Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ZIFF wafungua pazia waanza kupokea filamu za 2016

???????????????????????????????NA FESTO POLEA

KAMATI ya maandalizi ya Tamasha la Kimataifa la Filamu Zanzibar (ZIFF), imetangaza kuanza kupokea filamu za wasanii mbalimbali kote duniani ili zishindanishwe na kupitishwa kwa ajili ya kuonyeshwa katika tamasha hilo kwa mwakani.

Mkurugenzi wa Tamasha hilo, Prof Martin Mhando, alisema licha ya uwepo wa hofu ya kutokuwepo kwa matamasha makubwa yanayofanyika visiwani Zanzibar, tamasha hilo la 18 lenye kauli mbiu ya ‘Ndiyo hii Safari Yetu’ litafanyika kama kawaida kuanzia Julai 9...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Wanne wafungua pazia la fomu za urais CCM

Pazia la Chama cha Mapinduzi (CCM) kupata mgombea wake wa urais katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba limefunguliwa rasmi jana mjini Dodoma.

 

10 years ago

GPL

MALAIKA BAND WAFUNGUA PAZIA LA BURUDANI VALENTINE DAY, DAR LIVE

Waimbaji wa Malaika Band wakifanya makamuzi jukwaani. Umati wa mashabiki wa burudani wakicheza sambamba na bendi ya Malaika Music katika Usiku wa…

 

10 years ago

Michuzi

ZIFF YAWAKUMBUSHA WADAU WA FILAMU NCHINI KUWASILISHA FILAMU ZAO

WADAU wote wa Tasnia ya Filamu nchini,wanakumbushwa kuwa mwisho wa kupokea Filamu kwaajili ya Tamasha la Filamu la Nchi za Jahazi (ZIFF) ni Tarehe 31/01/2015 kwa waandaaji filamu wote wa ndani na nje ya nchi.
"Kama wewe ni Mtanzania na unataka kuwasilisha filamu yako basi wasiliana na Ibra Mitawi +255 713 300997 au +255 783 300997 au mnaweza kutuma ofisini Zanzibar moja kwa moja, hatutapokea filamu yeyote baada ya tarehe hiyo". 
Tunaomba pia mjaribu kuweka filamu ikiwa ndani ya DVD moja na si...

 

9 years ago

Vijimambo

MISS TANZANIA YAFUNGUA PAZIA LA WANAOTAKA UWAKALA 2016

post-feature-imageKamati ya Miss Tanzania inapenda kuwatangazia wadau wote wanaotaka kuandaa Mashindano ya urembo ya Miss Tanzania kwa mwaka 2016 kutuma maombi yao ya uwakala kuanzia sasa hadi tarehe 30 Novemba 2015 ndio mwisho wa kupokea maombi ha yo.
Mashindano yatakayo fanyika ni ya mikoa tu, hakutakuwa na mashindano katika ngazi ya kitongoji, wilaya wala Kanda.
Sifa za kuwa Wakala wa Miss Tanzania ni pamoja na
1) Uwe na Kampuni iliyosajiliwa na Mamlaka husika ya Serikali.
2) Uwe na mtaji wa...

 

11 years ago

Mwananchi

Filamu ya Mandela kufungua pazia

Tamasha kubwa la nchi za majahazi leo linaanza kurindima ndani ya viunga vya Ngome Kongwe katika Mji Mkongwe wa Stone Town, Unguja, kwa watu wa mataifa yote watakapoungana na kushuhudia ‘Hatma ya Pamoja’ (A common Destiny) kuanzia Juni 14 hadi 22, 2014

 

10 years ago

Dewji Blog

Zitto na ACT Wazalendo ‘waanza harakati za ukombozi Songea wafungua matawi kila kona

Mwenyekiti Anna Mngwira, baada ya Kuzindua ofisi za Mkoa  za chama cha ACT Mkoani Ruvuma.

Wafuasi wa ACT wakiwa kwenye msafara wa kuwapokea viongozi  wa chama hicho Mjini Songea Mkoani Ruvuma.

Wafuasi wa ACT wakiwa kwenye msafara wa kuwapokea viongozi wa chama hicho Mjini Songea Mkoani Ruvuma.

NA MWANDISHI WETU

MJI wa Songea jana ulizizima kwa mapokezi makubwa  ya viongozi wa  Chama cha ACT-Wazalendo wakiongozwa na kiongozi wa chama hicho Zitto Kabwe.

Zitto, ambaye ameambatana na viongozi wengine wa juu wa ACT akiwemo Mwenyekiti wa ACT Taifa, Anna Mghwira pamoja na Katibu Mkuu wake Samson Mwigamba.

Viongosi hao walisili jana mjini hapa  ambapo walilakiwa na mamia ya wananchi wa...

 

9 years ago

Vijimambo

FILM SUBMISSIONS FOR ZIFF 2016 ARE NOW OPEN


FILM SUBMISSIONS FOR ZIFF 2016 ARE NOW OPEN___________________________________________________________ZIFF is excited to announce that the submission for films for the 2016 edition of ZIFF is now open. Festival Director Prof Martin Mhando has confirmed that despite the fears that the two major festivals of Zanzibar will be cancelled next year, ZIFF 2016 will be holding its 19th edition from July 9th – 17th 2016.
Following the announcement of the cancellation of the Sauti ya Busara music...

 

9 years ago

Dewji Blog

Film submission for ZIFF 2016 are now open!!

zanzibar-international-film-festival

ZIFF is excited to announce that the submission for films for the 2016 edition of ZIFF is now open. Festival Director Prof Martin Mhando has confirmed that despite the fears that the two major festivals of Zanzibar will be cancelled next year, ZIFF 2016 will be holding its 19th edition from July 9th – 17th 2016.

Following the announcement of the cancellation of the Sauti ya Busara music festival for 2016, many had feared ZIFF would follow suit at an attempt to encourage more government...

 

10 years ago

Habarileo

CCM waanza kupokea barua za pingamizi

WAGOMBEA waliolalamikia matokeao ya kura za maoni CCM, wameanza kuwasilisha barua za pingamizi katika ofisi za chama. Hatua hiyo inakuja baada ya kutangazwa kwa matokeo ya kura za maoni, zilizofanyika kuwatafuta wagombea watakaokiwakilisha chama katika uchaguzi mkuu kwa ngazi ya udiwani na ubunge.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani