Kikwete kufungua mkutano Kanda ya Afrika keshokutwa
MKUTANO wa Kanda ya Afrika unaohusu Mpango wa Uendeshaji wa Shughuli za Serikali kwa Uwazi, utafanyika jijini Dar es Salaam kwa siku tatu kuanzia keshokutwa na utafunguliwa na Rais Jakaya Kikwete.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-kj8IMjFHbhc/Veg2Hzole-I/AAAAAAAH2HI/iYJHXpWdM4U/s72-c/rais-kikwete1.jpg)
RAIS KIKWETE KUFUNGUA MKUTANO WA TAKWIMU HURIA KANDA YA AFRIKA
![](http://3.bp.blogspot.com/-kj8IMjFHbhc/Veg2Hzole-I/AAAAAAAH2HI/iYJHXpWdM4U/s640/rais-kikwete1.jpg)
Mkutano huo utakaofunguliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete utafanyika tarehe 4 – 5 Septemba, 2015 katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar es Salaam. Kauli Mbiu ni “Tumia Takwimu Huria Kuendeleza Afrika” (Developing Africa Through Open Data).
Washiriki takriban...
9 years ago
Dewji Blog05 Sep
Rais Kikwete afungua mkutano wa siku mbili wa Takwimu Huria Kanda ya Afrika
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Kikwete akifungua mkutano wa siku mbili wa Takwimu Huria Kanda ya Afrika unaofanyika nchini katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere leo jijini Dar es Salaam. Katikati ni Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue na Mwakilishi wa Benki ya Dunia nchini Bella Bird (wa kwanza kulia).
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mathias Chikawe akimkaribisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Kikwete (hayupo pichani)...
10 years ago
Dewji Blog10 Jun
Dkt. Bilal amuwakilisha Rais Kikwete katika mkutano wa Utengamano wa Biashara kwa kanda za utatu za Afrika
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza katika Mkutano mkuu wa tatu wa Mkutano Mkuu wa tatu wa Wakuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), Soko la pamoja la nchi za Kusini mwa Afrika (COMESA) na Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), uliofanyika leo Juni 10, 2015 kwenye ukumbi wa Kimataifa wa mikutano wa Jolie Vile, Sharma El Sheikh. Agenda ya mkutano huo ni kupokea taarifa ya majadiliano ya kuanzisha eneo huru la Biashara la Utatu...
10 years ago
Mwananchi12 Jun
Prof Lipumba kufungua pazia urais keshokutwa
10 years ago
VijimamboMKUTANO WA KANDA YA AFRIKA
10 years ago
Habarileo26 Aug
Kikwete kufungua Bunge la Afrika Mashariki
RAIS Jakaya Kikwete anatarajia kufungua kikao cha tatu cha Bunge la Tatu la Jumuiya ya Afrika Mashariki (EALA), litakaloanza kesho kwenye Ukumbi wa Karimjee jijini Dar es Salaam. Hayo yalibainishwa jana Dar es Salaam na Spika wa EALA, Margaret Nantongo Zziwa alipozungumza na waandishi wa habari.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Ri-exbZJYlE/VOHAPazMutI/AAAAAAAHD8U/WIrhA_NwzX8/s72-c/download.jpeg)
WAZIRI MKUU KUFUNGUA MKUTANO WA KIKANDA JUU YA UKUAJI NA MAISHA YA BAADAE YA MIJI YA AFRIKA
![](http://2.bp.blogspot.com/-Ri-exbZJYlE/VOHAPazMutI/AAAAAAAHD8U/WIrhA_NwzX8/s1600/download.jpeg)
Mkutano huu uliopewa jina la, ‘Maisha ya baadae ya nchi za Afrika Mashariki: Jinsi gani tunataka kuishi mwaka 2050’, utafanyika katika hoteli ya Hyatt Regency Dar es Salaam, Kilimanjaro Hotel tarehe 19 na 20 Februari ambapo...
9 years ago
MichuziRAIS KIKWETE AWASILI MKOANI ARUSHA KUFUNGUA MKUTANO WA SEKTA YA BARABARA
10 years ago
MichuziTANZANIA MWENYEJI WA MKUTANO WA MABENKI YA AKIBA DUNIANI (WSBI) KANDA YA AFRIKA