Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wateja wa M-PESA sasa kutuma pesa nchini Kenya, kutokana na ushirikiano wa Vodacom na Safaricom

Kampuni kubwa za mawasiliano Afrika mashariki Vodacom Tanzania na Safaricom ya Kenya leo zimezindua huduma mpya ambapo kuanzia sasa zaidi ya wateja Milioni 7 wa M-Pesa waVodacom Tanzania wanaweza kutuma na kupokea pesa kwa watumiaji zaidi ya milioni 18 wa Safaricom M-Pesa ya Kenya. Huduma hii mpya ambayo imebuniwa na makampuni haya yanayoongoza kutoka huduma za mawasiliano katika ukanda wa Afrika Mashariki itawawezesha wateja wake kutuma pesa kwa kutozwa viwango sawa na vinavyotumika...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

WATEJA WA VODACOM M-PESA SASA KUTUMA PESA NCHINI KENYA

Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania, Rene Meza, akiongea na waandishi wa habari wakati wa uzinduzi rasmi wa kutuma na kupokea pesa nchini Kenya kwa njia ya M-PESA. Uzinduzi huo ulifanyika jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi wa Mifumo ya Malipo wa Benki Kuu ya Tanzania, Bernard Dadi (kushoto) na Mkuu wa Kitengo cha Biashara na Maendeleo ya M-Pesa wa Vodacom Tanzania, Isack Nchunda wakimsikiliza jambo Meneja wa Mifumo ya...

 

5 years ago

Michuzi

Wateja wa Tigo Pesa sasa wanaweza kutuma na kupokea pesa kutoka M-PESA ya Kenya, MTN nchini Uganda, Airtel na MTN nchini Rwanda

Tigo Tanzania, kampuni inayoongoza kwa ubunifu wa Kidigitali nchini, leo imezindua huduma inayowawezesha watumiaji wote wa Tigo Pesa nchini Tanzania kuweza kutuma na kupokea pesa kupitia simu zao za mkononi kutoka M-PESA ya Kenya, MTN nchini Uganda, Airtel na MTN za nchini Rwanda.
Huduma hii ni wazi sasa kwamba inawaunganisha wateja wa Tigo Pesa na mitandao mingine mikubwa ya mawasiliano katika ukanda wa Afrika Mashariki inayotoa huduma za kifedha kupitia simu za mkononi hatua ambayo itakuza...

 

10 years ago

Bongo5

Wateja wa M-PESA sasa kutuma pesa nchini Kenya

Kampuni kubwa za mawasiliano Afrika mashariki Vodacom Tanzania na Safaricom ya Kenya leo zimezindua huduma mpya ambapo kuanzia sasa zaidi ya wateja Milioni 7 wa M-Pesa waVodacom Tanzania wanaweza kutuma na kupokea pesa kwa watumiaji zaidi ya milioni 18 wa Safaricom M-Pesa ya Kenya. Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania, Rene Meza, akiongea na waandishi wa […]

 

5 years ago

The Africa Report

Vodacom and Safaricom in the driver’s seat for M-Pesa

Vodacom and Safaricom in the driver’s seat for M-Pesa  The Africa ReportSafaricom, Vodacom acquire M-Pesa from Britain's Vodafone  The East AfricanM-Pesa Fully Acquired By Kenya's Safaricom & South Africa's Vodacom  WeeTracker MediaVodafone transfers m-Pesa control to new joint venture  Telecoms.comVodacom And Safaricom Acquire M-Pesa To Accelerate Mobile Money Services In Africa  ForbesView Full coverage on Google News

 

5 years ago

Quartz Africa

Safaricom, Vodacom buy Vodafone's M-Pesa stake

Safaricom, Vodacom buy Vodafone's M-Pesa stake  Quartz AfricaSafaricom, Vodacom partner to grow M-pesa across Africa  CNBCAfrica.comView Full coverage on Google News

 

5 years ago

Reuters

Safaricom, Vodacom finalise M-Pesa acquisition from Britain's Vodafone

Safaricom, Vodacom finalise M-Pesa acquisition from Britain's Vodafone  ReutersVodacom, Safaricom conclude M-Pesa brand takeover deal  ITWebM-pesa platform management relocated to Kenya  Standard DigitalSafaricom completes full acquisition of M-Pesa Brand  Techish KenyaSafaricom and Vodacom Complete Acquisition of MPESA Brand from Vodafone  TechweezView Full coverage on Google News

 

5 years ago

Forbes

Vodacom And Safaricom Acquire M-Pesa To Accelerate Mobile Money Services In Africa

Vodacom And Safaricom Acquire M-Pesa To Accelerate Mobile Money Services In Africa  ForbesSafaricom, Vodacom acquire M-Pesa from Britain's Vodafone  The East AfricanVodafone transfers m-Pesa control to new joint venture  Telecoms.comSafaricom, Vodacom finalise M-Pesa acquisition from Britain's Vodafone  ReutersM-pesa platform management relocated to Kenya  Standard DigitalView Full coverage on Google News

 

9 years ago

GPL

WATEJA WA AIRTEL KUTUMA PESA BURE

Meneja Uhusiano wa Airtel, Jackson Mmbando akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa uzinduzi wa ofa kwa wateja wake itakayowawezesha kutuma pesa kiasi chochote cha pesa kupitia huduma ya Airtel Money bure. Pichani ni Stephen Kimea Meneja kitengo cha Airtel Money (kushoto) na Aliesikia Peter Afisa kitengo cha Airtel Money. Meneja Uhusiano wa Airtel , Jackson Mmbando (katikati) pamoja na Meneja kitengo cha Airtel...

 

9 years ago

GPL

WATEJA WA AIRTEL KUTUMA PESA BURE‏

Meneja Uhusiano wa Airtel , Jackson Mmbando akionge na waandishi wa habari wakati wa uzinduzi wa ofa kwa wateja wake itakayowawezesha kutuma pesa kiasi chochote cha pesa kupitia huduma ya Airtel Money bure. Pichani ni Stephen Kimea Meneja kitengo cha Airtel Money (kushoto) na Aliesikia Peter Afisa kitengo cha Airtel Money. Meneja Uhusiano wa Airtel , Jackson Mmbando (katikati) pamoja na Meneja kitengo cha Airtel Money, Stephen...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani