Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uzalishaji wa sukari kuongezeka mwakani

WAZIRI wa Kilimo, Chakula na Ushirika , Mhandisi Christopher Chiza , amesema katika kutekeleza Mpango wa Matokea Makubwa Sasa (BRN), Serikali imeweka malengo ya kuongeza uzalishaji wa sukari kutoka tani 300,000 kwa mwaka hadi kufikia 450,000 ifikapo 2015/2016.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Hujuma uzalishaji sukari

TANI 158 za sukari zimeozea kwenye ghala la kiwanda cha sukari Kilombero mkoani Morogoro mwaka jana huku tani 40,000 zikishindwa kuuzika kutokana na kuendelea kuingizwa kwa sukari kutoka nje ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Uzalishaji wa sukari wazidi kuporomoka

Dar es Salaam. Wadau wa viwanda vya sukari nchini wameitupia Serikali lawama kwa kushindwa kuisimamia sekta hiyo na kusababisha uzalishaji kushuka kwa asilimia 20 katika kipindi cha miaka 15 iliyopita.

 

9 years ago

Michuzi

RC Makalla atembelea kiwanda cha sukari TPC, akerwa na sukari inayoingia kwa wingi kutoka nje

Mkuu wa Mkoa Kilimanjaro Amos Makalla akiwa kwenye ukaguzi wa kiwanda cha sukari cha TPC kilichopo Moshi, mkoani humo, kama sehemu ya kuangalia hali ya uzalishaji wa sukari kwenye kiwanda hicho. Picha na Mpigapicha wetu.
Na Mwandishi Wetu, Kilimanjaro

MKUU wa Mkoa Kilimanjaro, Amos Makalla, amefanya ziara katika kiwanda cha Sukari cha TPC kilichopo Moshi, mkoani Kilimanjaro ili kujionea hali ya uzalishaji wa sukari kwenye kiwanda hicho. RC Makalla alijionea hali halisi ya kiwanda hicho ambacho...

 

10 years ago

BBCSwahili

Vifo vinavyotokana na nyoka kuongezeka?

Shirika la kimataifa la misaada, Medecins Sans Frontieres, limeonya kwamba vifo vitokanavyo na kuumwa na nyoka huenda vikaongezeka

 

11 years ago

Habarileo

Wanafunzi wanaopata mikopo kuongezeka

 Cosmas MwaisobwaIDADI ya wanafunzi wa elimu ya juu wanaonufaika na mikopo kutoka Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESB) inatarajiwa kuongezeka, mfumo mpya wa gharama halisi kwa wanafunzi utakapoanza mwaka ujao wa fedha.

 

11 years ago

Habarileo

Waziri - Ziada ya chakula kuongezeka

WIZARA ya Kilimo, Chakula na Ushirika imesema ziada ya chakula kwa msimu wa mwaka huu inatarajiwa kuongezeka zaidi kutokana na matumizi ya zana bora za kilimo.

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

REA: Upatikanaji wa umeme kuongezeka


Na Mwandishi Wetu
KIWANGO cha upatikanaji wa nishati ya umeme kinatarajiwa kupanda hadi asilimia 100 ifikapo mwaka 2030, umesema Wakala wa Nishati Vijijini (REA).
Meneja Utaalamu Elekezi wa REA, Mhandisi Gissima Nyamo-Hanga, alisema hayo alipomwakilisha Mkurugenzi wa REA katika ufunguzi wa mafunzo ya siku tatu kwa wataalamu na wajasiriamali wa usambazaji vifaa vya umeme (nishati) itokanayo na mionzi ya jua.
Katika mafunzo hayo yanayomalizika leo katika Hoteli ya Kebis jijini Dar es Salaam,...

 

11 years ago

Mwananchi

Wanawake wazidi kuongezeka nchini

Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) imesema matokeo ya sensa ya watu na makazi yanaonyesha kuwa idadi ya wanawake inaendelea kuongezeka kulinganisha na wanaume.

 

9 years ago

Habarileo

Makontena yaliyokwepa kodi yazidi kuongezeka

MAKONTENA yaliyotolewa bila kulipa ushuru katika bandari ya Dar es Salaam yamezidi kuongezeka tangu Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa alipobaini kutoroshwa kwa makontena 2,431 katika bandari hiyo bila kulipa ushuru. Jana Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu, Suleiman Kova, alipozungumza na waandishi wa habari, alitaja idadi mpya ya makontena hayo iliyobainika katika uchunguzi unaoendelea, yamefikia 2,489, sawa na ongezeko la makontena mapya 58.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani