWASSA ALIVYOTANGAZA NIA YA KUGOMBEA URAISI


Edward Lowassa akihutubiaMay 30 2015 inakuwa siku ambayo inaingia kwenye Historia kubwa kwenye ishu za siasa Tanzania.. bado miezi michache ufanyike uchaguzi mkuu, mmoja ya watu ambao walitajwa sana na kuwa kwenye headlines kubwa kwenye vyombo  vya habari ni Mbunge wa Monduli, Edward Ngoyai Lowassa.
Uwanja wa Kumbukumbu ya Sheikh Amri Abeid katikati ya Jiji la Arusha ulishuhudia kwa mara nyingine kujaa kwa watu ambao walikuja kushuhudia Mbunge huyo akitangaza nia ya kugombea Urais mwaka...

 

10 years ago

Michuzi

MH.Mwigulu alivyotangaza nia ya kuwania urais mkoani Dodoma jioni ya leo.

  Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba akiwapungia mkono baadhi ya wafuasi wake waliojitokeza kwa wingi,kumsikiliza wakati akitamka kutangania nia ya kugombea kiti cha uraui kupitia CCM

  Baadhi ya wakazi wa Dodoma wakimsikiliza kwa makini Dar es Salaam. Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba alipokuwa akitangaza nia yake ya kugombea kiti cha Urais kupitia chama cha CCM Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba akizungumza mbele ya umati wa wakazi wa mji wa Dodom mapema jioni ya leo...

 

10 years ago

GPL

TASWIRA ZA UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA JIJINI MWANZA ULIVYOKUWA JANA

Baadhi ya wananchi wa Kata ya Mbugani wakiwa wamemaliza kupiga kura na kusogea umbali wa kilometa 100 unaotakiwa wakisubiri matokeo ya uchaguzi huo hapa jijini Mwanza jana. Mama aliyefahamika kwa jina la Gelda Nathaeli wa Kata ya Mbugani akiwa anapiga kura ya kumchagua kiongozi anayemtaka katika uchaguzi…

 

11 years ago

Michuzi

SHEREHE ZA JUBILEE YA MIAKA 25 YA KKKT - DMZV ZILIVYOFANA JANA JIJINI MWANZA.

Askofu mkuu wa Dayosisi ya Mwanza Ziwa Victoria (DMZV) Andrew Gulle kabla ya kufunua jiwe maalum la Jubilee alikata utepe kuashiria safari ya maadhimisho hayo kuanza rasmi, ambapo kilele chake kitakuwa tarehe 31 Agosti, 2014.   Jiwe la jubilee. Kabla ya Uzinduzi wa kanisa la Imani KKKT Mwanza historia ya ujenzi wa kanisa hadi kukamilika ilisomwa naye Bw. Serafin Kimaro. Jumla ya shilingi bilioni moja na milioni 500 zimetumika kukamilisha ujenzi huo uliotumia miaka takribani 13 hadi...

 

10 years ago

Habarileo

Wassira: Nitatangaza kuwania urais keshokutwa Mwanza

Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Stephen WassiraWAZIRI wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Stephen Wassira amesema keshokutwa atatangaza rasmi nia yake ya kuomba Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimteue kuwania Urais katika Uchaguzi Mkuu mwaka huu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani