Waziri - Ziada ya chakula kuongezeka
WIZARA ya Kilimo, Chakula na Ushirika imesema ziada ya chakula kwa msimu wa mwaka huu inatarajiwa kuongezeka zaidi kutokana na matumizi ya zana bora za kilimo.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo12 Oct
Wakulima wapata ziada ya chakula asilimia 125
HALI ya chakula nchini kwa mwaka huu ni ya kuridhisha ambapo takwimu zinaashiria kuwepo kwa ongezeko kubwa la uzalishaji, ikiwa ni pamoja na ziada ya asilimia 125 katika mikoa 18, imeelezwa.
10 years ago
Dewji Blog10 Dec
Singida wana ziada ya chakula tani 520,370
Katibu tawala mkoa wa Singida,Liana Hassan, akitoa taarifa yake ya utekelezaji wa malengo ya kilimo kwa msimu wa 2013/2014 na malengo ya kilimo kwa msimu wa 2014/2015 mbele ya kikao cha kamati ya ushauri ya mkoa (RCC).
Na Nathaniel Limu, Singida
MKOA wa Singida,umefanikiwa kuvuna nafaka ya chakula tani 913,143 kwa msimu wa 2013/2014, na hivyo kuwa na ziada ya chakula tani 520,370.
Hayo yamesemwa na Katibu tawaka mkoa wa Singida,Liana Hassan,wakati akitoa taarifa yake ya utekelezaji wa...
10 years ago
Mwananchi10 Dec
Singida ina ziada ya tani 520,370 ya chakula
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-xNUEP2CwiJI/VS4aX6kn1II/AAAAAAAHRMY/T7MFeDGINpw/s72-c/unnamed.jpg)
WAZIRI WASIRA AELEZEA HALI YA CHAKULA NCHINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-xNUEP2CwiJI/VS4aX6kn1II/AAAAAAAHRMY/T7MFeDGINpw/s1600/unnamed.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-b6mUdh2y6Ks/VPgqqsphECI/AAAAAAAHHx0/FRnRm7laLNs/s72-c/unnamed%2B(7).jpg)
Waziri wa Kilimo Chakula na Ushirika Akutana na Balozi wa Marekani
![](http://4.bp.blogspot.com/-b6mUdh2y6Ks/VPgqqsphECI/AAAAAAAHHx0/FRnRm7laLNs/s1600/unnamed%2B(7).jpg)
Mhe Wasira katika mazungumzo yake na Balozi Childdress alibainisha changamoto zinazokabili kilimo nchini kuwa ni pamoja na zana duni zinazotumiwa na wakulima wadogo katika kilimo kuwa ni jembe la mkono. Alisema kwa kutumia jembe la mkono itakuwa ni ngumu kuondoa umaskini kwa wakulima wadogo katika maeneo ya vijijini.
Aliongeza...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-0o-WtSQjHNk/Voon09WniNI/AAAAAAAIQJs/GXZ_Yh9dlMk/s72-c/maj21.jpg)
WAZIRI MKUU AFURAHISHWA NA HALI YA CHAKULA MKOANI RUVUMA
![](http://2.bp.blogspot.com/-0o-WtSQjHNk/Voon09WniNI/AAAAAAAIQJs/GXZ_Yh9dlMk/s320/maj21.jpg)
Akizungumza na viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Serikali jana jioni (Jumapili, Januari 3, 2016) katika ukumbi uliopo Ikulu ndogo Songea, Waziri Mkuu ameutaka uongozi wa mkoa kuhakikisha kuna upatikanaji wa masoko kwa mazao mbalimbali pamoja na kuendelea kutoa msukumo kwa wananchi.
Pia, ameupongeza uongozi wa mkoa huo kwa kutoa...
10 years ago
Mwananchi07 May
UCHAGUZI CCM 2015: Stephen Wasira, Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika
9 years ago
Dewji Blog22 Nov
Naibu wa Waziri wa Afya Zanzibar awaandalia chakula Madaktari kutoka Hispania !
Naibu Waziri wa Afya Zanzibar Mahmoud Thabit Kombo akizungumza na Madaktari wa kujitolea kutoka Hispatinia mara baada ya Chakula cha usiku alichowaandalia kwa lengo la kuwashukuru kutokana na mchango wao mkubwa wanaoutoa katika sekta ya Afya Zanzibar, hafla hiyo ilifanyika Hoteli ya Ocean View.Picha na Makame Mshenga-Maelezo Zanzibar
Profesa Jose Pinquet kulia akitambulisha Timu ya Madaktari wanaotoa huduma za Matibabu ya Uti wa Mgongo na Ubongo katika Hospitali ya Rufaa ya Mnazi mmoja kwa...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-etuL8DvBdI4/VEZODp3SlsI/AAAAAAAGsOU/diM9EoD6TT4/s72-c/unnamed%2B(77).jpg)
OFISI YA WAZIRI MKUU YAFANYA TATHMINI YA HALI YA CHAKULA NA LISHE MKOANI SIMIYU
![](http://4.bp.blogspot.com/-etuL8DvBdI4/VEZODp3SlsI/AAAAAAAGsOU/diM9EoD6TT4/s1600/unnamed%2B(77).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ojRNpaSaCwM/VEZODu9Y4XI/AAAAAAAGsOQ/2kk7r3R_MZE/s1600/unnamed%2B(78).jpg)