Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wakulima waonywa uuzaji holela chakula

SERIKALI wilayani Tunduru mkoani Ruvuma imesema haiko tayari kuhangaika kutafuta chakula kwa ajili ya wananchi watakaokumbwa na njaa baada ya kuuza chakula walichovuna katika msimu wa kilimo uliopita kwa tamaa ya kupata fedha.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Mkemia Mkuu adai wamedhibiti uuzaji holela wa tindikali

Serikali imesema imefanikiwa kudhibiti matumizi yasiyofaa ya tindikali baada ya kuweka utaratibu unaowaruhusu watu walioorodheshwa tu kununua kemikali hiyo.

 

9 years ago

Habarileo

Wazuiwa chakula holela kudhibiti kipindupindu

WAKAZI wa Halmashauri ya Wilaya ya Maswa, mkoani Simiyu wametahadharishwa kujikinga na kipindupindu, ugonjwa ulioingia kwa kasi wilayani humo kutoka wilaya jirani ya Kwimba mkoani Mwanza.

 

10 years ago

Habarileo

Wakulima wapata ziada ya chakula asilimia 125

HALI ya chakula nchini kwa mwaka huu ni ya kuridhisha ambapo takwimu zinaashiria kuwepo kwa ongezeko kubwa la uzalishaji, ikiwa ni pamoja na ziada ya asilimia 125 katika mikoa 18, imeelezwa.

 

11 years ago

Dewji Blog

Wakulima wapongezwa kwa kupanua kilimo cha mazao ya chakula

kone pics

Mkuu wa Mkoa wa Singida, Dk.Parseko Vicent Kone akizungumza kwenye hafla ya uzinduzi wa chanjo kimkoa,iliyofanyika katika kijiji cha Mtinko jimbo la Singida kaskazini.

Na Nathaniel Limu, Singida

MKUU wa Mkoa wa Singida,Dk.Parseko Vicent Kone amewapongeza wakulima kwa kuongeza juhudi ya kupanua kilimo cha mazao ya chakula na biashara msimu huu ikilinganishwa na misimu iliyopita.

Dk.Kone ametoa pongezi hizo wakati akizungumza kwenye hafla ya uzinduzi wa chanjo kimkoa,iliyofanyika katika...

 

9 years ago

Vijimambo

MAMA SHUJAA WA CHAKULA 2014 BAHATI MURIGA KUHUDHURIA MKUTANO WA SIKU YA CHAKULA DUNIANI WASHINGTON DC

Kutoka kulia ni Mshindi wa Mama Shujaa wa Chakula 2013 Bahati Muriga , Edina Kiogwe aliyeshiriki Shindano la Mama Shujaa wa Chakula 2015 na Eva Mogeni pia alikuwa Mshiriki wa Shindano la mama Shujaa wa Chakula ambalo linaandaliwa na OXFAM Kupitia Kampeni yake ya Grow Aliyekuwa Mshiriki wa Shidano la Mama Shujaa wa Chakula Msimu wa nne 2015 Eva Mogeni (Kushoto) akielezea kuhusu safari yao ya kwenda Addis Ababa Ethiopia kwa ajili ya  kuhudhuria mkutano wa African Rural Woman Assembly (ARWAA) ...

 

9 years ago

Michuzi

VOA AFRICA 54 YAFANYA MAHOJIANO NA MAMA SHUJAA WA CHAKULA , AMBAYE YUPO WASHINGTON DC KWA AJILI YA MKUTANO WA SIKU YA CHAKULA DUNIANI.

 Kushoto ni Mtangazaji Voice of America  wa Africa 54 Linord Moudou akiwa na Mama Shujaa wa Chakula 2014 msimu wa Tatu Bahati Muliga na Meneja Utetezi na Ushawishi kutoka Oxfam Eluka Kibona wakihojiwa kuhusiana na Shindano la Mama shujaa wa chakula na Jinsi linavyo wasaidia wakulima hasa wanawake.Bahati Muliga(Kushoto)  Mama Shujaa wa Chakula 2014 msimu wa tatu, shindano linaloandaliwa na Oxfam kupitia Kampeni yake ya Grow ambapo kauli mbiu yao ni Wekeza kwa Wakulima wadogo wadogo inalipa...

 

9 years ago

Michuzi

BENKI YA WAKULIMA YAMWAGA MIKOPO KWA WAKULIMA

Baada ya kilio cha muda mrefu, hatimaye, wakulima wadogo 21,000 walio katika vikundi 89 vya ushirika katika Kata ya Igomaa, mkoani Iringa keshokutwa wanatarajiwa kupatiwa mikopo yenye thamani ya zaidi ya shbilioni 1 kutoka Benki ya Maendeleo ya Kilimo (TADB) nchini kwa ajili ya maendeleo ya shghuli zao za kilimo. Akizungumza wakati wa mkutano na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam juzi, Mkurugenzi wa Mikopo na Usimamizi wa Biashara wa benki hiyo, Robert Pascal alisema maandalizi kwa...

 

11 years ago

Mwananchi

75% ya nyumba nchini ni holela hazikopesheki

Makazi holela ni tatizo linaloendelea kuwepo katika maeneo mikoa yote nchini; kwa ujumla hali hii inaonekana kuchukua sura mpya nchini, zaidi ikiwa imechangiwa kwa kiasi kikubwa na ongezeko la idadi ya watu hasa mijini.

 

10 years ago

Mwananchi

Ruangwa waonya uchimbaji holela

Serikali imelaumiwa kwa kutochukua hatua madhubuti kudhibiti uchimbaji holela wa madini, licha ya rasilimali hiyo kuchangia pato la Taifa kupitia kodi na fursa nyingine.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani