Wasira, Bulaya walalamikia hujuma
Wagombea ubunge Jimbo la Bunda Mjini, Stephen Wasira (CCM) na Ester Bulaya (Chadema), wameomba vyombo vya ulinzi kusimamia amani kipindi hiki cha kampeni inayoonekana kuvurugwa na baadhi ya wafuasi wa vyama hivyo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi24 Sep
MAHOJIANO: Bulaya atangaza vita na Wasira
>Mbunge wa Viti Maalumu (CCM), Ester Bulaya ametangaza rasmi nia ya kugombea ubunge katika Jimbo la Bunda ambalo linashikiliwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Uhusiano na Uratibu), Stephen Wasira.
10 years ago
Mwananchi26 Jul
Wasira, Bulaya waanza kutunishiana misuli
Waziri wa Kilimo na Chakula, Stephen Wasira amesema hakuwahi kuwa na mvutano wowote na Mbunge wa Viti Maalum, Ester Bulaya, kwa kile alichodai kuwa siyo ‘saizi’ yake kwenye uwanja wa siasa.
10 years ago
KwanzaJamii24 Sep
Ester Bulaya atangaza vita na Wasira
Mbunge wa Viti Maalum (CCM) Ester Bulaya (kulia) akifurahia jambo la Waziri Mkuu Mizengo Pinda katika mojawapo ya vikao vya Bunge mjini Dodoma.
Dar es Salaam. Mbunge wa Viti Maalumu (CCM), Ester Bulaya ametangaza rasmi nia ya kugombea ubunge katika Jimbo la Bunda ambalo linashikiliwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Uhusiano na Uratibu), Stephen Wasira.
Kwa nia hiyo, Bulaya anaweza kuwa ametangaza vita dhidi ya Wasira ambaye hivi karibuni akiwa Bunda, alitangaza kukitetea kiti...
9 years ago
Vijimambo29 Oct
Wasira agomea matokeo yaliyompa ushindi Bulaya
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Wasira-29OCT2015.jpg)
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Mwanza juzi jioni, Wasira alisema matokeo ya ubunge yalichakachuliwa kutokana na uhesabuji kura kutofuata utaratibu.
Wasira alisema...
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://4.bp.blogspot.com/-HdwYkRXyX1Y/U-x4kFZ2i9I/AAAAAAAABfA/dz3KfQhMB3w/s72-c/Unknown-4.jpeg)
Hujuma nzito
Mashine Elektroniki zatumika kuibia serikaliMwigulu aendesha msako, aagiza uchunguziKampuni kubwa zahusishwa, wawili mbaroni
NA MWANDISHI WETU
SERIKALI inahofiwa kupoteza mabilioni ya shilingi kutokana na baadhi ya wafanyabiashara kuanza kufanya hujuma kwa kutumia mashine za kielektroniki (EFD) zinazotumika kukusanya kodi.
Hatua hiyo inatokana na kubainika kuingizwa sokoni kwa mashine zinazotoa risiti feki, ambapo kodi inayokatwa kwa mnunuzi imekuwa haiwasilishwi Mamlaka ya Mapato Tanzania...
10 years ago
Tanzania Daima08 Dec
Hujuma uzalishaji sukari
TANI 158 za sukari zimeozea kwenye ghala la kiwanda cha sukari Kilombero mkoani Morogoro mwaka jana huku tani 40,000 zikishindwa kuuzika kutokana na kuendelea kuingizwa kwa sukari kutoka nje ya...
9 years ago
Mwananchi22 Sep
Hujuma Bandari ya Tanga
Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Magalula Said Magalula amedai kuwa kuna wafanyabiashara ambao wameanza tena kuhujumu mpango wa Serikali wa kutumia Bandari ya Tanga kupitishia mafuta.
10 years ago
Mwananchi31 Dec
Lundenga alia hujuma
Siku moja baada ya Baraza la Sanaa la Taifa (Basata), kuifungia Kampuni ya Lino International kuendesha mashindano ya Miss Tanzania kwa miaka miwili, Mkurugenzi wa kampuni hiyo, Hashim Lundenga amesema hatua hiyo imefikiwa kutokana na shinikizo kutoka kwa baadhi ya watu wenye dhamira ya kuitoa kwenye mstari wa mafanikio sanaa ya urembo nchini.
11 years ago
Mwananchi10 Jul
Bulaya amvaa Wassira
Siku moja baada ya Steven Wassira kutangaza nia ya kutetea ubunge wa Jimbo la Bunda mwakani, Mbunge wa Viti Maalumu, Esther Bulaya amesema anashangaa kuona mwanasiasa huyo mkongwe anaweweseka kwa kutojua ni nafasi ipi anaitaka.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania