Tumieni namba za simu kudhibiti uendeshaji holela - UDA
![](http://4.bp.blogspot.com/-QsY0O_NkYe4/VEdQC9OFClI/AAAAAAACtS4/YHS3V4fqheE/s72-c/unnamed.jpg)
Miongoni mwa mabasi ya shirika la Usafiri Dar es Salaam (UDA) yanayofanyakazi katika maeneo mbali mbali jijini Dar es Salaam. Na kila basi lina namba za simu ili kurahisisha abiria na watumiaji wa mabasi hayo kutoa maoni juu huduma zitolewazo na mabasi ya shirika hilo.
Abiria na watumiaji wengine wa barabara Dar es Salaam wameombwa kusaidia katika kudhibiti uendeshaji holela na tabia zisizokubalika zinazofanywa na baadhi ya madereva wa mabasi ya abiria na makondakta wa Dar es Salaam...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo04 Jan
Wazuiwa chakula holela kudhibiti kipindupindu
WAKAZI wa Halmashauri ya Wilaya ya Maswa, mkoani Simiyu wametahadharishwa kujikinga na kipindupindu, ugonjwa ulioingia kwa kasi wilayani humo kutoka wilaya jirani ya Kwimba mkoani Mwanza.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-0Q2wQQTk6fY/XmzgrQ7NC_I/AAAAAAALjpc/2nkjcVzNRH0-rtl6erRmh-kO_Nq41mlHACLcBGAsYHQ/s72-c/PMO_5909-768x467.jpg)
WAKUU WA SHULE ENDELEENI KUDHIBITI MICHANGO HOLELA-MAJALIWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-0Q2wQQTk6fY/XmzgrQ7NC_I/AAAAAAALjpc/2nkjcVzNRH0-rtl6erRmh-kO_Nq41mlHACLcBGAsYHQ/s640/PMO_5909-768x467.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/PMO_5878-1024x664.jpg)
Wadau wa Elimu wa Wilaya ya Ruangwa, wakipiga makofi, wakati wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, kwenye kikao cha maendeleo ya elimu, kilichofanyika katika ukumbi wa Narung’ombe, Ruangwa, Lindi. Machi 14, 2020. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
………………………………………
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa...
10 years ago
Mwananchi21 Jun
MAONI : Sheria zisimamiwe kudhibiti uuzwaji holela wa dawa
11 years ago
Habarileo30 Jul
UDA wekeni wakaguzi kudhibiti wakatisha ruti'
UONGOZI wa mabasi ya UDA umetakiwa kuweka wakaguzi wa mabasi katika vituo ili kuondoa matatizo ya kukatisha safari na kuongeza nauli.
10 years ago
Habarileo25 Nov
Namba zote za simu kusajiliwa upya
SERIKALI imesema itafanya tena usajili wa namba zote za simu za mkononi nchini ili kuthibitisha zinazotumika.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-tRXgGHTUdMWEYgrZd-rSKrXYfBg49oiEbwWV6*hQJsFlyR9l4fQJxf6TWI*Sh0Of9Vb689vwA-JfgCcOt5k-mB*Gq9X91Ak/jack.jpg?width=650)
WOLPER ANAONGOZA KWA KUBADILI NAMBA ZA SIMU!
9 years ago
Habarileo19 Dec
Abiria wapewa namba za simu kuzuia ajali
KAMATI ya Usalama Barabarani Mkoa wa Iringa kwa kushirikiana na Mtandao wa Mabalozi wa Usalama Barabarani, imetoa namba za simu kwa abiria wakati wakizindua kampeni yao ya ‘Abiria Paza Sauti’. Kampeni hiyo inayolenga kupunguza ajali wakati wa sikukuu za Krismasi na Mwaka Mpya, ilizinduliwa juzi katika stendi ndogo ya mabasi yaendayo mikoa ya Ipogolo, mjini Iringa.
10 years ago
Mwananchi02 Dec
Haikuwa busara Rais kutumia namba ya simu ya Marekani
5 years ago
Mwananchi27 Feb
Kumbe kuna programu ya simu ya kuficha namba za michepuko?