Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uzalishaji wa sukari wazidi kuporomoka

Dar es Salaam. Wadau wa viwanda vya sukari nchini wameitupia Serikali lawama kwa kushindwa kuisimamia sekta hiyo na kusababisha uzalishaji kushuka kwa asilimia 20 katika kipindi cha miaka 15 iliyopita.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Sababu za uzalishaji korosho kuporomoka mkoani Mtwara

Licha ya miaka mingi Mtwara kusifika kwa korosho, uzalishaji wa zao hilo sasa unaporomoka kila kukicha.

 

10 years ago

Mwananchi

Utendaji kwa viongozi wazidi kuporomoka

Kiwango cha kukubalika kwa utendaji kazi wa baadhi ya viongozi wa kisiasa nchini kimeshuka, ripoti ya utafiti ya taasisi ya Twaweza iliyotolewa jana imesema.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Hujuma uzalishaji sukari

TANI 158 za sukari zimeozea kwenye ghala la kiwanda cha sukari Kilombero mkoani Morogoro mwaka jana huku tani 40,000 zikishindwa kuuzika kutokana na kuendelea kuingizwa kwa sukari kutoka nje ya...

 

11 years ago

Habarileo

Uzalishaji wa sukari kuongezeka mwakani

WAZIRI wa Kilimo, Chakula na Ushirika , Mhandisi Christopher Chiza , amesema katika kutekeleza Mpango wa Matokea Makubwa Sasa (BRN), Serikali imeweka malengo ya kuongeza uzalishaji wa sukari kutoka tani 300,000 kwa mwaka hadi kufikia 450,000 ifikapo 2015/2016.

 

9 years ago

Michuzi

RC Makalla atembelea kiwanda cha sukari TPC, akerwa na sukari inayoingia kwa wingi kutoka nje

Mkuu wa Mkoa Kilimanjaro Amos Makalla akiwa kwenye ukaguzi wa kiwanda cha sukari cha TPC kilichopo Moshi, mkoani humo, kama sehemu ya kuangalia hali ya uzalishaji wa sukari kwenye kiwanda hicho. Picha na Mpigapicha wetu.
Na Mwandishi Wetu, Kilimanjaro

MKUU wa Mkoa Kilimanjaro, Amos Makalla, amefanya ziara katika kiwanda cha Sukari cha TPC kilichopo Moshi, mkoani Kilimanjaro ili kujionea hali ya uzalishaji wa sukari kwenye kiwanda hicho. RC Makalla alijionea hali halisi ya kiwanda hicho ambacho...

 

11 years ago

BBCSwahili

Libya yahofia kuporomoka

Libya imelionya baraza la usalama la UN kwamba iwapo haitapata usaidizi wa kuimarisha vikosi vyake taifa hilo litakuwa miongoni mwa mataifa yaliofeli.

 

9 years ago

BBCSwahili

Hisa za China zazidi kuporomoka

Hisa zimeanguka kwa asilimia 1.27 zaidi na kuzidisha hofu kuhusu uchumi duniani hata baada ya benki kuu kupunguza viwango vya riba

 

10 years ago

BBCSwahili

Shilingi ya Tanzania yazidi kuporomoka

Shilingi ya Tanzania imeendelea kushuka kwa asilimia 20 dhidi ya dola ya Kimarekani,na kuathiri mitaji ya uwekezaji.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mafuta kuporomoka yaumiza Saudi Arabia

Saudi Arabia yatangaza kubana matumizi kwa sababu ya pato lake kutokana na mafuta lapungua

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani