Moto wawaka ndani ya Lindi wakati Mheshimiwa Bernard Membe akitangaza nia ya kugombea urais 2015
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe akiwapungia mkono umati wa wana CCM na wakazi wa Lindi katika Viwanja vya Ofisi ya CCM Mkoa, wakati alipotangaza nia ya kugombea Urais wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Uchaguzi Mkuu ujao wa Mwezi Oktoba. (Picha zote na Cathbert Kajuna wa Kajunason Blog).
Wananchi wakimsikiliza Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo01 Jun
ALICHOSEMA MWIGULU WAKATI AKITANGAZA NIA YA KUGOMBEA URAIS
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2735882/highRes/1024431/-/maxw/600/-/sxif12/-/nchemba.jpg)
Dodoma/Dar. Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba ametangaza nia yake ya kugombea urais kupitia CCM katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba akieleza jinsi atakavyoivusha Tanzania kuwa nchi yenye uchumi wa kati utakaopatikana kwa kutoa haki kwa watu wote.Akitangaza nia hiyo jana kwenye Ukumbi wa Mwalimu Nyerere katika Chuo...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-9koofsJjBOQ/VXUIzcezdAI/AAAAAAADqWM/qdw1WaMIrks/s72-c/A1.jpg)
MATUKIO ZAIDI YA MH. MEMBE AKITANGAZA NIA YA KUGOMBEA URAIS WA TANZANIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-9koofsJjBOQ/VXUIzcezdAI/AAAAAAADqWM/qdw1WaMIrks/s640/A1.jpg)
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe akiusalimia umati wa wana CCM na wakazi wa Lindi, katika Viwanja vya Ofisi ya CCM Mkoa jana, wakati akitangaza nia ya kugombea Urais wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Uchaguzi Mkuu ujao wa Mwezi Oktoba. Picha na John Badi
![](http://2.bp.blogspot.com/-7VzjSA6tslc/VXUI0_Y0xsI/AAAAAAADqWs/Dgz8iscOAB8/s640/B.jpg)
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe na mkewe Dorcas wakiupungia umati wa wana CCM na wakazi wa...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/u-8Cq3szLXM/default.jpg)
10 years ago
Dewji Blog07 Jun
Waziri Membe atangaza nia ya kugombea urais — Lindi leo
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe akizungumza na wana CCM na wakazi wa Lindi katika Viwanja vya Ofisi ya CCM Mkoa jana, wakati akitangaza nia ya kugombea Urais wa Tanzania leo kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Uchaguzi Mkuu ujao wa Mwezi Oktoba.
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe na mkewe Dorcas wakilakiwa na wana CCM na wakazi wa Lindi alipowasili katika...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-B56aPKKJOjs/VXQlgtrtK2I/AAAAAAADqUo/p8dwA4sfB68/s72-c/2.jpg)
WAZIRI MEMBE ATANGAZA NIA YA KUGOMBEA URAIS - LINDI LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-B56aPKKJOjs/VXQlgtrtK2I/AAAAAAADqUo/p8dwA4sfB68/s640/2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-7MNZfTATmpY/VXQlo8gqe2I/AAAAAAADqU4/u5Cj-DI4Ytg/s640/5.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ee-10PmCW5Q/VXQjlEEbnvI/AAAAAAAHcvM/CCpotnPGsIE/s72-c/unnamed%2B%252895%2529.jpg)
WAZIRI MEMBE ATANGAZA NIA YA KUGOMBEA URAIS MKOANI LINDI LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-ee-10PmCW5Q/VXQjlEEbnvI/AAAAAAAHcvM/CCpotnPGsIE/s640/unnamed%2B%252895%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-rAFo5DPopPg/VXQjlPQICfI/AAAAAAAHcvI/MJ0Os5aiKHM/s640/unnamed%2B%252896%2529.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-iIPxbYjnZBE/VXMqxsFlHPI/AAAAAAABhEs/GqvpbhNdlUY/s72-c/20150606101055.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-BoQKRnfsE_o/VXXLiTflpHI/AAAAAAABhQU/4Y1LGZnk7gI/s72-c/MEMBE%2B%2B1.jpg)
WAZIRI BERNARD MEMBE ACHUKUA FOMU YA KUOMBA RIDHAA YA KUTEULIWA KUGOMBEA NAFASI YA URAIS 2015
![](http://1.bp.blogspot.com/-BoQKRnfsE_o/VXXLiTflpHI/AAAAAAABhQU/4Y1LGZnk7gI/s640/MEMBE%2B%2B1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-o4k8lZT8du4/VXXLiUJ6H9I/AAAAAAABhQQ/oNjuO7qw064/s640/MEMBE%2BNA%2BMKE%2BWAKE%2BDORKAS%2BMEMBE.jpg)