Vodacom and Safaricom in the driver’s seat for M-Pesa
Vodacom and Safaricom in the driver’s seat for M-Pesa The Africa ReportSafaricom, Vodacom acquire M-Pesa from Britain's Vodafone The East AfricanM-Pesa Fully Acquired By Kenya's Safaricom & South Africa's Vodacom WeeTracker MediaVodafone transfers m-Pesa control to new joint venture Telecoms.comVodacom And Safaricom Acquire M-Pesa To Accelerate Mobile Money Services In Africa ForbesView Full coverage on Google News
The Africa Report
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-nb5UQQh3DbU/VP2W7YR4PsI/AAAAAAAHJE0/m0OAq2feAG0/s72-c/unnamed%2B(4).jpg)
Wateja wa M-PESA sasa kutuma pesa nchini Kenya, kutokana na ushirikiano wa Vodacom na Safaricom
Kampuni kubwa za mawasiliano Afrika mashariki Vodacom Tanzania na Safaricom ya Kenya leo zimezindua huduma mpya ambapo kuanzia sasa zaidi ya wateja Milioni 7 wa M-Pesa waVodacom Tanzania wanaweza kutuma na kupokea pesa kwa watumiaji zaidi ya milioni 18 wa Safaricom M-Pesa ya Kenya. Huduma hii mpya ambayo imebuniwa na makampuni haya yanayoongoza kutoka huduma za mawasiliano katika ukanda wa Afrika Mashariki itawawezesha wateja wake kutuma pesa kwa kutozwa viwango sawa na vinavyotumika...
5 years ago
Quartz Africa10 Apr
Safaricom, Vodacom buy Vodafone's M-Pesa stake
Safaricom, Vodacom buy Vodafone's M-Pesa stake Quartz AfricaSafaricom, Vodacom partner to grow M-pesa across Africa CNBCAfrica.comView Full coverage on Google News
5 years ago
Reuters06 Apr
Safaricom, Vodacom finalise M-Pesa acquisition from Britain's Vodafone
Safaricom, Vodacom finalise M-Pesa acquisition from Britain's Vodafone ReutersVodacom, Safaricom conclude M-Pesa brand takeover deal ITWebM-pesa platform management relocated to Kenya Standard DigitalSafaricom completes full acquisition of M-Pesa Brand Techish KenyaSafaricom and Vodacom Complete Acquisition of MPESA Brand from Vodafone TechweezView Full coverage on Google News
5 years ago
Forbes06 Apr
Vodacom And Safaricom Acquire M-Pesa To Accelerate Mobile Money Services In Africa
Vodacom And Safaricom Acquire M-Pesa To Accelerate Mobile Money Services In Africa ForbesSafaricom, Vodacom acquire M-Pesa from Britain's Vodafone The East AfricanVodafone transfers m-Pesa control to new joint venture Telecoms.comSafaricom, Vodacom finalise M-Pesa acquisition from Britain's Vodafone ReutersM-pesa platform management relocated to Kenya Standard DigitalView Full coverage on Google News
10 years ago
BBCSwahili11 Mar
Wateja wa Safaricom na Vodacom kunufaika
Mamilioni ya wateja wanaotumia huduma za M-Pesa katika nchi za Tanzania na Kenya sasa wanaweza kutuma na kupokea pesa mipakani
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/650FoUqjosboosnqcbwFQzV5SscolYStB76Nx6evOOvSsqJ6z4tR-HsCVfons1E*ZclG0NE-Fe2Tnju*MJIILXPxIhS5wxp1/001.MEZALAUNCH.jpg?width=650)
WATEJA WA VODACOM M-PESA SASA KUTUMA PESA NCHINI KENYA
Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania, Rene Meza, akiongea na waandishi wa habari wakati wa uzinduzi rasmi wa kutuma na kupokea pesa nchini Kenya kwa njia ya M-PESA. Uzinduzi huo ulifanyika jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi wa Mifumo ya Malipo wa Benki Kuu ya Tanzania, Bernard Dadi (kushoto) na Mkuu wa Kitengo cha Biashara na Maendeleo ya M-Pesa wa Vodacom Tanzania, Isack Nchunda wakimsikiliza jambo Meneja wa Mifumo ya...
11 years ago
Mwananchi19 Jun
Vodacom yawaangukia wateja wa M- Pesa
Kampuni ya Simu za mkononi ya Vodacom, imewaomba radhi wateja wake wanaotumia huduma ya M - Pesa kutokana na hitilafu za kiufundi zilizosababisha kusimama kwa huduma hiyo kwa siku kadhaa.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jNrZ7iSqItbAXO8zYdSsF9hKnaTz8E8PxI4a9QaeTla1VWZHu3TJSuUJWgg8FKmr2lxUhGiCne37AQxCebJPdbyK0yhEcm*l/001.VINJARI.jpg?width=650)
VODACOM YAJA NA HUDUMA YA VINJARI NA M-PESA
Mkuu wa kitengo cha Mawasiliano na Uhusiano wa Umma wa Vodacom Tanzania, Rosalynn Mworia (katikati) akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa uzinduzi wa huduma mpya ya Vinjari na M PESA itakayowawezesha wateja wa mtandao huo kufanya malipo ya huduma katika sekta ya usafiri wa anga,mahoteli na utalii kwa njia ya kieletroniki huduma hiyo inapatikana kupitia tovuti ya vinjari,Wengine katika picha maafisa waandamizi...
5 years ago
MichuziHuduma ya M-Pesa ya Vodacom Sasa Ulimwengu Mzima.
Zaidi ya nchi 200 zitaweza kutuma na kupokea fedha kupitia M-Pesa - Huduma za fedha kupitia simu za mkononi kuchochea ukuaji wa uchumi Afrika
Juni 16 2020, Dar es Salaam: Kampuni ya simu za mkononi inayoongoza kidijitali nchini kupitia huduma ya kifedha ya Vodacom M-Pesa leo imetangaza kuongezeka kwa mfuko wake wa huduma za kutuma na kupokea fedha kimataifa. Wateja wa Vodacom sasa watakuwa na uwezo na nafasi ya kutuma na kupokea fedha kutoka kwa wenzao katika nchi zaidi ya 200 duniani...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
15-February-2025 in Tanzania