WAZIRI BERNARD MEMBE ACHUKUA FOMU YA KUOMBA RIDHAA YA KUTEULIWA KUGOMBEA NAFASI YA URAIS 2015
![](http://1.bp.blogspot.com/-BoQKRnfsE_o/VXXLiTflpHI/AAAAAAABhQU/4Y1LGZnk7gI/s72-c/MEMBE%2B%2B1.jpg)
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Bernard Membe leo June 8, 2015 amechukua fomu za kuomba ridhaa ya kugombea Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) makao makuu ya chama hicho mjini Dodoma baada ya kutangaza nia hiyo jana (Jumapili).
Waziri Membe akipokelewa fomu na Mkewe Dorcas mara baada ya kukabidhiwa fomu mjini Dodoma. Waziri Membe alipokelewa na makada na wafuasi wa chama hicho mjini Dodoma baada ya kukabidhiwa fomu hiyo na Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-bLvmYFWTucI/VXhrnbQTPKI/AAAAAAAAugM/d5ggZoDsJA4/s72-c/J26A6326.jpg)
January Makamba achukua Fomu ya kuomba kuteuliwa kugombea Urais 2015
![](http://1.bp.blogspot.com/-bLvmYFWTucI/VXhrnbQTPKI/AAAAAAAAugM/d5ggZoDsJA4/s640/J26A6326.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-es9jY-U8ovY/VXhrokpnpEI/AAAAAAAAugU/qLszpihnk5Q/s640/J26A6362.jpg)
January Makamba akionyesha kabrasha lenye fomu ya kuomba kuteuliwa kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM). Kushoto...
10 years ago
VijimamboWAZIRI CHIKAWE ACHUKUA FOMU YA KUOMBA KUTEULIWA KUGOMBEA URAIS KUPITIA C
10 years ago
MichuziWAZIRI CHIKAWE ACHUKUA FOMU YA KUOMBA KUTEULIWA KUGOMBEA URAIS KUPITIA CCM
10 years ago
MichuziWaziri Magufuli achukua fomu ya kuomba Kuteuliwa Kugombea Urais kupitia CCM
10 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-bLvmYFWTucI/VXhrnbQTPKI/AAAAAAAAugM/d5ggZoDsJA4/s640/J26A6326.jpg)
JANUARY MAKAMBA ACHUKUA FOMU YA KUOMBA KUTEULIWA KUGOMBEA URAIS 2015 JANA DODOMA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-6AQZHuwmMeI/XunLmrcJJ1I/AAAAAAALuLg/av6dnPOGvmot7g8rB-DPprYmHRAU49yaQCLcBGAsYHQ/s72-c/c4b8f50f-3b9e-4e5f-a68b-d4504e665712.jpg)
Rais Magufuli achukua fomu za kuomba kuteuliwa na CCM kugombea Urais
![](https://1.bp.blogspot.com/-6AQZHuwmMeI/XunLmrcJJ1I/AAAAAAALuLg/av6dnPOGvmot7g8rB-DPprYmHRAU49yaQCLcBGAsYHQ/s640/c4b8f50f-3b9e-4e5f-a68b-d4504e665712.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/c4d4e23c-bb9c-4e93-95a9-d28e949311a6.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/d819a5cb-299f-4675-82c1-c84eb1da8c78.jpg)
5 years ago
MichuziMASAUNI ACHUKUA FOMU YA KUOMBA KUTEULIWA KUGOMBEA URAIS WA SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-f3-uPrOt2ho/Xuzd25FypcI/AAAAAAAEXmg/9nNroCr7Rx85sThyjxbmtfSXr0etcYyfACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200619_145210.jpg)
KADA WA 13 WA CCM, DK. ABDULHALIM MOHAMMED ALI ACHUKUA FOMU ZA KUOMBA KUTEULIWA KUGOMBEA URAIS ZANZIBAR
![](https://1.bp.blogspot.com/-f3-uPrOt2ho/Xuzd25FypcI/AAAAAAAEXmg/9nNroCr7Rx85sThyjxbmtfSXr0etcYyfACLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200619_145210.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-QPD_IEY9Zkc/XuzfF37iQkI/AAAAAAAEXnI/RcEArucm0_o9W50x7uy16PUttCijD9VMACLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200619_141918.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-3EXlot6MIpk/Xu9I68qFTcI/AAAAAAABDS0/7EgPcZnGYn0nA9aek8qB0gmOYr1FVsoVQCNcBGAsYHQ/s72-c/2%2B2.jpg)
WAZIRI WA ZAMANI WA FEDHA ZANZIBAR, ACHUKUA FOMU ZA KUOMBA KUGOMBEA URAIS
![](https://1.bp.blogspot.com/-3EXlot6MIpk/Xu9I68qFTcI/AAAAAAABDS0/7EgPcZnGYn0nA9aek8qB0gmOYr1FVsoVQCNcBGAsYHQ/s400/2%2B2.jpg)
Aliyekuwa Waziri wa Fedha na mipango Zanzibar, Dk Khalid Salum Mohammed amekuwa mgombea wa 15 kujitokeza kuchukua Fomu ya kuwania nafasi ya Urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi CCM.