Namba zote za simu kusajiliwa upya
SERIKALI imesema itafanya tena usajili wa namba zote za simu za mkononi nchini ili kuthibitisha zinazotumika.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo06 Sep
Pikipiki zote kusajiliwa upya
MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imetangaza kuanza kwa mfumo mpya wa usajili wa pikipiki zote nchini.
11 years ago
Mwananchi13 Jun
Pikipiki kusajiliwa upya, sasa kupewa namba ‘TZ’ badala ‘T’
5 years ago
MichuziWATOA HUDUMA WA FEDHA KUANZA KUSAJILIWA MWEZI HUU,WAMO MAWAKALA WA PESA KWA NJIA YA SIMU YA MKONONI
Mkurugenzi wa Mifumo ya Malipo ya Taifa, Kutoka Benki Kuu ya Tanzania (BoT),Bw.Bernard Dadi akizungumza kwenye Semina ya Waandishi wa Habari za Uchumi na Fedha inayoendelea jijini Arusha, kuhusu Kanzidata ya kudumu ya watoa huduma wa kifedha,na ufafanuzi zaidi kuhusukusajiliwa kwa Watoa huduma wa Fedha nchini.
Dadi amesema kuwa usajili huo utakuwa ni wa lazima kwa yoyote atakaye husika na utoaji wa huduma wa Fedha,na kwamba usajili huo unatarajiwa kuanza rasmi Mwezi Machi-Aprili 2020 kwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-tRXgGHTUdMWEYgrZd-rSKrXYfBg49oiEbwWV6*hQJsFlyR9l4fQJxf6TWI*Sh0Of9Vb689vwA-JfgCcOt5k-mB*Gq9X91Ak/jack.jpg?width=650)
WOLPER ANAONGOZA KWA KUBADILI NAMBA ZA SIMU!
9 years ago
Habarileo19 Dec
Abiria wapewa namba za simu kuzuia ajali
KAMATI ya Usalama Barabarani Mkoa wa Iringa kwa kushirikiana na Mtandao wa Mabalozi wa Usalama Barabarani, imetoa namba za simu kwa abiria wakati wakizindua kampeni yao ya ‘Abiria Paza Sauti’. Kampeni hiyo inayolenga kupunguza ajali wakati wa sikukuu za Krismasi na Mwaka Mpya, ilizinduliwa juzi katika stendi ndogo ya mabasi yaendayo mikoa ya Ipogolo, mjini Iringa.
10 years ago
Mwananchi02 Dec
Haikuwa busara Rais kutumia namba ya simu ya Marekani
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-QsY0O_NkYe4/VEdQC9OFClI/AAAAAAACtS4/YHS3V4fqheE/s72-c/unnamed.jpg)
Tumieni namba za simu kudhibiti uendeshaji holela - UDA
![](http://4.bp.blogspot.com/-QsY0O_NkYe4/VEdQC9OFClI/AAAAAAACtS4/YHS3V4fqheE/s1600/unnamed.jpg)
Miongoni mwa mabasi ya shirika la Usafiri Dar es Salaam (UDA) yanayofanyakazi katika maeneo mbali mbali jijini Dar es Salaam. Na kila basi lina namba za simu ili kurahisisha abiria na watumiaji wa mabasi hayo kutoa maoni juu huduma zitolewazo na mabasi ya shirika hilo.
Abiria na watumiaji wengine wa barabara Dar es Salaam wameombwa kusaidia katika kudhibiti uendeshaji holela na tabia zisizokubalika zinazofanywa na baadhi ya madereva wa mabasi ya abiria na makondakta wa Dar es Salaam...
5 years ago
Mwananchi27 Feb
Kumbe kuna programu ya simu ya kuficha namba za michepuko?
10 years ago
Bongo512 Jan
Mtu ahack namba ya simu ya AY, awaomba mamilioni watu wake wa karibu