ZIFF wafungua pazia waanza kupokea filamu za 2016
NA FESTO POLEA
KAMATI ya maandalizi ya Tamasha la Kimataifa la Filamu Zanzibar (ZIFF), imetangaza kuanza kupokea filamu za wasanii mbalimbali kote duniani ili zishindanishwe na kupitishwa kwa ajili ya kuonyeshwa katika tamasha hilo kwa mwakani.
Mkurugenzi wa Tamasha hilo, Prof Martin Mhando, alisema licha ya uwepo wa hofu ya kutokuwepo kwa matamasha makubwa yanayofanyika visiwani Zanzibar, tamasha hilo la 18 lenye kauli mbiu ya ‘Ndiyo hii Safari Yetu’ litafanyika kama kawaida kuanzia Julai 9...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi04 Jun
Wanne wafungua pazia la fomu za urais CCM
10 years ago
GPLMALAIKA BAND WAFUNGUA PAZIA LA BURUDANI VALENTINE DAY, DAR LIVE
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ByAI948vpWo/VKffRTyfvDI/AAAAAAAG7Bw/1zTkIEuutw8/s72-c/ZIFF%2B2015-18%2BLogo.jpg)
ZIFF YAWAKUMBUSHA WADAU WA FILAMU NCHINI KUWASILISHA FILAMU ZAO
![](http://2.bp.blogspot.com/-ByAI948vpWo/VKffRTyfvDI/AAAAAAAG7Bw/1zTkIEuutw8/s1600/ZIFF%2B2015-18%2BLogo.jpg)
"Kama wewe ni Mtanzania na unataka kuwasilisha filamu yako basi wasiliana na Ibra Mitawi +255 713 300997 au +255 783 300997 au mnaweza kutuma ofisini Zanzibar moja kwa moja, hatutapokea filamu yeyote baada ya tarehe hiyo".
Tunaomba pia mjaribu kuweka filamu ikiwa ndani ya DVD moja na si...
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-Q7utC1MbvBo/VgFfWka3PJI/AAAAAAADY1Y/TkblN9X_o9k/s72-c/tz.jpg)
MISS TANZANIA YAFUNGUA PAZIA LA WANAOTAKA UWAKALA 2016
![post-feature-image](http://2.bp.blogspot.com/-Q7utC1MbvBo/VgFfWka3PJI/AAAAAAADY1Y/TkblN9X_o9k/s640/tz.jpg)
Mashindano yatakayo fanyika ni ya mikoa tu, hakutakuwa na mashindano katika ngazi ya kitongoji, wilaya wala Kanda.
Sifa za kuwa Wakala wa Miss Tanzania ni pamoja na
1) Uwe na Kampuni iliyosajiliwa na Mamlaka husika ya Serikali.
2) Uwe na mtaji wa...
11 years ago
Mwananchi14 Jun
Filamu ya Mandela kufungua pazia
10 years ago
Dewji Blog11 Apr
Zitto na ACT Wazalendo ‘waanza harakati za ukombozi Songea wafungua matawi kila kona
Wafuasi wa ACT wakiwa kwenye msafara wa kuwapokea viongozi wa chama hicho Mjini Songea Mkoani Ruvuma.
NA MWANDISHI WETU
MJI wa Songea jana ulizizima kwa mapokezi makubwa ya viongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo wakiongozwa na kiongozi wa chama hicho Zitto Kabwe.
Zitto, ambaye ameambatana na viongozi wengine wa juu wa ACT akiwemo Mwenyekiti wa ACT Taifa, Anna Mghwira pamoja na Katibu Mkuu wake Samson Mwigamba.
Viongosi hao walisili jana mjini hapa ambapo walilakiwa na mamia ya wananchi wa...
9 years ago
Vijimambo20 Oct
FILM SUBMISSIONS FOR ZIFF 2016 ARE NOW OPEN
FILM SUBMISSIONS FOR ZIFF 2016 ARE NOW OPEN___________________________________________________________ZIFF is excited to announce that the submission for films for the 2016 edition of ZIFF is now open. Festival Director Prof Martin Mhando has confirmed that despite the fears that the two major festivals of Zanzibar will be cancelled next year, ZIFF 2016 will be holding its 19th edition from July 9th – 17th 2016.
Following the announcement of the cancellation of the Sauti ya Busara music...
9 years ago
Dewji Blog22 Nov
Film submission for ZIFF 2016 are now open!!
ZIFF is excited to announce that the submission for films for the 2016 edition of ZIFF is now open. Festival Director Prof Martin Mhando has confirmed that despite the fears that the two major festivals of Zanzibar will be cancelled next year, ZIFF 2016 will be holding its 19th edition from July 9th – 17th 2016.
Following the announcement of the cancellation of the Sauti ya Busara music festival for 2016, many had feared ZIFF would follow suit at an attempt to encourage more government...
10 years ago
Habarileo06 Aug
CCM waanza kupokea barua za pingamizi
WAGOMBEA waliolalamikia matokeao ya kura za maoni CCM, wameanza kuwasilisha barua za pingamizi katika ofisi za chama. Hatua hiyo inakuja baada ya kutangazwa kwa matokeo ya kura za maoni, zilizofanyika kuwatafuta wagombea watakaokiwakilisha chama katika uchaguzi mkuu kwa ngazi ya udiwani na ubunge.