Prof Lipumba kufungua pazia urais keshokutwa
Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba, Jumapili atachukua fomu ya kugombea urais ndani ya chama hicho na atawaeleza Watanzania sababu ya kuwania nafasi hiyo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi01 Aug
Vyama vitatu kufungua pazia la urais
10 years ago
Mwananchi30 May
Prof Lipumba ajitosa urais Ukawa
10 years ago
Raia Tanzania25 Jun
Prof. Lipumba na urais, ni uvumilivu wa kula mbivu au king’ang’anizi
JOTO la uchaguzi mkuu wa Oktoba 25, mwaka huu, limezidi kupanda. Miezi minne iliyobaki inajenga uhalali wa joto hilo na mihemko ya namna mbalimbali.
Chama cha Wananchi (CUF), hivi karibuni kilimuibua tena Profesa Ibrahim Lipumba kuwania urais, ikiwa ni mara ya tano mfululizo anawania nafasi hiyo.
Kwa mara ya kwanza alitupa karata ya kuwania wadhifa huo mwaka 1995, wakati wa uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi nchini.
Katika hali ya kawaida, ingetarajiwa kuwe na mgombea tofauti...
10 years ago
Habarileo18 May
Kikwete kufungua mkutano Kanda ya Afrika keshokutwa
MKUTANO wa Kanda ya Afrika unaohusu Mpango wa Uendeshaji wa Shughuli za Serikali kwa Uwazi, utafanyika jijini Dar es Salaam kwa siku tatu kuanzia keshokutwa na utafunguliwa na Rais Jakaya Kikwete.
9 years ago
Mwananchi23 Aug
CCM kufungua pazia
11 years ago
Mwananchi14 Jun
Filamu ya Mandela kufungua pazia
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/f-LSPoZc_us/default.jpg)
Shindano la TMT 2015 lazinduliwa rasmi leo, Mwanza kufungua pazia kesho
5 years ago
BBCSwahili25 May
Virusi vya Corona: Mtanange wa mahasimu Real Betis dhidi ya Sevilla kufungua pazia la La Liga