KAMA HUKUBAHATIKA KUMSIKILIZA MH. WASSIRA WAKATI AKITANGAZA NIA YA URAIS, MSIKILIZE HAPA
![](http://img.youtube.com/vi/u-8Cq3szLXM/default.jpg)
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo01 Jun
ALICHOSEMA MWIGULU WAKATI AKITANGAZA NIA YA KUGOMBEA URAIS
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2735882/highRes/1024431/-/maxw/600/-/sxif12/-/nchemba.jpg)
Dodoma/Dar. Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba ametangaza nia yake ya kugombea urais kupitia CCM katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba akieleza jinsi atakavyoivusha Tanzania kuwa nchi yenye uchumi wa kati utakaopatikana kwa kutoa haki kwa watu wote.Akitangaza nia hiyo jana kwenye Ukumbi wa Mwalimu Nyerere katika Chuo...
10 years ago
Dewji Blog07 Jun
Moto wawaka ndani ya Lindi wakati Mheshimiwa Bernard Membe akitangaza nia ya kugombea urais 2015
![](http://3.bp.blogspot.com/-tiRR_5Ez7M0/VXQ9KMMdNRI/AAAAAAABhKY/bcG6ZI76bT8/s640/IMG_2304.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-y0qhxgS-zj4/VXQ9y6MXTkI/AAAAAAABhMA/EW354wYflBY/s640/IMG_2434.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-PyLo9KhyHXs/VXQ9NQiUhHI/AAAAAAABhKg/hBz_k3aJjoc/s640/IMG_2305.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-K692pcFe7rU/VXQ9QByyl6I/AAAAAAABhKo/adQ8HWqJLvI/s640/IMG_2308.jpg)
Wananchi wakimsikiliza Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/4VsWZIs0BQg/default.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jK7-NTyuxfC-r8Upfxsy8S*2Xzb2zRtdtEH89laCQ4tL7jsWJb6qgX3eoPaJR6IhyTUYrI1xMf6GzFX5Ak-aPQkqUw0-fE6m/20150526234904.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-9koofsJjBOQ/VXUIzcezdAI/AAAAAAADqWM/qdw1WaMIrks/s72-c/A1.jpg)
MATUKIO ZAIDI YA MH. MEMBE AKITANGAZA NIA YA KUGOMBEA URAIS WA TANZANIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-9koofsJjBOQ/VXUIzcezdAI/AAAAAAADqWM/qdw1WaMIrks/s640/A1.jpg)
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe akiusalimia umati wa wana CCM na wakazi wa Lindi, katika Viwanja vya Ofisi ya CCM Mkoa jana, wakati akitangaza nia ya kugombea Urais wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Uchaguzi Mkuu ujao wa Mwezi Oktoba. Picha na John Badi
![](http://2.bp.blogspot.com/-7VzjSA6tslc/VXUI0_Y0xsI/AAAAAAADqWs/Dgz8iscOAB8/s640/B.jpg)
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe na mkewe Dorcas wakiupungia umati wa wana CCM na wakazi wa...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/u-8Cq3szLXM/default.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-iIPxbYjnZBE/VXMqxsFlHPI/AAAAAAABhEs/GqvpbhNdlUY/s72-c/20150606101055.jpg)
10 years ago
GPLPROF. MWANDOSYA AKITANGAZA NIA YA KUWANIA URAIS KATIKA UKUMBI WA MKAPA JIJINI MBEYA
Profesa Mwandosya pamoja na familia yake katika Ukumbi wa Mkapa Mbeya kwenye mkutano wake na wananchi akitangaza nia ya kuwania urais. Mke wa Profesa Mwandosya Bi Lucy Mwandosya akiwasalimia wananchi Profesa Mwandosya akionesha uzalendo kwa kutembea na wananchi…
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Kxa-PchAiXXPHjC-yAasFduKEOt0QZ3I-suqqLit3iaCX2TpHkrkrKgjZTPA8zk7RnwZs3zmQvvdAotTT7Zp7qpbLygVXH4y/wasirra.jpg?width=650)
STEPHEN WASSIRA ATANGAZA NIA YA KUWANIA URAIS
Stephen Wassira akitangaza nia ya kuwania Urais kwenye Ukumbi wa wa BOT jijini Mwanza leo. WAZIRI wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Stephen Wassira leo ametangaza nia ya kuwania Urais kwenye Ukumbi wa wa BOT jijini Mwanza. Wassira anawania nafasi ya kugombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM). Katika hotuba yake wakati wa kutangaza nia yake, Wassira amesema amepata kuteuliwa kuongoza sehemu mbalimbali nchini maana marais wote...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania