Prof Lipumba, nabii asiyekubalika kwao
Profesa Ibrahim Lipumba hatanii, anautaka urais. Tangu alipojitokeza kwa mara ya kwanza katika uchaguzi mkuu mwaka 1995 na kushika nafasi ya tatu, amekuwa hakosekani kwenye karatasi ya mpigakura katika kila uchaguzi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo22 Sep
Prof. Lipumba awavaa Polisi
Mwenyekiti wa CUF, Prof. Ibrahim Lipumba, amesema kitendo hicho ni cha uvunjaji wa katiba ya nchi inayotoa uhuru wa kutafuta na kupata habari na pia ni cha uvunjaji wa haki za binadamu na kwamba, kimeonyesha jinsi jeshi hilo lisivyoheshimu haki za wananchi...
10 years ago
IPPmedia06 Aug
Prof Lipumba mum on next move
IPPmedia
Prof Lipumba mum on next move
IPPmedia
CiviUnited Front national chairman Prof Ibrahim Lipumba addresses members of the opposition party at its headquarters in Dar es salaam yesterday. The membership of the Civic United Front (CUF) chairman Prof Ibrahim Lipumba hangs in the balance as ...
Lipumba Mum On Ukawa's Choice of Presidential CandidateAllAfrica.com
all 3
10 years ago
Vijimambo09 Oct
Prof. Lipumba kunguruma Mtwara
Kiongozi huyo ambaye yupo mkoani humo kwa ziara ya kikazi, anatarajiwa kuwasili Mtwara mjini Oktoba 13, mwaka huu.
Akizungumza na NIPASHE katika ofisi za CUF...
10 years ago
Mtanzania05 Jun
Mahakama yawaonya Prof. Lipumba, Mdee
NA KULWA MZEE, DAR ES SALAAM
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imewaonya Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahimu Lipumba na wenzake kwa kuchelewa na Mbunge wa Kawe, Halima Mdee kwa kutohudhuria mahakamani.
Washtakiwa hao walionywa kwa nyakati tofauti jana wakati kesi zao zilipokwama kuendelea kusikilizwa kwa sababu yao.
Kesi inayomkabili Profesa Lipumba na wenzake 31 ilitakiwa kuendelea kusikilizwa, lakini iliahirishwa kwa sababu hakimu anayeisikiliza, Cyprian Mkeha hakuwapo na washtakiwa...
10 years ago
MichuziPROF. LIPUMBA AKIWASHUKURU WANANCHI BUGURUNI
10 years ago
Mwananchi30 May
Prof Lipumba ajitosa urais Ukawa
11 years ago
Tanzania Daima26 Jan
Shaka amzodoa Prof. Lipumba Zanzibar
JUMUIYA ya Umoja wa Vijana ya Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) imemuonya Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahimu Lipumba, kuacha kuingilia uamuzi wa kikatiba unaofikiwa na chama chao. UVCCM...
10 years ago
Uhuru NewspaperMakame amtolea uvivu Prof. Lipumba
Na Mwandishi Wetu, Pemba
CHAMA cha Allience for Democratic Change (ADC), kimemtaka Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba, asiishie kudai kuvunjwa mkono na polisi, badala yake akiri kuwa alijiunga na chama hicho kwa lengo kutafuta madaraka na njia ya kuingia Ikulu.
Kimesema kuwa Profesa Lipumba ni mfano wa wanasiasa wenye uchu wa madaraka na kwamba, hakuwa na dhamira ya kujiunga na upinzani, bali ilikuwa kuwania urais.
Hayo yalielezwa na Mkurugenzi wa Uenezi na Habari wa ADC, Ali Makame,...
10 years ago
Mwananchi06 Aug
Prof. Lipumba ajiuzulu uenyekiti CUF