Kumbe kuna programu ya simu ya kuficha namba za michepuko?
Mipango ya dhambi nyingi tunafanyia kwenye simu siku hizi. Ndiyo maana wengine tunajitahidi kuhakikisha tunatunza simu kama mboni ya jicho, kwamba haiguswi zaidi na yeyote - zaidi yetu wenyew.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ea4x8ggFHeLMmnFDcZSVyJywUp2KfKp6fZACYUib7gofOJ9VodKxQHoyrc342XfjyvP3n9xMhsPCw7tjctc93x6JKGGolVdF/CHEKANAKITIME.jpg?width=650)
MATUMIZI SAHIHI YA SIMU KWA WENYE MICHEPUKO
10 years ago
Habarileo25 Nov
Namba zote za simu kusajiliwa upya
SERIKALI imesema itafanya tena usajili wa namba zote za simu za mkononi nchini ili kuthibitisha zinazotumika.
9 years ago
Habarileo19 Dec
Abiria wapewa namba za simu kuzuia ajali
KAMATI ya Usalama Barabarani Mkoa wa Iringa kwa kushirikiana na Mtandao wa Mabalozi wa Usalama Barabarani, imetoa namba za simu kwa abiria wakati wakizindua kampeni yao ya ‘Abiria Paza Sauti’. Kampeni hiyo inayolenga kupunguza ajali wakati wa sikukuu za Krismasi na Mwaka Mpya, ilizinduliwa juzi katika stendi ndogo ya mabasi yaendayo mikoa ya Ipogolo, mjini Iringa.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-tRXgGHTUdMWEYgrZd-rSKrXYfBg49oiEbwWV6*hQJsFlyR9l4fQJxf6TWI*Sh0Of9Vb689vwA-JfgCcOt5k-mB*Gq9X91Ak/jack.jpg?width=650)
WOLPER ANAONGOZA KWA KUBADILI NAMBA ZA SIMU!
10 years ago
GPL30 Sep
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-QsY0O_NkYe4/VEdQC9OFClI/AAAAAAACtS4/YHS3V4fqheE/s72-c/unnamed.jpg)
Tumieni namba za simu kudhibiti uendeshaji holela - UDA
![](http://4.bp.blogspot.com/-QsY0O_NkYe4/VEdQC9OFClI/AAAAAAACtS4/YHS3V4fqheE/s1600/unnamed.jpg)
Miongoni mwa mabasi ya shirika la Usafiri Dar es Salaam (UDA) yanayofanyakazi katika maeneo mbali mbali jijini Dar es Salaam. Na kila basi lina namba za simu ili kurahisisha abiria na watumiaji wa mabasi hayo kutoa maoni juu huduma zitolewazo na mabasi ya shirika hilo.
Abiria na watumiaji wengine wa barabara Dar es Salaam wameombwa kusaidia katika kudhibiti uendeshaji holela na tabia zisizokubalika zinazofanywa na baadhi ya madereva wa mabasi ya abiria na makondakta wa Dar es Salaam...
10 years ago
Mwananchi02 Dec
Haikuwa busara Rais kutumia namba ya simu ya Marekani
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ccv79ba4KWALXXgBP0lJU601jXnzLDn-Pwa0AE8GjJIvn5DnkMHeHPoYqVixviVJxusgeuq6n3dKZNhDqK7CeFy9pzCLVcXC/mpaper.jpg?width=650)
PROGRAMU YA KUSOMEA MAGAZETI KWENYE SIMU “mPaper” YATAJWA KUWANIA TUZO 2 AFRIKA