Wazuiwa chakula holela kudhibiti kipindupindu
WAKAZI wa Halmashauri ya Wilaya ya Maswa, mkoani Simiyu wametahadharishwa kujikinga na kipindupindu, ugonjwa ulioingia kwa kasi wilayani humo kutoka wilaya jirani ya Kwimba mkoani Mwanza.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi21 Jun
MAONI : Sheria zisimamiwe kudhibiti uuzwaji holela wa dawa
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-QsY0O_NkYe4/VEdQC9OFClI/AAAAAAACtS4/YHS3V4fqheE/s72-c/unnamed.jpg)
Tumieni namba za simu kudhibiti uendeshaji holela - UDA
![](http://4.bp.blogspot.com/-QsY0O_NkYe4/VEdQC9OFClI/AAAAAAACtS4/YHS3V4fqheE/s1600/unnamed.jpg)
Miongoni mwa mabasi ya shirika la Usafiri Dar es Salaam (UDA) yanayofanyakazi katika maeneo mbali mbali jijini Dar es Salaam. Na kila basi lina namba za simu ili kurahisisha abiria na watumiaji wa mabasi hayo kutoa maoni juu huduma zitolewazo na mabasi ya shirika hilo.
Abiria na watumiaji wengine wa barabara Dar es Salaam wameombwa kusaidia katika kudhibiti uendeshaji holela na tabia zisizokubalika zinazofanywa na baadhi ya madereva wa mabasi ya abiria na makondakta wa Dar es Salaam...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-0Q2wQQTk6fY/XmzgrQ7NC_I/AAAAAAALjpc/2nkjcVzNRH0-rtl6erRmh-kO_Nq41mlHACLcBGAsYHQ/s72-c/PMO_5909-768x467.jpg)
WAKUU WA SHULE ENDELEENI KUDHIBITI MICHANGO HOLELA-MAJALIWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-0Q2wQQTk6fY/XmzgrQ7NC_I/AAAAAAALjpc/2nkjcVzNRH0-rtl6erRmh-kO_Nq41mlHACLcBGAsYHQ/s640/PMO_5909-768x467.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/PMO_5878-1024x664.jpg)
Wadau wa Elimu wa Wilaya ya Ruangwa, wakipiga makofi, wakati wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, kwenye kikao cha maendeleo ya elimu, kilichofanyika katika ukumbi wa Narung’ombe, Ruangwa, Lindi. Machi 14, 2020. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
………………………………………
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa...
10 years ago
Habarileo29 Jan
Wakulima waonywa uuzaji holela chakula
SERIKALI wilayani Tunduru mkoani Ruvuma imesema haiko tayari kuhangaika kutafuta chakula kwa ajili ya wananchi watakaokumbwa na njaa baada ya kuuza chakula walichovuna katika msimu wa kilimo uliopita kwa tamaa ya kupata fedha.
9 years ago
Habarileo30 Aug
Moro wajipanga kudhibiti kipindupindu
MKUU wa mkoa wa Morogoro (RC), Dk Rajab Rutengwe, amewataka watendaji wa kata na mitaa katika halmashauri za mkoa huo kuhakikisha kila mmoja anawajibika ipasavyo kusimamia suala la usafi wa mazingira na kuzuia uuzaji holela wa vyakula na matunda.
9 years ago
Habarileo29 Aug
WHO yatoa dawa, fedha kudhibiti kipindupindu
WIZARA ya Afya na Ustawi wa Jamii imepewa msaada wa vitu mbalimbali zikiwemo dawa zenye thamani ya Sh milioni 42.2 pamoja na fedha taslimu milioni 160 kutoka Shirika la Afya Duniani (WHO) ili kusaidia mapambano dhidi ya ugonjwa wa kipindupindu.
10 years ago
Habarileo09 Feb
Kigoma wafunga visima kudhibiti kipindupindu
WAKATI ikielezwa kuwa ugonjwa wa kipindupindu bado unaendelea kuwasumbua wakazi wa mkoa Kigoma, kwa kuendelea kuwepo kwa wagonjwa wapya serikali imeanza kuchukua hatua kukabiliana na hali hiyo, ikiwemo kuvifunga baadhi ya visima vilivyokuwa vikitumiwa na wananchi kwa maji ya majumbani.
9 years ago
Mwananchi01 Oct
Juhudi zaidi zifanyike kudhibiti Kipindupindu
9 years ago
Mtanzania21 Aug
Dar yapiga marufuku vyakula mitaani kudhibiti kipindupindu
Na Waandishi wetu, Dar es Salaam
MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadiki, amepiga marufuku uuzwaji wa vyakula na matunda katika maeneo yasiyorasmi.
Agizo hilo limelenga kukabiliana na ugonjwa wa kipindupindu unaoendelea kusambaa katika jiji la Dar es Salaam, ambapo hadi sasa watu watatu wameripotiwa kupoteza maisha.
Sadick alitoa amri hiyo jijini Dar es Salaam jana wakati alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari na kusema wagonjwa wa kipindupindu wamefikia 56.
“Wagonjwa...