Hujuma uzalishaji sukari
TANI 158 za sukari zimeozea kwenye ghala la kiwanda cha sukari Kilombero mkoani Morogoro mwaka jana huku tani 40,000 zikishindwa kuuzika kutokana na kuendelea kuingizwa kwa sukari kutoka nje ya...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi17 May
Uzalishaji wa sukari wazidi kuporomoka
11 years ago
Habarileo09 Jan
Uzalishaji wa sukari kuongezeka mwakani
WAZIRI wa Kilimo, Chakula na Ushirika , Mhandisi Christopher Chiza , amesema katika kutekeleza Mpango wa Matokea Makubwa Sasa (BRN), Serikali imeweka malengo ya kuongeza uzalishaji wa sukari kutoka tani 300,000 kwa mwaka hadi kufikia 450,000 ifikapo 2015/2016.
9 years ago
MichuziRC Makalla atembelea kiwanda cha sukari TPC, akerwa na sukari inayoingia kwa wingi kutoka nje
Na Mwandishi Wetu, KilimanjaroMKUU wa Mkoa Kilimanjaro, Amos Makalla, amefanya ziara katika kiwanda cha Sukari cha TPC kilichopo Moshi, mkoani Kilimanjaro ili kujionea hali ya uzalishaji wa sukari kwenye kiwanda hicho. RC Makalla alijionea hali halisi ya kiwanda hicho ambacho...
10 years ago
Uhuru NewspaperHujuma nzito
Mashine Elektroniki zatumika kuibia serikaliMwigulu aendesha msako, aagiza uchunguziKampuni kubwa zahusishwa, wawili mbaroni
NA MWANDISHI WETU
SERIKALI inahofiwa kupoteza mabilioni ya shilingi kutokana na baadhi ya wafanyabiashara kuanza kufanya hujuma kwa kutumia mashine za kielektroniki (EFD) zinazotumika kukusanya kodi.
Hatua hiyo inatokana na kubainika kuingizwa sokoni kwa mashine zinazotoa risiti feki, ambapo kodi inayokatwa kwa mnunuzi imekuwa haiwasilishwi Mamlaka ya Mapato Tanzania...
9 years ago
Mwananchi22 Sep
Hujuma Bandari ya Tanga
10 years ago
Mwananchi31 Dec
Lundenga alia hujuma
11 years ago
Mwananchi26 May
Wahadzabe walia na hujuma za wanaume
9 years ago
Mwananchi11 Sep
Wasira, Bulaya walalamikia hujuma
10 years ago
Mtanzania17 Feb
Azam kukabiliana na hujuma za Merreikh
NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM
MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, Azam FC wamejipanga kukabiliana na hujuma zozote kutoka kwa El Merreikh katika mchezo wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Afrika.
Azam juzi iliwafunga miamba hiyo ya Sudan mabao 2-0 katika mchezo wa kwanza uliofanyika Uwanja wa Azam Complex, mchezo wa marudiano utafanyika jijini Khartoum, Sudan.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Katibu Mkuu wa Azam, Nassor Idrissa, alisema wanajua mbinu chafu za nje ya...