Wateja wanaonunua line za Vodacom Tanzania sasa kusajiliwa kieletronic
.jpg)
Kampuni ya Mawasiliano ya Vodacom Tanzania kuanzia leo imezindua huduma mpya ya kuwarahisishia wateja wake maisha ambayo ni ya usajili wa wateja wapya wanaonunua line za simu kwa njia ya kieletronikia.
Huduma hii ya usajili wa wateja wapya kwa njia ya kielektronikia inachukua nafasi ya usajili wa kujaza fomu uliokuwepo hapo awali na imeonekana kuwa ni bora na ya haraka na inapunguza kazi ya kujaza karatasi na kupunguza uwezekano wa taarifa za mteja kupotea na wateja wametokea...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziWateja Vodacom kusajiliwa kielektroniki
11 years ago
GPLWATEJA VODACOM KUSAJILIWA KIELEKTRONIKI
10 years ago
GPL
10 years ago
GPL
WATEJA WA VODACOM M-PESA SASA KUTUMA PESA NCHINI KENYA
10 years ago
Michuzi.jpg)
Wateja wa M-PESA sasa kutuma pesa nchini Kenya, kutokana na ushirikiano wa Vodacom na Safaricom
10 years ago
Michuzi
Vodacom Tanzania ilivyowarusha wateja wake kila kona ya jiji la Dar



10 years ago
GPL
VODACOM TANZANIA ILIVYOWARUSHA WATEJA WAKE KILA KONA YA JIJI LA DAR
10 years ago
MichuziMAWAKALA WA VODACOM TANZANIA WAPIGWA MSASA KUTOA HUDUMA BORA KWA WATEJA
5 years ago
Michuzi
Kampuni ya Vodacom Tanzania PLC yakinga wateja wake waendapo kupata huduma Vodashop


