Prof. Lipumba na urais, ni uvumilivu wa kula mbivu au king’ang’anizi
JOTO la uchaguzi mkuu wa Oktoba 25, mwaka huu, limezidi kupanda. Miezi minne iliyobaki inajenga uhalali wa joto hilo na mihemko ya namna mbalimbali.
Chama cha Wananchi (CUF), hivi karibuni kilimuibua tena Profesa Ibrahim Lipumba kuwania urais, ikiwa ni mara ya tano mfululizo anawania nafasi hiyo.
Kwa mara ya kwanza alitupa karata ya kuwania wadhifa huo mwaka 1995, wakati wa uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi nchini.
Katika hali ya kawaida, ingetarajiwa kuwe na mgombea tofauti...
Raia Tanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili28 Nov
Viongozi ving'ang'anizi wapewa somo
10 years ago
Mwananchi30 May
Prof Lipumba ajitosa urais Ukawa
10 years ago
Mwananchi12 Jun
Prof Lipumba kufungua pazia urais keshokutwa
11 years ago
Habarileo04 May
Lipumba ang’ang’ania hoja ya Ukawa
PAMOJA na mwito wa Rais Jakaya Kikwete, wasomi na wanasiasa wakongwe na mashuhuri nchini, Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Prof. Ibrahim Lipumba ameweka bayana kuwa chama chake na washirika wengine wanaounda kinachoitwa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), hawatorejea kwenye Bunge Maalum la Katiba.
10 years ago
Vijimambo09 Oct
Prof. Lipumba kunguruma Mtwara
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/6/69/Ibrahim_Lipumba.jpg)
Kiongozi huyo ambaye yupo mkoani humo kwa ziara ya kikazi, anatarajiwa kuwasili Mtwara mjini Oktoba 13, mwaka huu.
Akizungumza na NIPASHE katika ofisi za CUF...
10 years ago
IPPmedia06 Aug
Prof Lipumba mum on next move
IPPmedia
IPPmedia
CiviUnited Front national chairman Prof Ibrahim Lipumba addresses members of the opposition party at its headquarters in Dar es salaam yesterday. The membership of the Civic United Front (CUF) chairman Prof Ibrahim Lipumba hangs in the balance as ...
Lipumba Mum On Ukawa's Choice of Presidential CandidateAllAfrica.com
all 3
10 years ago
Vijimambo22 Sep
Prof. Lipumba awavaa Polisi
![](http://bongocelebrity.files.wordpress.com/2007/12/lipumba.jpg)
Mwenyekiti wa CUF, Prof. Ibrahim Lipumba, amesema kitendo hicho ni cha uvunjaji wa katiba ya nchi inayotoa uhuru wa kutafuta na kupata habari na pia ni cha uvunjaji wa haki za binadamu na kwamba, kimeonyesha jinsi jeshi hilo lisivyoheshimu haki za wananchi...
10 years ago
Mwananchi15 Jul
Prof Lipumba, nabii asiyekubalika kwao
10 years ago
Mwananchi06 Aug
Prof. Lipumba ajiuzulu uenyekiti CUF