Dkt. Bilal amuwakilisha Rais Kikwete katika mkutano wa Utengamano wa Biashara kwa kanda za utatu za Afrika
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza katika Mkutano mkuu wa tatu wa Mkutano Mkuu wa tatu wa Wakuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), Soko la pamoja la nchi za Kusini mwa Afrika (COMESA) na Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), uliofanyika leo Juni 10, 2015 kwenye ukumbi wa Kimataifa wa mikutano wa Jolie Vile, Sharma El Sheikh. Agenda ya mkutano huo ni kupokea taarifa ya majadiliano ya kuanzisha eneo huru la Biashara la Utatu...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboMAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFUNGUA MKUTANO WA BIASHARA YA KILIMO KWA NCHI ZA UKANDA WA AFRIKA MASHARIKI
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-15zEC780sLc/VXfscPFBxFI/AAAAAAADq8g/UK6y37W01iY/s72-c/1.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AWASILI SHARM EL SHEIKH KUHUDHURIA MKUTANO WA TATU WA WAKUU WA NCHI NA SERIKALI YA UTATU WA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI (EAC)
![](http://4.bp.blogspot.com/-15zEC780sLc/VXfscPFBxFI/AAAAAAADq8g/UK6y37W01iY/s640/1.jpg)
10 years ago
MichuziMAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFUNGUA MKUTANO WA BIASHARA YA KILIMO KWA NCHI ZA UKANDA WA AFRIKA MASHARIKI LEO
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-FpaHCCBf4d8/VXcXQLG0DwI/AAAAAAAHdZc/85qWohvY9gs/s72-c/4.jpg)
DKT. BILAL AWASILI SHARM EL SHEIKH KUHUDHURIA MKUTANO WA TATU WA WAKUU WA NCHI NA SERIKALI YA UTATU WA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI (EAC).
![](http://3.bp.blogspot.com/-FpaHCCBf4d8/VXcXQLG0DwI/AAAAAAAHdZc/85qWohvY9gs/s640/4.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ldM6gS3b6Gw/VXcXQGGMhyI/AAAAAAAHdZg/9z0IhFFiBik/s640/1.jpg)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Waziri wa Uchukuzi wa...
10 years ago
Dewji Blog11 Dec
Makamu wa Rais Dkt. Bilal ahutubia wawakilishi wa Afrika katika mkutano wa mazingira duniani (Cop20) Jijini Lima, Peru
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Mwenyekiti wa Kamati ya Wataalam ya Afrika katika masuala ya Majadiliano ya Mabadiliko ya Tabianchi kutoka nchini Sudan, Nagmeldin El-Hassan, wakati alipokuwa akiwasili katika ukumbi wa mikutano kwa ajili ya kuzungumza na wawakilishi wa Afrika katika mkutano wa Mazingira Duniani (Cop20) unaoendelea jijini Lima, nchini Peru. (Picha na OMR).
Mheshimiwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/--wr-0EkKM8I/VC5swFvyc6I/AAAAAAADG5o/NW2Nx1VaMf0/s72-c/2.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AHUDHURIA KONGAMANO LA BIASHARA LA KIMATAIFA KWA NCHI ZA AFRIKA JIJINI DUBAI, FARME ZA KIARABU
![](http://2.bp.blogspot.com/--wr-0EkKM8I/VC5swFvyc6I/AAAAAAADG5o/NW2Nx1VaMf0/s1600/2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-INlvWxbsZHo/VC5tHVuGDTI/AAAAAAADG54/4WKYfNw25FU/s1600/4.jpg)
10 years ago
Dewji Blog05 Oct
Makamu wa rais Dkt. Bilal ahudhuria kongamano la biashara la kimataifa kwa nchi za Afrika jijini Dubai, falme za kiarabu
Mfanyabiashara mwenye ukwasi mkubwa Afrika, Bw. Aliko Dangote katika mazungumzo na Makamu wa Rais Dkt. Mohammed Gharib Bilal kuhusu uwekezaji wake katika kiwanda cha simenti mkoani Mtwara. Dangote alisema kazi ya ujenzi inakwenda kama ilivyopangwa na kwamba kiwanda hicho kitakuwa kikubwa kabisa kwa uzalishaji simenti katika ukanda wa Afrika Mashariki. (Picha na OMR).
Picha ya pamoja baada ya mazungumzo.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-OvILUXW7eKQ/VHq_ofggGgI/AAAAAAACvlE/ve302F_TY_4/s72-c/12.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AIWAKILISHA TANZANIA KATIKA MKUTANO WA 3 WA WAKUU WA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI (EAC) KUHUSU MIUNDOMBINU JIJINI NAIROBI, KENYA
![](http://3.bp.blogspot.com/-OvILUXW7eKQ/VHq_ofggGgI/AAAAAAACvlE/ve302F_TY_4/s1600/12.jpg)