Wassira: Nitatangaza kuwania urais keshokutwa Mwanza
WAZIRI wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Stephen Wassira amesema keshokutwa atatangaza rasmi nia yake ya kuomba Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimteue kuwania Urais katika Uchaguzi Mkuu mwaka huu.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Kxa-PchAiXXPHjC-yAasFduKEOt0QZ3I-suqqLit3iaCX2TpHkrkrKgjZTPA8zk7RnwZs3zmQvvdAotTT7Zp7qpbLygVXH4y/wasirra.jpg?width=650)
STEPHEN WASSIRA ATANGAZA NIA YA KUWANIA URAIS
10 years ago
VijimamboDK JOHN MAGUFULI AZIDI KUPATA WADHAMINI KUWANIA URAIS MIKOA YA KAGERA,MARA NA MWANZA
10 years ago
Mwananchi12 Jun
Prof Lipumba kufungua pazia urais keshokutwa
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-YwpczuxFEMo/VEYcnIU4GPI/AAAAAAAGsI0/LwbbxG3eLZI/s72-c/unnamed.jpg)
Tume ‘Operesheni Tokomeza’ kwenda Kagera, Geita, Shinyanga, Simiyu, Mwanza na Mara keshokutwa 23 Oktoba
![](http://2.bp.blogspot.com/-YwpczuxFEMo/VEYcnIU4GPI/AAAAAAAGsI0/LwbbxG3eLZI/s1600/unnamed.jpg)
10 years ago
Mwananchi29 Nov
Wassira acharukia wataka urais
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-7-17Ut3vwpri9QJxIwS9eur80wEPWMoRlDHXMPNWPKxqDgkPw-LM2rUYKWFCbJanOrAEikIrIMEELLJYJsYntrX-B9S9mQw/WASSIRA7.jpg?width=650)
STEPHEN WASSIRA ALIVYOTANGAZA NIA JIJINI MWANZA JANA
10 years ago
Tanzania Daima22 Sep
Wassira: Bado nina dhamira ya urais
WAZIRI wa Ofisi ya Rais, Mahusiano na Uratibu, Stephen Wassira, amesema bado ana nia ya kuwania urais katika uchaguzi mkuu utakaofanyika mwakani. Kauli hiyo, aliitoa jana wakati akifanya mahojiano kwenye...
10 years ago
Habarileo01 Jun
Mwigulu na Wassira wakoleza mbio za Urais
MAKADA wawili wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Mwigulu Nchemba na Stephen Wassira wametangaza rasmi nia yao ya kutaka kuwania kupitishwa na chama hicho, kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-yhhd3_k0tSk/VX5rHFEVBLI/AAAAAAAAvww/Cn717LOxw2c/s72-c/migiro.png)
Dk Asha-Rose Migiro Ajitosa Kuwania Urais Kupitia CCM......Samuel Sitta Kurudisha Fomu ya Urais Leo
![](http://2.bp.blogspot.com/-yhhd3_k0tSk/VX5rHFEVBLI/AAAAAAAAvww/Cn717LOxw2c/s640/migiro.png)
![](http://beacon.walmart.com/vm/ttap.gif?id=10694486&channel=WALMART&network=sraxopen_vhct&creative=SAL&destination=MICROSITE&size=728x90&idea=MOM&type=FLASH&device=DESKTOP)
Aidha, taarifa zilizozagaa kwenye mitandao ya kijamii, kuwa Waziri wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Dk Ali Mohammed Shein kuwa atachukua fomu si za kweli kwa mujibu wa chanzo cha habari kutoka ndani ya CCM.Migiro, ambaye atachukua fomu kwenye makao makuu wa CCM mjini Dodoma saa tisa mchana, atakuwa mwanamke wa nne kuchukua fomu...