Wakulima wapata ziada ya chakula asilimia 125
HALI ya chakula nchini kwa mwaka huu ni ya kuridhisha ambapo takwimu zinaashiria kuwepo kwa ongezeko kubwa la uzalishaji, ikiwa ni pamoja na ziada ya asilimia 125 katika mikoa 18, imeelezwa.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo05 Sep
Waziri - Ziada ya chakula kuongezeka
WIZARA ya Kilimo, Chakula na Ushirika imesema ziada ya chakula kwa msimu wa mwaka huu inatarajiwa kuongezeka zaidi kutokana na matumizi ya zana bora za kilimo.
10 years ago
Dewji Blog10 Dec
Singida wana ziada ya chakula tani 520,370
Katibu tawala mkoa wa Singida,Liana Hassan, akitoa taarifa yake ya utekelezaji wa malengo ya kilimo kwa msimu wa 2013/2014 na malengo ya kilimo kwa msimu wa 2014/2015 mbele ya kikao cha kamati ya ushauri ya mkoa (RCC).
Na Nathaniel Limu, Singida
MKOA wa Singida,umefanikiwa kuvuna nafaka ya chakula tani 913,143 kwa msimu wa 2013/2014, na hivyo kuwa na ziada ya chakula tani 520,370.
Hayo yamesemwa na Katibu tawaka mkoa wa Singida,Liana Hassan,wakati akitoa taarifa yake ya utekelezaji wa...
10 years ago
Mwananchi10 Dec
Singida ina ziada ya tani 520,370 ya chakula
10 years ago
Habarileo04 Jan
Arusha pamoja na kuwapo chakula, udumavu asilimia 44
WAKATI kiwango cha udumavu wa watoto chini ya miaka mitano nchini kikifikia asilimia 42 kitaifa, hali ni mbaya zaidi katika mikoa ya Kanda ya Kaskazini ukiwemo Mkoa wa Arusha ambao una asilimia 44 ya watoto chini ya miaka mitano wanaokabiliwa na tatizo hilo.
9 years ago
Mwananchi19 Nov
Wakulima Karatu wapata mwekezaji
10 years ago
Michuzi25 Oct
WAKULIMA KONDOA, MBARALI WAPATA MATREKA
![](https://3.bp.blogspot.com/-_RmZvZQQoY4/VEt9ra_q7vI/AAAAAAAArgs/5ofkzQRz1aY/s1600/akikabidhi%2Bfunguo.jpg)
10 years ago
Mwananchi09 Dec
Mtandao wa wakulima wapata viongozi wapya
10 years ago
Habarileo29 Jan
Wakulima waonywa uuzaji holela chakula
SERIKALI wilayani Tunduru mkoani Ruvuma imesema haiko tayari kuhangaika kutafuta chakula kwa ajili ya wananchi watakaokumbwa na njaa baada ya kuuza chakula walichovuna katika msimu wa kilimo uliopita kwa tamaa ya kupata fedha.
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-AZdln8Jv2Mg/U-YuzLA2f_I/AAAAAAAArfo/dzSx3gTxBSg/s72-c/01.jpg)
WAKULIMA WA SHAYIRI MONDULI JUU WALIOFADHILIWA NA TBL WAPATA MAVUNO MENGI
![](http://2.bp.blogspot.com/-AZdln8Jv2Mg/U-YuzLA2f_I/AAAAAAAArfo/dzSx3gTxBSg/s1600/01.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Eft0Dh0My2o/U-Yuy4TVj2I/AAAAAAAArfw/rkwimgj6caE/s1600/PIX+1.jpg)
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10