Wanafunzi wanaopata mikopo kuongezeka
IDADI ya wanafunzi wa elimu ya juu wanaonufaika na mikopo kutoka Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESB) inatarajiwa kuongezeka, mfumo mpya wa gharama halisi kwa wanafunzi utakapoanza mwaka ujao wa fedha.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-vPa_eVM1UxY/Vc3pxZyEeyI/AAAAAAAHwnI/18p9weMWb-s/s72-c/download.jpg)
IDADI YA WANAFUNZI WANONUFAIKA NA MIKOPO YAZIDI KUONGEZEKA
![](http://2.bp.blogspot.com/-vPa_eVM1UxY/Vc3pxZyEeyI/AAAAAAAHwnI/18p9weMWb-s/s1600/download.jpg)
Katika mwaka wa masomo wa 2005/2006 Bodi ya Mikopo ilitoa mikopo kwa wanafunzi 42,729 iliyogharimu sh. bilioni 56.1 na mwaka wa masomo wa 2014/2015 bodi ya mikopo ilitoa mikopo kwa wanafunzi 98,000 iliyogharimu shilingi bilioni 345.
Hayo yalisemawa leo na Kaimu...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-jM1o7O6hdjw/VaaBI8AGdBI/AAAAAAABRzk/sdo2WPNb7xM/s72-c/New%2BPicture%2B%25284%2529.jpg)
BODI YA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU YASOGEZA MBELE TAREHE YA MWISHO YA KUPOKEA MAOMBI YA MIKOPO
![](http://3.bp.blogspot.com/-jM1o7O6hdjw/VaaBI8AGdBI/AAAAAAABRzk/sdo2WPNb7xM/s640/New%2BPicture%2B%25284%2529.jpg)
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu inapenda kuwafahamisha Waombaji wa mikopo na Umma kwa ujumla kuwa muda wa kuwasilisha maombi ya mikopo umeongezwa mbele hadi tarehe 31 Julai, 2015.
Hatua hii imechukuliwa ili kuwapa fursa wale ambao kwa sababu mbalimbali hawakuweza kufanya maombi ya mikopo katika muda uliopangwa. Itakumbukwa kuwa, awali Bodi ilianza kupokea maombi kwa njia ya mtandao tarehe 4 Mei, 2015 na mwisho wa kuwasilisha maombi ulipangwa kuwa tarehe 30 Juni, 2015.
Kupitia...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-HrE0xTSBKMI/XsKDt6lzxOI/AAAAAAALqqM/4ZkT6hz8kXMThidQq08N3oy4vOEgRoUCwCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-18%2Bat%2B3.31.43%2BPM.jpeg)
BODI YA MIKOPO YATAKIWA KUWA TAYARI KUTOA MIKOPO KWA WANAFUNZI PINDI VYUO VITAKAPOFUNGULIWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-HrE0xTSBKMI/XsKDt6lzxOI/AAAAAAALqqM/4ZkT6hz8kXMThidQq08N3oy4vOEgRoUCwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-18%2Bat%2B3.31.43%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-0oHVA2UbJjY/XsKDtaBJVtI/AAAAAAALqqI/MYmvXNWfSuwiEzqd-KE1pvfhLbD7QQYGwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-18%2Bat%2B3.32.03%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZorMRMpkxok/XsKDugAyI6I/AAAAAAALqqQ/ZOLUe0pbRl0cMunDKQwEcuLriC0jUDSeQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-18%2Bat%2B3.32.22%2BPM.jpeg)
10 years ago
MichuziMH.HAMAD RASHID AWAASA WANAFUNZI KUJIUNGA NA MFUKO WA PENSHENI WA PSPF ILI KUPATA MIKOPO YA ELIMU NA MIKOPO YA KUANZIA MAISHA
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-w3XZMinggZs/VUNxY743_cI/AAAAAAAHUes/huYv7T34hvI/s72-c/unnamed%2B(61).jpg)
BODI YA MIKOPO YAANZA KUPOKEA MAOMBI YA MIKOPO KUTOKA KWA WANAFUNZI KWA MWAKA WA MASOMO 2015-2016
![](http://3.bp.blogspot.com/-w3XZMinggZs/VUNxY743_cI/AAAAAAAHUes/huYv7T34hvI/s1600/unnamed%2B(61).jpg)
Na Mwandishi Wetu
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) leo (Ijumaa, Mei 1, 2015) imetoa mwongozo kwa wanafunzi wahitaji wanaotarajia kuomba mikopo na ruzuku kwa ajili ya mwaka wa masomo 2015/2016 unaotarajiwa kuanza miezi michache ijayo.
Kwa mujibu wa mwongozo huo, ambao unapatikana katika tovuti ya Bodi (www.heslb.go.tz), waombaji wote wamepewa takribani miezi miwili kuwasilisha maombi yao kuanzia Jumatatu, Mei 4, 2015...
11 years ago
Michuzi02 Jul
10 years ago
Habarileo18 Nov
‘Hakuna ubaguzi mikopo ya wanafunzi’
SERIKALI imesisitiza kuwa mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu hutolewa bila ubaguzi na kwamba tatizo kubwa ni bajeti finyu ya kugharimia masomo hayo.
11 years ago
Habarileo12 Aug
Wanafunzi sayansi ‘kuula’ mikopo
WIZARA ya Elimu na Mafunzo ya Amali imesema imeweka mkazo kwa wanafunzi wa masomo ya sayansi wapewe kipaumbele kupata mikopo ya elimu ya juu katika Bodi ya Mikopo ya Zanzibar.
9 years ago
Habarileo10 Nov
Wanafunzi lukuki wapata mikopo HELSB
BODI ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB), mpaka sasa imetoa mikopo kwa waombaji wenye sifa wapya 40,836 kati ya waombaji 50,830 wanaostahili kupatiwa mikopo hiyo kwa mwaka wa masomo wa 2015/2016.