Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Filamu ya Mandela kufungua pazia

Tamasha kubwa la nchi za majahazi leo linaanza kurindima ndani ya viunga vya Ngome Kongwe katika Mji Mkongwe wa Stone Town, Unguja, kwa watu wa mataifa yote watakapoungana na kushuhudia ‘Hatma ya Pamoja’ (A common Destiny) kuanzia Juni 14 hadi 22, 2014

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

CCM kufungua pazia

Mgombea urais wa CCM, Dk John Magufuli leo anafungua rasmi pazia la kampeni za siku 61 za chama hicho kwenye Uwanja wa Jangwani katika tukio linalotarajiwa kuhudhuriwa na maelfu ya wakazi wa jiji la Dar es Salaam, wakiwamo vigogo mbalimbali wa chama hicho tawala.

 

10 years ago

Mwananchi

Vyama vitatu kufungua pazia la urais

Dar es Salaam. Pazia la kuchukua fomu Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) za kugombea kiti cha urais katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 25 mwaka huu, linafunguliwa rasmi leo kwa wagombea wa vyama vya UPDP, TLP na DP.

 

10 years ago

Mwananchi

Prof Lipumba kufungua pazia urais keshokutwa

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa  Ibrahim Lipumba, Jumapili atachukua fomu ya kugombea urais ndani ya chama hicho na atawaeleza Watanzania sababu ya kuwania nafasi hiyo.

 

10 years ago

Michuzi

Shindano la TMT 2015 lazinduliwa rasmi leo, Mwanza kufungua pazia kesho


Afisa Masoko na Mahusiano wa Proin Promotions Ltd, Josephat Lukaza akizungumzia Uzinduzi wa msimu wa pili wa Shindano la TMT 2015 lililopo chini ya Kampuni ya Proin Promotions Ltd ambao pia ni wasambazaji, wauzaji na watengenezaji wa filamu za Kitanzania. Anayeshuhudia pembeni ni Mratibu wa Masoko wa ITV/Radio One ambao ni mmoja wa wadhamini wa Shindano la TMT 2015. Mratibu wa masoko kutoka ITV/Radio One (wa pili kulia) akizungumzia juu ya umuhimu wa wao ITV/Radio one kuwa washirika wa TMT...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Mtanange wa mahasimu Real Betis dhidi ya Sevilla kufungua pazia la La Liga

Ligi hiyo ilisimamishwa toka Machi 12 kutokana na mlipuko wa virusi vya corona.

 

9 years ago

Mtanzania

ZIFF wafungua pazia waanza kupokea filamu za 2016

???????????????????????????????NA FESTO POLEA

KAMATI ya maandalizi ya Tamasha la Kimataifa la Filamu Zanzibar (ZIFF), imetangaza kuanza kupokea filamu za wasanii mbalimbali kote duniani ili zishindanishwe na kupitishwa kwa ajili ya kuonyeshwa katika tamasha hilo kwa mwakani.

Mkurugenzi wa Tamasha hilo, Prof Martin Mhando, alisema licha ya uwepo wa hofu ya kutokuwepo kwa matamasha makubwa yanayofanyika visiwani Zanzibar, tamasha hilo la 18 lenye kauli mbiu ya ‘Ndiyo hii Safari Yetu’ litafanyika kama kawaida kuanzia Julai 9...

 

10 years ago

Dewji Blog

Shindano la TMT 2015 lazinduliwa rasmi leo, Mwanza kufungua pazia tarehe 24 April 2015.

Afisa Masoko na Mahusiano wa Proin Promotions Ltd, Josephat Lukaza akizungumzia Uzinduzi wa msimu wa pili wa Shindano la TMT 2015 lililopo chini ya Kampuni ya Proin Promotions Ltd ambao pia ni wasambazaji, wauzaji na watengenezaji wa filamu za Kitanzania. Anayeshuhudia pembeni ni Mratibu wa Masoko wa ITV/Radio One ambao ni mmoja wa wadhamini wa Shindano la TMT 2015.   Mratibu wa masoko kutoka ITV/Radio One (wa pili kulia) akizungumzia juu ya umuhimu wa wao ITV/Radio one kuwa washirika wa...

 

11 years ago

Mwananchi

Opra Winfrey apata haki kuonyesha filamu ya Mandela

Mwanamama mwenye ushawishi Duniani Opra Winfrey, kupitia Kituo chake cha runinga cha ‘OWN’, amepata haki ya kuonyesha filamu ya marehemu Mandela iitwayo ‘Long Walk to Freedom’.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani