Shindano la TMT 2015 lazinduliwa rasmi leo, Mwanza kufungua pazia kesho
![](http://img.youtube.com/vi/f-LSPoZc_us/default.jpg)
Afisa Masoko na Mahusiano wa Proin Promotions Ltd, Josephat Lukaza akizungumzia Uzinduzi wa msimu wa pili wa Shindano la TMT 2015 lililopo chini ya Kampuni ya Proin Promotions Ltd ambao pia ni wasambazaji, wauzaji na watengenezaji wa filamu za Kitanzania. Anayeshuhudia pembeni ni Mratibu wa Masoko wa ITV/Radio One ambao ni mmoja wa wadhamini wa Shindano la TMT 2015.
Mratibu wa masoko kutoka ITV/Radio One (wa pili kulia) akizungumzia juu ya umuhimu wa wao ITV/Radio one kuwa washirika wa TMT...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog23 Apr
Shindano la TMT 2015 lazinduliwa rasmi leo, Mwanza kufungua pazia tarehe 24 April 2015.
10 years ago
Bongo Movies23 Apr
Shindano la TMT 2015 Lazinduliwa Rasmi Leo, Jijini Dar
Shindano la Tanzania Movie Talents (TMT) 2015 limezinduliwa rasmi leo huku baadhi ya vigezo vikiwa vimeboreshwa, akizungumzia hayo Meneja wa Mradi wa TMT 2015, Saul Mpock amesema kuwa "mwaka huu Kigezo kimojawapo ni mshiriki kuwa na umri kuanzia miaka 16 na kuendelea huku fomu za kushiriki shindano hilo zikipatika siku ya usaili katika mkoa husika na bila gharama yoyote"
Shindano la Tanzania Movie Talents 2015 linaanza rasmi kesho huku Kanda ya Ziwa ndio itakayofungua pazia la shindano hili...
11 years ago
MichuziSAFARI YA MCHUJO KWA WASHIRIKI WA SHINDANO LA TANZANIA MOVIE TALENTS (TMT) YAANZA RASMI LEO
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nBD8FQWarq-jlw8BpX0W4C2xjKyadL*ErLOOfWea*gCNsVY8uQTAqHbGvOmtBWajXf4NQiLvAoyLbdqAJPGHG197p989lBqE/TMTauditionMWANZAok.jpg)
10 years ago
GPLSHINDANO LA VIPAJI LA TMT KUHAMIA ARUSHA KESHO
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-nvZOifQExRY/UvvVaGRulFI/AAAAAAAFMq0/KB0pUVmsFUk/s72-c/MMG20566.jpg)
MAKAMU WA RAIS,DKT. BILAL AWASILI JIJINI MWANZA JIONI YA LEO,KUFUNGUA KONGAMANO LA UWEKEZAJI KANDA YA ZIWA KESHO
![](http://3.bp.blogspot.com/-nvZOifQExRY/UvvVaGRulFI/AAAAAAAFMq0/KB0pUVmsFUk/s1600/MMG20566.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-B6CBjujsJqg/UvvVbdKbUeI/AAAAAAAFMrE/SnGp-dP5sNI/s1600/MMG20575.jpg)
10 years ago
VijimamboSHINDANO LA MAMA SHUJAA WA CHAKULA LAZINDULIWA RASMI NA MKUU WA WILAYA YA KISARAWE MH. SUBIRA MGALU KIJIJINI KISANGA
10 years ago
GPLWENGI WAJITOKEZA KWENYE USAILI WA SHINDANO LA TMT JIJINI MWANZA