Rais Kikwete afungua mkutano wa siku mbili wa Takwimu Huria Kanda ya Afrika
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Kikwete akifungua mkutano wa siku mbili wa Takwimu Huria Kanda ya Afrika unaofanyika nchini katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere leo jijini Dar es Salaam. Katikati ni Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue na Mwakilishi wa Benki ya Dunia nchini Bella Bird (wa kwanza kulia).
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mathias Chikawe akimkaribisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Kikwete (hayupo pichani)...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-kj8IMjFHbhc/Veg2Hzole-I/AAAAAAAH2HI/iYJHXpWdM4U/s72-c/rais-kikwete1.jpg)
RAIS KIKWETE KUFUNGUA MKUTANO WA TAKWIMU HURIA KANDA YA AFRIKA
![](http://3.bp.blogspot.com/-kj8IMjFHbhc/Veg2Hzole-I/AAAAAAAH2HI/iYJHXpWdM4U/s640/rais-kikwete1.jpg)
Mkutano huo utakaofunguliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete utafanyika tarehe 4 – 5 Septemba, 2015 katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar es Salaam. Kauli Mbiu ni “Tumia Takwimu Huria Kuendeleza Afrika” (Developing Africa Through Open Data).
Washiriki takriban...
9 years ago
MichuziRAIS KIKWETE AFUNGUA MKUTANO WA KIMATAIFA WA MFUMO WA TAKWIMU HURIA BARANI AFRIKA, JIJINI DAR ES SALAAM LEO
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-m2Vh4Q4aLwA/VefsCpugKiI/AAAAAAAH2AA/z36luKjJwO0/s72-c/aa.png)
MKUTANO WA TAKWIMU HURIA KANDA YA AFRIKA (AFRICA OPEN DATA CONFERENCE) ______________________________________
![](http://4.bp.blogspot.com/-m2Vh4Q4aLwA/VefsCpugKiI/AAAAAAAH2AA/z36luKjJwO0/s640/aa.png)
Washiriki takriban 400 kutoka...
10 years ago
MichuziMAKAMU WA RAIS AFUNGUA MKUTANO WA SIKU MBILI WA NCHI ZA AFRIKA KUANZISHA MAFUNZO YA MAFUTA NA GESI KATIKA VYUO VYA UFUNDI STADI
9 years ago
VijimamboRais Kikwete afungua Mkutano wa Chama Cha Majaji na Mahakimu wa Afrika Mashariki
10 years ago
Dewji Blog10 Jun
Dkt. Bilal amuwakilisha Rais Kikwete katika mkutano wa Utengamano wa Biashara kwa kanda za utatu za Afrika
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza katika Mkutano mkuu wa tatu wa Mkutano Mkuu wa tatu wa Wakuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), Soko la pamoja la nchi za Kusini mwa Afrika (COMESA) na Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), uliofanyika leo Juni 10, 2015 kwenye ukumbi wa Kimataifa wa mikutano wa Jolie Vile, Sharma El Sheikh. Agenda ya mkutano huo ni kupokea taarifa ya majadiliano ya kuanzisha eneo huru la Biashara la Utatu...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-LsDwZetdvi0/VdypadLwP6I/AAAAAAAHz9Q/w55DEWdPSsg/s72-c/unnamed%2B%25289%2529.jpg)
Rais Kikwete afungua Mkutano wa Chama Cha Majaji na Mahakimu wa Afrika Mashariki jijini Mwanza
![](http://3.bp.blogspot.com/-LsDwZetdvi0/VdypadLwP6I/AAAAAAAHz9Q/w55DEWdPSsg/s640/unnamed%2B%25289%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-RiZ2O9RZw0E/VdypaelYQDI/AAAAAAAHz9U/fSL6DlFWv0g/s640/unnamed%2B%252810%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-da9CozSm8aE/VdypdzouTFI/AAAAAAAHz9g/WmjAY2uoP7Y/s640/unnamed%2B%25288%2529.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-DMrsrclh9YI/VP3SYhSfLRI/AAAAAAAHJJE/kJWwnWEuGdo/s72-c/unnamed%2B(48).jpg)
Rais Kikwete afungua Mkutano Mkuu wa Wahasibu Wakuu nchi za Mashariki na Kusini Mwa Afrika
![](http://4.bp.blogspot.com/-DMrsrclh9YI/VP3SYhSfLRI/AAAAAAAHJJE/kJWwnWEuGdo/s1600/unnamed%2B(48).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-kfNCnGnu55Y/VP3SYNYIKAI/AAAAAAAHJJA/-FdD7WDE8TQ/s1600/unnamed%2B(47).jpg)
10 years ago
VijimamboRais Jakaya Kikwete afungua Mkutano Mkuu wa Wahasibu Wakuu nchi za Mashariki na Kusini Mwa Afrika