Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Vodacom and Safaricom in the driver’s seat for M-Pesa

Vodacom and Safaricom in the driver’s seat for M-Pesa  The Africa ReportSafaricom, Vodacom acquire M-Pesa from Britain's Vodafone  The East AfricanM-Pesa Fully Acquired By Kenya's Safaricom & South Africa's Vodacom  WeeTracker MediaVodafone transfers m-Pesa control to new joint venture  Telecoms.comVodacom And Safaricom Acquire M-Pesa To Accelerate Mobile Money Services In Africa  ForbesView Full coverage on Google News

The Africa Report

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Wateja wa M-PESA sasa kutuma pesa nchini Kenya, kutokana na ushirikiano wa Vodacom na Safaricom

Kampuni kubwa za mawasiliano Afrika mashariki Vodacom Tanzania na Safaricom ya Kenya leo zimezindua huduma mpya ambapo kuanzia sasa zaidi ya wateja Milioni 7 wa M-Pesa waVodacom Tanzania wanaweza kutuma na kupokea pesa kwa watumiaji zaidi ya milioni 18 wa Safaricom M-Pesa ya Kenya. Huduma hii mpya ambayo imebuniwa na makampuni haya yanayoongoza kutoka huduma za mawasiliano katika ukanda wa Afrika Mashariki itawawezesha wateja wake kutuma pesa kwa kutozwa viwango sawa na vinavyotumika...

 

5 years ago

Quartz Africa

Safaricom, Vodacom buy Vodafone's M-Pesa stake

Safaricom, Vodacom buy Vodafone's M-Pesa stake  Quartz AfricaSafaricom, Vodacom partner to grow M-pesa across Africa  CNBCAfrica.comView Full coverage on Google News

 

5 years ago

Reuters

Safaricom, Vodacom finalise M-Pesa acquisition from Britain's Vodafone

Safaricom, Vodacom finalise M-Pesa acquisition from Britain's Vodafone  ReutersVodacom, Safaricom conclude M-Pesa brand takeover deal  ITWebM-pesa platform management relocated to Kenya  Standard DigitalSafaricom completes full acquisition of M-Pesa Brand  Techish KenyaSafaricom and Vodacom Complete Acquisition of MPESA Brand from Vodafone  TechweezView Full coverage on Google News

 

5 years ago

Forbes

Vodacom And Safaricom Acquire M-Pesa To Accelerate Mobile Money Services In Africa

Vodacom And Safaricom Acquire M-Pesa To Accelerate Mobile Money Services In Africa  ForbesSafaricom, Vodacom acquire M-Pesa from Britain's Vodafone  The East AfricanVodafone transfers m-Pesa control to new joint venture  Telecoms.comSafaricom, Vodacom finalise M-Pesa acquisition from Britain's Vodafone  ReutersM-pesa platform management relocated to Kenya  Standard DigitalView Full coverage on Google News

 

10 years ago

BBCSwahili

Wateja wa Safaricom na Vodacom kunufaika

Mamilioni ya wateja wanaotumia huduma za M-Pesa katika nchi za Tanzania na Kenya sasa wanaweza kutuma na kupokea pesa mipakani

 

10 years ago

GPL

WATEJA WA VODACOM M-PESA SASA KUTUMA PESA NCHINI KENYA

Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania, Rene Meza, akiongea na waandishi wa habari wakati wa uzinduzi rasmi wa kutuma na kupokea pesa nchini Kenya kwa njia ya M-PESA. Uzinduzi huo ulifanyika jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi wa Mifumo ya Malipo wa Benki Kuu ya Tanzania, Bernard Dadi (kushoto) na Mkuu wa Kitengo cha Biashara na Maendeleo ya M-Pesa wa Vodacom Tanzania, Isack Nchunda wakimsikiliza jambo Meneja wa Mifumo ya...

 

11 years ago

Mwananchi

Vodacom yawaangukia wateja wa M- Pesa

Kampuni ya Simu za mkononi ya Vodacom, imewaomba radhi wateja wake wanaotumia huduma ya M - Pesa kutokana na hitilafu za kiufundi zilizosababisha kusimama kwa huduma hiyo kwa siku kadhaa.

 

10 years ago

GPL

VODACOM YAJA NA HUDUMA YA VINJARI NA M-PESA

Mkuu wa kitengo cha Mawasiliano na Uhusiano wa Umma wa Vodacom Tanzania, Rosalynn Mworia (katikati) akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa uzinduzi wa huduma mpya ya Vinjari na M PESA itakayowawezesha wateja wa mtandao huo kufanya malipo ya huduma katika sekta ya usafiri wa anga,mahoteli na utalii kwa njia ya kieletroniki huduma hiyo inapatikana kupitia tovuti ya vinjari,Wengine katika picha maafisa waandamizi...

 

5 years ago

Michuzi

Huduma ya M-Pesa ya Vodacom Sasa Ulimwengu Mzima.


Zaidi ya nchi 200 zitaweza kutuma na kupokea fedha kupitia M-Pesa - Huduma za fedha kupitia simu za mkononi kuchochea ukuaji wa uchumi Afrika 

Juni 16 2020, Dar es Salaam: Kampuni ya simu za mkononi inayoongoza kidijitali nchini kupitia huduma ya kifedha ya Vodacom M-Pesa leo imetangaza kuongezeka kwa mfuko wake wa huduma za kutuma na kupokea fedha kimataifa. Wateja wa Vodacom sasa watakuwa na uwezo na nafasi ya kutuma na kupokea fedha kutoka kwa wenzao katika nchi zaidi ya 200 duniani...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani