Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Pikipiki zote kusajiliwa upya

MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imetangaza kuanza kwa mfumo mpya wa usajili wa pikipiki zote nchini.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Namba zote za simu kusajiliwa upya

Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January MakambaSERIKALI imesema itafanya tena usajili wa namba zote za simu za mkononi nchini ili kuthibitisha zinazotumika.

 

11 years ago

Mwananchi

Pikipiki kusajiliwa upya, sasa kupewa namba ‘TZ’ badala ‘T’

Dodoma. Serikali imetangaza utaratibu mpya kwa usajili wa namba za pikipiki kutoka ‘T’ na sasa zitasomeka ‘TZ’ lengo likiwa ni kudhibiti vitendo vya uhalifu.

 

11 years ago

Michuzi

NMB YAWAKOMBOA VIJANA KIUCHUMI KWA KUWAPA MIKOPO NAFUU YA PIKIPIKI Ni mikopo kwa ajili ya pikipiki za miguu miwili na mitatu

 Benki ya NMB kwa kushirikiana na kampuni tatu yaani Fair Deal Auto Private Ltd inayosambaza pikipiki za miguu miwili na mitatu aina ya Bajaji, kampuni ya Car & General Limited Ltd inayosambaza pikipiki za miguu mitatu aina ya TV’S King pamoja na kampuni ya Quality Motors inayosambaza pikipiki za miguu miwili aina ya Honda wameingia ubia ili kuwawezesha wananchi kupata mikopo nafuu ya kumiliki pikipiki za miguu miwili na mitatu.   Hii yote ni katika kuendeleza azma ya NMB inayolenga kubuni...

 

10 years ago

BBCSwahili

Podolski kusajiliwa na Galatasaray

Mshambuliaji Lukas Podolski ameondoka Arsenal na anatarajiwa kujiunga na Galatasaray kulingana na kilabu hiyo ya Uturuki.

 

11 years ago

Michuzi

Wateja Vodacom kusajiliwa kielektroniki

Mkuu wa Idara ya huduma kwa wateja wa Vodacom Tanzania, Brigita Stephen(katikati)akitangaza kwa waandishi wa habari(hawapo pichani) kuanza kutumika kwa mfumo mpya wa usajili wa nambari za wateja wa kielektroniki jijini Dar es salaam. kushoto ni Ofisa Mkuu wa huduma kwa wateja Harriet Lwakatare na Mkuu wa Idara ya Uhusiano na Mawasiliana Kwa wa kampuni hiyo Rosalynn Mworia. Tofauti na utaratibu wa kawaida wa usajili unaotumia zaidi ya siku kumi na tano, mfumo huo unakamilisha zoezi la...

 

10 years ago

Habarileo

RC Mwanza aagiza wamachinga kusajiliwa

MKUU wa Mkoa wa Mwanza, Magesa Malongo amezitaka Halmashauri ya jiji la Mwanza na Manispaa ya Ilemela kuanza utaratibu wa kuwasajili wamachinga na waendesha bodaboda ili kuwezesha makundi hayo kutambuliwa kwa mujibu wa sheria.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Umoja wakulima wa Kahawa mbioni kusajiliwa

UMOJA wa Wakulima wa Kahawa (Aba Kamo Coffee Growers Association), tarafa ya Kamachumu, wilayani Muleba, Kagera, umesema upo katika hatua za mwisho kusajili umoja huo, ili uweze kunufaika na zao...

 

9 years ago

Habarileo

Wakuu idara za ujenzi watakiwa kusajiliwa

KATIBU Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue ameziagiza Halmashauri zote nchini kuhakikisha kwamba wakuu wote wa Idara za Ujenzi wamesajiliwa kama wahandisi wataalamu ifikapo Juni 30, mwakani.

 

11 years ago

GPL

WATEJA VODACOM KUSAJILIWA KIELEKTRONIKI‏

Mkuu wa Idara ya huduma kwa wateja wa Vodacom Tanzania, Brigita Stephen(katikati)akitangaza kwa waandishi wa habari(hawapo pichani) kuanza kutumika kwa mfumo mpya wa usajili wa nambari za wateja wa kielektroniki jijini Dar es salaam. kushoto ni Ofisa Mkuu wa huduma kwa wateja Harriet Lwakatare na Mkuu wa Idara ya Uhusiano na Mawasiliana Kwa wa kampuni hiyo Rosalynn Mworia. Tofauti na utaratibu wa kawaida wa usajili unaotumia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani