Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WATEJA VODACOM KUSAJILIWA KIELEKTRONIKI‏

Mkuu wa Idara ya huduma kwa wateja wa Vodacom Tanzania, Brigita Stephen(katikati)akitangaza kwa waandishi wa habari(hawapo pichani) kuanza kutumika kwa mfumo mpya wa usajili wa nambari za wateja wa kielektroniki jijini Dar es salaam. kushoto ni Ofisa Mkuu wa huduma kwa wateja Harriet Lwakatare na Mkuu wa Idara ya Uhusiano na Mawasiliana Kwa wa kampuni hiyo Rosalynn Mworia. Tofauti na utaratibu wa kawaida wa usajili unaotumia...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Wateja Vodacom kusajiliwa kielektroniki

Mkuu wa Idara ya huduma kwa wateja wa Vodacom Tanzania, Brigita Stephen(katikati)akitangaza kwa waandishi wa habari(hawapo pichani) kuanza kutumika kwa mfumo mpya wa usajili wa nambari za wateja wa kielektroniki jijini Dar es salaam. kushoto ni Ofisa Mkuu wa huduma kwa wateja Harriet Lwakatare na Mkuu wa Idara ya Uhusiano na Mawasiliana Kwa wa kampuni hiyo Rosalynn Mworia. Tofauti na utaratibu wa kawaida wa usajili unaotumia zaidi ya siku kumi na tano, mfumo huo unakamilisha zoezi la...

 

10 years ago

Michuzi

Wateja wanaonunua line za Vodacom Tanzania sasa kusajiliwa kieletronic

Kampuni ya Mawasiliano ya Vodacom Tanzania kuanzia leo imezindua huduma mpya ya kuwarahisishia wateja wake maisha ambayo ni ya usajili  wa wateja wapya wanaonunua line za simu kwa njia ya  kieletronikia.
Huduma hii ya usajili wa wateja  wapya kwa njia ya kielektronikia inachukua  nafasi ya usajili wa kujaza fomu uliokuwepo hapo awali na imeonekana kuwa ni bora na ya haraka na inapunguza kazi ya kujaza  karatasi na kupunguza uwezekano wa taarifa za mteja kupotea  na wateja wametokea...

 

11 years ago

GPL

WATEJA WA UTT KUNUFAIKA NA HUDUMA YA VODACOM M PESA‏


Afisa Mkuu Mwendeshaji wa  Dhamana ya Uwekazaji Tanzania (UTT) Simon Migangala  akifafanua  jambo  kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusiana na wateja wa mfuko huo watakavyonufaika na utumiaji wa  huduma ya M-Pesa itakavyowawezesha wananchi  kununua Vipande vya mifuko ya Pamoja iliyo chini ya UTT   kwa njia rahisi na salama katika kufanikisha azima yao kujijengea maisha bora ya baadaye kwa...

 

11 years ago

GPL

VODACOM YAENDELEA KUSOGEZA ZAIDI HUDUMA ZA MAWASILIANO KWA WATEJA WAKE‏

Meneja Uendeshaji wa maduka ya Vodacom Tanzania,Elihuruma Ngowi(katikati)akishirikiana na wasimamizi wa Duka jipya la Vodacom Sinza kumekucha Bw.Baraka Nyirenda wakwanza kushoto na  Bw.Davis Mkonyi(kulia)wakikata utepe kuashiria kuanza rasmi kwa huduma kwenye duka hilo jipya lililopo eneo la Sinza Kumekucha Dar es salaam.Duka hilo litakuwa likitoa huduma kwa siku saba za wiki ikiwemo siku za sikukuu.… ...

 

10 years ago

GPL

VODACOM TANZANIA ILIVYOWARUSHA WATEJA WAKE KILA KONA YA JIJI LA DAR‏

Mfalme wa muziki wa taarabu na kiongozi wa kundi la Jahazi Modern taarabu  Mzee Yusuf  akitoa burudani kwa mashabiki wa muziki huo katika Tamasha la Wafalme lililofanyika Dar Live na kudhaminiwa na Vodacom Tanzania hapo jana katika kusherehekea sikukuu ya Krismasi.…

 

11 years ago

Mwananchi

Vodacom yawaangukia wateja wa M- Pesa

Kampuni ya Simu za mkononi ya Vodacom, imewaomba radhi wateja wake wanaotumia huduma ya M - Pesa kutokana na hitilafu za kiufundi zilizosababisha kusimama kwa huduma hiyo kwa siku kadhaa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wateja wa Safaricom na Vodacom kunufaika

Mamilioni ya wateja wanaotumia huduma za M-Pesa katika nchi za Tanzania na Kenya sasa wanaweza kutuma na kupokea pesa mipakani

 

5 years ago

Michuzi

TAARIFA MAALUM KWA WATEJA WA VODACOM

Huduma ya Intaneti ya Vodacom imekuwa na hitilafu tangu asubuhi ya jumapili tarehe 23 februari 2020. Hii ni kutokana na kukatika kwa mkonga wa faiba ulioko baharini, upande wa Msumbiji ambao umechukua muda kurekebishika kutokana na mvua kali kwenye bahari ya Hindi.
Tumepata suluhisho la muda mfupi kutoka Seacom ambao ni washirika wetu wakuu watatupatia msaada kuhakikisha tunarejesha huduma hii kwa haraka iwezekanavyo.
Tunasikitika kwa usumbufu uliojitokeza kwa wateja wetu na tungependa kutoa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Vodacom na mapinduzi ya huduma kwa wateja

MWISHONI mwa miaka ya 1990, Tanzania iliingia katika orodha ya nchi zinazotumia mawasiliano ya simu ya mkononi. Katika miaka hiyo, huduma ya simu za mkononi ilionekana ni ya wachache sana,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani