Mahakama yawaonya Prof. Lipumba, Mdee
NA KULWA MZEE, DAR ES SALAAM
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imewaonya Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahimu Lipumba na wenzake kwa kuchelewa na Mbunge wa Kawe, Halima Mdee kwa kutohudhuria mahakamani.
Washtakiwa hao walionywa kwa nyakati tofauti jana wakati kesi zao zilipokwama kuendelea kusikilizwa kwa sababu yao.
Kesi inayomkabili Profesa Lipumba na wenzake 31 ilitakiwa kuendelea kusikilizwa, lakini iliahirishwa kwa sababu hakimu anayeisikiliza, Cyprian Mkeha hakuwapo na washtakiwa...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo09 Oct
Prof. Lipumba kunguruma Mtwara
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/6/69/Ibrahim_Lipumba.jpg)
Kiongozi huyo ambaye yupo mkoani humo kwa ziara ya kikazi, anatarajiwa kuwasili Mtwara mjini Oktoba 13, mwaka huu.
Akizungumza na NIPASHE katika ofisi za CUF...
10 years ago
Vijimambo22 Sep
Prof. Lipumba awavaa Polisi
![](http://bongocelebrity.files.wordpress.com/2007/12/lipumba.jpg)
Mwenyekiti wa CUF, Prof. Ibrahim Lipumba, amesema kitendo hicho ni cha uvunjaji wa katiba ya nchi inayotoa uhuru wa kutafuta na kupata habari na pia ni cha uvunjaji wa haki za binadamu na kwamba, kimeonyesha jinsi jeshi hilo lisivyoheshimu haki za wananchi...
10 years ago
IPPmedia06 Aug
Prof Lipumba mum on next move
IPPmedia
IPPmedia
CiviUnited Front national chairman Prof Ibrahim Lipumba addresses members of the opposition party at its headquarters in Dar es salaam yesterday. The membership of the Civic United Front (CUF) chairman Prof Ibrahim Lipumba hangs in the balance as ...
Lipumba Mum On Ukawa's Choice of Presidential CandidateAllAfrica.com
all 3
10 years ago
MichuziPROF. LIPUMBA AKIWASHUKURU WANANCHI BUGURUNI
10 years ago
Mwananchi30 May
Prof Lipumba ajitosa urais Ukawa
10 years ago
GPLPROF LIPUMBA KIZIMBANI NA WANACHAMA WAKE
10 years ago
MichuziPROF. LIPUMBA APANDISHWA KIZIMBANI LEO
10 years ago
Mwananchi06 Aug
Prof. Lipumba ajiuzulu uenyekiti CUF